Hii EATV mbona ina wachambuzi wapuuzi hivi?

Hii EATV mbona ina wachambuzi wapuuzi hivi?

Ukitaka Wachambuzi wa kuisifia Simba hatakama inafanya vibaya nenda EFM
Sitaki hata waisifie, wawe objective tu, timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari ineshapita,
unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?
 
Sitaki hata waisifie, wawe objective tu, timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari ineshapita,
unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?
Wao wanataka ukienda ugenini ushinde au ufungwe 😂
 
Huwenda wamelenga anarejea kinyonge sababu mwenzie kashinda ugenini.
Sass hapo ndio ukanjanja wao unapodhihirika, maana Simba kimataifa haishindani na Yanga

Yanga sio mshindani wa Simba kimataifa hata kidogo, Yanga walisema lengo lao ni kufika hatua ya makundi klabu bingwa baada ya kushindwa kwa miaka 25, Simba lengo lake ni kufika fainali na kutwaa kombe, sasa utalinganisha vipi timu hizi?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Shida inakuja kwakua msemaji wa Simba kauli alizotoa kabla ya kuondoka ali uaminisha umma kua wapinzani wao ni wachovu na wanakwenda kushinda kule Ndola.

Matokeo yake Simba ndio waliosawazisha goli tena mara zote wakitokea nyuma na mwishoni jamaa walikua pungufu.
Dharau na maneno ya ajabu ya msemaji wenu ndio hupelekea waachezaji wenu kufikiri mambo ni rahisi kwa kiwango icho.

Simba ilishawahi kutolewa na UD songo, Gallaxy n.k pale Taifa kwa mambo ya dharau.
Wakiendelea na tabia iyo watakuja kutolewa tena apo Taifa au Chamazi.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile
Imekuwa ndivyo sivyo.
 
Ni tofauti na walivyowaaminisha mashabiki wao..,tulidhani kuna mabadiliko yeyote...,kila siku ni story ya timu bado haijapata muunganiko!
Waliwaaminisha mashabiki kuwa watapita hatua hii na kuingia makundi kitu ambacho bado kina uwezekano mkubwa zaidi sababu hawakufungwa
 
Hapa wanaandika eti Simba imerejea nyumbani kinyonge?

Simba ilifungwa? Hapana
Imeshatolewa CAF CL? Hapana
Ina nafasi ya kusonga mbele? Ndio tena kubwa

timu imetoa sare ya goli 2-2, yaani hata ikitoa sare ya bila kufungana (0-0) hapa tayari imeshapita,

unasema imerudi kinyonge kwa sababu ipi?

Huo unyonge unatokana na nini EATV?

View attachment 2753576
sasa wangerudi na ujasiri upi kwa mpira mbovu namna ile?

sawa wamatoa sare lakini ule ndio mpira wa Simba?

Hii ni simba, thimba, simbwaa, simmbwaa au makolo?
 
Mimi Mpira nachambua mwenyewe Sina muda wakufuatilia au kusikiliza wachambuzi wa mchongo.... Mfano. Kibu Denice na Kanoute ni mzigo Kwa timu ya Simba... Vilevile kocha Hana maajabu yoyote. Kama Simba SC tukiendelea na Hawa watu watatu sio muda tutalia na kusaga meno
Inategemea unaona mzigo kwenye kipi?
Kibu denis ni mchezaji wa mpira wa kisasa
Ana kupa energy kila sehemu ya mchezo timu ikiwa ba mpira au ikiwa haina ndio maana zoran alimtumia Pablo alimtumia kaja na bwana Robertinho anamtumia pamoja na kwamba huyu simkubali na hana mbinu za maana ila kibu ni modern Player achana na anakosa mara ngapi ila ni modern player na hakuna kocha atakuja atamuweka nje kibu D
 
Mimi Mpira nachambua mwenyewe Sina muda wakufuatilia au kusikiliza wachambuzi wa mchongo.... Mfano. Kibu Denice na Kanoute ni mzigo Kwa timu ya Simba... Vilevile kocha Hana maajabu yoyote. Kama Simba SC tukiendelea na Hawa watu watatu sio muda tutalia na kusaga meno
Sadio kanoute ni player mzuri sana
Kuna muda wachezaji wanakosa form kama jinsi wewe tu ambavyo unazingua kwenye kazi zako na yeye ni hivyo
 
Inategemea unaona mzigo kwenye kipi?
Kibu denis ni mchezaji wa mpira wa kisasa
Ana kupa energy kila sehemu ya mchezo timu ikiwa ba mpira au ikiwa haina ndio maana zoran alimtumia Pablo alimtumia kaja na bwana Robertinho anamtumia pamoja na kwamba huyu simkubali na hana mbinu za maana ila kibu ni modern Player achana na anakosa mara ngapi ila ni modern player na hakuna kocha atakuja atamuweka nje kibu D
Pamoja sana
 
Back
Top Bottom