Hii EATV mbona ina wachambuzi wapuuzi hivi?

Hii EATV mbona ina wachambuzi wapuuzi hivi?

Ukitaka Wachambuzi wa kuisifia Simba hatakama inafanya vibaya nenda EFM
Aseeh leo nilikua nasikiliza kipindi Chao yaani walivyokua wanaongea kwa uchungu huwezi tofautisha kati ya shabiki na mchambuzi
 
Aseeh leo nilikua nasikiliza kipindi Chao yaani walivyokua wanaongea kwa uchungu huwezi tofautisha kati ya shabiki na mchambuzi
Wanafki wale...,wale ni mashabiki wa Simba sio Wachambuzi wa mpira!
 
Unawaona wenzako wapuuzi umesahau na wewe una nyuzi kibao za kipuuzi
Mpuuzi mwingine huyu hapa. Anashindwa hata kutofautisha shabiki na mchambuzi. Mimi ni shabiki naandika kinazi. Hata hilo dogo huna bongo ya kuelewa?
 
Huwa unamsikiliza Msemaji wao/wenu?
Expectations za mashabiki ni timu kuingia makundi, na matokeo yale hayajahatarisha malengo hayo,

haijalishi msemaji kasema nini, msemaji kuna muda anasema tu,
 
sasa wangerudi na ujasiri upi kwa mpira mbovu namna ile?

sawa wamatoa sare lakini ule ndio mpira wa Simba?

Hii ni simba, thimba, simbwaa, simmbwaa au makolo?
" Mpira mbovu namna ile" unavyosema utafikiri Simba imecheza mpira wa hovyo ikafungwa goli nne na kuendelea, kumbe imetoa draw , tena ya bahati mbaya maana kipa wa timu pinzani aliwaokoa sana

Kwa taarifa yako tu, Simba ina zaidi ya asilimia 75 ya kuvuka kwenda makundi ya klabu bingwa, hatua ambayo club nyingi kubwa Afrika (ikiwemo na Yanga) huwa zinaiota, Yanga wameiota kwa miaka 25, fikiria...! Umri wa mtu mzima....leo hii unapata ujasiri wa kuiponda Simba kutia sare ugenini?
 
Hapa wanaandika eti Simba imerejea nyumbani kinyonge?

Simba ilifungwa? Hapana
Imeshatolewa CAF CL? Hapana
Ina nafasi ya kusonga mbele? Ndio tena kubwa

timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari imeshapita,

unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?

Huo unyonge unatokana na nini EATV?

View attachment 2753576
Ulitaka waseme simba wamerejea kishujaaa tanzania kuna vituko sana
 
" Mpira mbovu namna ile" unavyosema utafikiri Simba imecheza mpira wa hovyo ikafungwa goli nne na kuendelea, kumbe imetoa draw , tena ya bahati mbaya maana kipa wa timu pinzani aliwaokoa sana

Kwa taarifa yako tu, Simba ina zaidi ya asilimia 75 ya kuvuka kwenda makundi ya klabu bingwa, hatua ambayo club nyingi kubwa Afrika (ikiwemo na Yanga) huwa zinaiota, Yanga wameiota kwa miaka 25, fikiria...! Umri wa mtu mzima....leo hii unapata ujasiri wa kuiponda Simba kutia sare ugenini?
ukweli huwa unaumiza sana na kauchungu kwa mbali.
hawakucheza vizuri,
na wale hawakua simba walikua ni thimba .
 
Hapa wanaandika eti Simba imerejea nyumbani kinyonge?

Simba ilifungwa? Hapana
Imeshatolewa CAF CL? Hapana
Ina nafasi ya kusonga mbele? Ndio tena kubwa

timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari imeshapita,

unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?

Huo unyonge unatokana na nini EATV?

View attachment 2753576
tena watasonga mbele kwa magoli 5-0
 
Sass hapo ndio ukanjanja wao unapodhihirika, maana Simba kimataifa haishindani na Yanga

Yanga sio mshindani wa Simba kimataifa hata kidogo, Yanga walisema lengo lao ni kufika hatua ya makundi klabu bingwa baada ya kushindwa kwa miaka 25, Simba lengo lake ni kufika fainali na kutwaa kombe, sasa utalinganisha vipi timu hizi?
Hawashindani lakini wote ni wa tz... Ni mshindani wake sababu wanatokea taifa moja, mimi ni mshabiki wa simba, so naona hivyo. Wako sahihi katika hili
 
Mashabiki wa vilabu vya simba na yanga wengi wao hawatumii akili zao vizuri, akiwemo natoa mada.
 
Tasinia ya habari imevamiwa na kuvurugwa vibaya sana! Sio ktk soka tu ni Kila mahari, matumbo wametanguliza mbele kuliko taaluma zao. Sasa hao wachambuzi wa mpira ndio taka taka kabisa, mchambuzi wa mpira aliebakia nchi hii ni Ramadhani Mbwaduke tu.
 
Hawashindani lakini wote ni wa tz... Ni mshindani wake sababu wanatokea taifa moja, mimi ni mshabiki wa simba, so naona hivyo. Wako sahihi katika hili
Naamaanisha Simba ni level ya juu sana kwa Yanga kwenye stage ya kimataifa kiasi kwamba huwezi kuwa consider kama washindani

Yanga lengo lao ni kuingia Makundi, Simba yeye akiingia makundi, akavuka akiishia robo fainali anajiona amefeli
 
Tasinia ya habari imevamiwa na kuvurugwa vibaya sana! Sio ktk soka tu ni Kila mahari, matumbo wametanguliza mbele kuliko taaluma zao. Sasa hao wachambuzi wa mpira ndio taka taka kabisa, mchambuzi wa mpira aliebakia nchi hii ni Ramadhani Mbwaduke tu.
Hua mnapenda wachambuzi wanao sifia timu zenu
 
Shida inakuja kwakua msemaji wa Simba kauli alizotoa kabla ya kuondoka ali uaminisha umma kua wapinzani wao ni wachovu na wanakwenda kushinda kule Ndola.

Matokeo yake Simba ndio waliosawazisha goli tena mara zote wakitokea nyuma na mwishoni jamaa walikua pungufu.
Dharau na maneno ya ajabu ya msemaji wenu ndio hupelekea waachezaji wenu kufikiri mambo ni rahisi kwa kiwango icho.

Simba ilishawahi kutolewa na UD songo, Gallaxy n.k pale Taifa kwa mambo ya dharau.
Wakiendelea na tabia iyo watakuja kutolewa tena apo Taifa au Chamazi.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unataka kusema wasemaji wa Yanga huwa wanasema kwamba mechi ni ngumu na wanaenda kufungwa?

Mi naona kama hii umeiandika kiushabiki Sana. Wasemaji wa hivi vilabu viwili simba na yanga ni walewale hawajawahi kubadilika. Propoganda zao ni zilezile .
 
Wapumbavu wale hakuna kitu mule studio, wote wamekutana wajinga wasio na maono..

Ea radio & Tv ilianza kabla ya mawingu / CMG lakini uduanzi wao leo hawana tofauti na NyemoFm.

Leo huyu mchambuzi kesho unasikia anachambua... Abissay, Ibrah Kasuga na Said Msumi ni mashabiki wa Yanga kindaki ndaki na mwendesha mitandao yao nae Yanga unadhani wanaweza isifia SimbaSC?

SimbaSC wakishinda utasikia wameshinda lakini hawana furaha, unajiulizi hawa ni wachambuzi au mawakala?
 
Back
Top Bottom