Hii EATV mbona ina wachambuzi wapuuzi hivi?

Hii EATV mbona ina wachambuzi wapuuzi hivi?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Hapa wanaandika eti Simba imerejea nyumbani kinyonge?

Simba ilifungwa? Hapana
Imeshatolewa CAF CL? Hapana
Ina nafasi ya kusonga mbele? Ndio tena kubwa

timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari imeshapita,

unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?

Huo unyonge unatokana na nini EATV?

Screenshot_20230918-141307.png
 
Mimi Mpira nachambua mwenyewe Sina muda wakufuatilia au kusikiliza wachambuzi wa mchongo.... Mfano. Kibu Denice na Kanoute ni mzigo Kwa timu ya Simba... Vilevile kocha Hana maajabu yoyote. Kama Simba SC tukiendelea na Hawa watu watatu sio muda tutalia na kusaga meno
 
Shida inakuja kwakua msemaji wa Simba kauli alizotoa kabla ya kuondoka ali uaminisha umma kua wapinzani wao ni wachovu na wanakwenda kushinda kule Ndola.

Matokeo yake Simba ndio waliosawazisha goli tena mara zote wakitokea nyuma na mwishoni jamaa walikua pungufu.
Dharau na maneno ya ajabu ya msemaji wenu ndio hupelekea waachezaji wenu kufikiri mambo ni rahisi kwa kiwango icho.

Simba ilishawahi kutolewa na UD songo, Gallaxy n.k pale Taifa kwa mambo ya dharau.
Wakiendelea na tabia iyo watakuja kutolewa tena apo Taifa au Chamazi.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Tv zote na Redio bongo zimejaa wapuuzi tu.
Leo kwenye daladala saa 2 hiv sikumbuk ni radio station gani ile kulikua na kipindi ambapo ccm walikua wanaeneza agenda zao nadhan alikua kiongoz mmoja wa kinondoni.

Sasa mtangazi kabla ya kuanza kipindi akawa anaipa headlines CCM kwamba toka mwaka 1961 ndio chama kina fanya sijui hil na lile na blah blah zingine.


Nikajiuliza hiv huyu dada anaropoka tu hata asijuie kuwa hakukua na CCM hiyo 1961!! Hiv huwa wanatoa waoi hawa watangazaji wajinga wajinga wasioweza kuji update na information nyepes na rahis tena common kama hiz.Nikachukia kwel yan
 
Tv zote na Redio bongo zimejaa wapuuzi tu.
Leo kwenye daladala saa 2 hiv sikumbuk ni radio station gani ile kulikua na kipindi ambapo ccm walikua wanaeneza agenda zao nadhan alikua kiongoz mmoja wa kinondoni.

Sasa mtangazi kabla ya kuanza kipindi akawa anaipa headlines CCM kwamba toka mwaka 1961 ndio chama kina fanya sijui hil na lile na blah blah zingine.


Nikajiuliza hiv huyu dada anaropoka tu hata asijuie kuwa hakukua na CCM hiyo 1961!! Hiv huwa wanatoa waoi hawa watangazaji wajinga wajinga wasioweza kuji update na information nyepes na rahis tena common kama hiz.Nikachukia kwel yan
Wadada wa mtaani hao kama yule alikuwa mke wa meya.
 
Tv zote na Redio bongo zimejaa wapuuzi tu.
Leo kwenye daladala saa 2 hiv sikumbuk ni radio station gani ile kulikua na kipindi ambapo ccm walikua wanaeneza agenda zao nadhan alikua kiongoz mmoja wa kinondoni.

Sasa mtangazi kabla ya kuanza kipindi akawa anaipa headlines CCM kwamba toka mwaka 1961 ndio chama kina fanya sijui hil na lile na blah blah zingine.


Nikajiuliza hiv huyu dada anaropoka tu hata asijuie kuwa hakukua na CCM hiyo 1961!! Hiv huwa wanatoa waoi hawa watangazaji wajinga wajinga wasioweza kuji update na information nyepes na rahis tena common kama hiz.Nikachukia kwel yan
kUwa mtangazaj afu hujui mambo mengi ni tatizo

Zaman tuliamin redio haiwez sema uongo
 
Back
Top Bottom