Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Mimi napenda sana kusikiliza redio lakin kwasasa kwenye maredio kuna vituko sanaWasomi oyaoya.... Utasikia wanabishana Urusi ipo china
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi napenda sana kusikiliza redio lakin kwasasa kwenye maredio kuna vituko sanaWasomi oyaoya.... Utasikia wanabishana Urusi ipo china
Sahii kabisa... Ni vimbwanga kwenda mbeleMimi napenda sana kusikiliza redio lakin kwasasa kwenye maredio kuna vituko sana
Sitaki hata waisifie, wawe objective tu, timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari ineshapita,Ukitaka Wachambuzi wa kuisifia Simba hatakama inafanya vibaya nenda EFM
Wao wanataka ukienda ugenini ushinde au ufungwe 😂Sitaki hata waisifie, wawe objective tu, timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari ineshapita,
unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?
Sass hapo ndio ukanjanja wao unapodhihirika, maana Simba kimataifa haishindani na YangaHuwenda wamelenga anarejea kinyonge sababu mwenzie kashinda ugenini.
Ni tofauti na walivyowaaminisha mashabiki wao..,tulidhani kuna mabadiliko yeyote...,kila siku ni story ya timu bado haijapata muunganiko!unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?
Imekuwa ndivyo sivyo.Shida inakuja kwakua msemaji wa Simba kauli alizotoa kabla ya kuondoka ali uaminisha umma kua wapinzani wao ni wachovu na wanakwenda kushinda kule Ndola.
Matokeo yake Simba ndio waliosawazisha goli tena mara zote wakitokea nyuma na mwishoni jamaa walikua pungufu.
Dharau na maneno ya ajabu ya msemaji wenu ndio hupelekea waachezaji wenu kufikiri mambo ni rahisi kwa kiwango icho.
Simba ilishawahi kutolewa na UD songo, Gallaxy n.k pale Taifa kwa mambo ya dharau.
Wakiendelea na tabia iyo watakuja kutolewa tena apo Taifa au Chamazi.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile
Yeah 😂KUmbe na wewe ulisikia mkuu?😂. Kichef chef kwel sema ndio hivyo radio ya usafi wa umma huwez sema zima
Waliwaaminisha mashabiki kuwa watapita hatua hii na kuingia makundi kitu ambacho bado kina uwezekano mkubwa zaidi sababu hawakufungwaNi tofauti na walivyowaaminisha mashabiki wao..,tulidhani kuna mabadiliko yeyote...,kila siku ni story ya timu bado haijapata muunganiko!
Ndio ukaja ule msemo usibishane na redio. Lakini kwa sasa hivi ni upunguani tu. Mi niliacha kusikiliza sports redioni kwa upuuzi kama huukUwa mtangazaj afu hujui mambo mengi ni tatizo
Zaman tuliamin redio haiwez sema uongo
Huwa unamsikiliza Msemaji wao/wenu?Waliwaaminisha mashabiki kuwa watapita hatua hii na kuingia makundi kitu ambacho bado kina uwezekano mkubwa zaidi sababu hawakufungwa
sasa wangerudi na ujasiri upi kwa mpira mbovu namna ile?Hapa wanaandika eti Simba imerejea nyumbani kinyonge?
Simba ilifungwa? Hapana
Imeshatolewa CAF CL? Hapana
Ina nafasi ya kusonga mbele? Ndio tena kubwa
timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari imeshapita,
unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?
Huo unyonge unatokana na nini EATV?
View attachment 2753576
Unawaona wenzako wapuuzi umesahau na wewe una nyuzi kibao za kipuuziNdio ukaja ule msemo usibishane na redio. Lakini kwa sasa hivi ni upunguani tu. Mi niliacha kusikiliza sports redioni kwa upuuzi kama huu
Inategemea unaona mzigo kwenye kipi?Mimi Mpira nachambua mwenyewe Sina muda wakufuatilia au kusikiliza wachambuzi wa mchongo.... Mfano. Kibu Denice na Kanoute ni mzigo Kwa timu ya Simba... Vilevile kocha Hana maajabu yoyote. Kama Simba SC tukiendelea na Hawa watu watatu sio muda tutalia na kusaga meno
Sadio kanoute ni player mzuri sanaMimi Mpira nachambua mwenyewe Sina muda wakufuatilia au kusikiliza wachambuzi wa mchongo.... Mfano. Kibu Denice na Kanoute ni mzigo Kwa timu ya Simba... Vilevile kocha Hana maajabu yoyote. Kama Simba SC tukiendelea na Hawa watu watatu sio muda tutalia na kusaga meno
Kumbilamoto?KUmbe na wewe ulisikia mkuu?[emoji23]. Kichef chef kwel sema ndio hivyo radio ya usafi wa umma huwez sema zima
Pamoja sanaInategemea unaona mzigo kwenye kipi?
Kibu denis ni mchezaji wa mpira wa kisasa
Ana kupa energy kila sehemu ya mchezo timu ikiwa ba mpira au ikiwa haina ndio maana zoran alimtumia Pablo alimtumia kaja na bwana Robertinho anamtumia pamoja na kwamba huyu simkubali na hana mbinu za maana ila kibu ni modern Player achana na anakosa mara ngapi ila ni modern player na hakuna kocha atakuja atamuweka nje kibu D
Sawa kaka nimekuelewa 😂Sadio kanoute ni player mzuri sana
Kuna muda wachezaji wanakosa form kama jinsi wewe tu ambavyo unazingua kwenye kazi zako na yeye ni hivyo
Hapo kazi ipo... Sema as long as analipa Kodi na watoto wanaenda shule, tuishie tu hapoJe BABA LEVO ?