Hii fursa ppra je ni kweli ya 900 billion kwa vijana

Hii fursa ppra je ni kweli ya 900 billion kwa vijana

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wadau kuna vitu kweli watu wengi sijui ni elimu au shida inakuwa watu wanapiga hela kimya kimya nimesikiliza redio moja kuna jambo wanalizungumzia nimepata mshangao mkubwa sana kwamba serikali kumbe ina utaratibu maalum kwa vijana ambao mnaweza kujiunga na kwenda kujisajiri katika halmashauri husika na mkaunda kikundi chenu mkawa mnapewa tenda kutoka na ujuzi wenu aisee hii kama kweli ninfursa maana jamaa amezungumza kuhusu ile kufyeka tu barabara anasema ile mpunga wake si chini ya milioni 150 aisee sijui kweli hii au ndio bongo nyonso maana why vijana wanaingia katika mambo ya ovyo wakati kuna fursa nyepesi kama hizi.
Ebu anayejua zaidi aje na nyama nyama katika hili
 
Ni kweli ila sasa hiyo pesa mpaka ikufikie kijana wa chini labda ukaloge
 
Back
Top Bottom