Hii haikubaliki, Msajili ifute CCM mara moja

Hii haikubaliki, Msajili ifute CCM mara moja

Salam wana JF popote mlipo, amani ya Mungu na ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Mada yangu ni fupi sana kwako msajili wa vyama vya siasa Tanzania.

Husika na kichwa cha habari tajwa apo juu naomba kupitia mamlaka ya ofisi yako kukifutilia mbali chama cha mapinduzi, na moja ya sababu ya kuomba kukifuta ni kama nitakavyoeleza .

Kwanza kabisa ccm ni chama kama vilivyo vyama vingine hivyo akiko juu ya sheria, ni lazima pia shughulikiwa pale kinaenda tofauti na sheria, na ukiukaji wa haki za kibinadam.

Binafsi naona kuna mambo wanafanya kwenye mikutano yao hayavumiliki,na yakiachwa wenda siku moja kama jamii , familia kuja kulia na kusaga meno.

Ikumbukwe naweza nisiwe ccm ila wapo ndugu , marafiki, amabao ni wanachama wao ila bado ni watu wetu wa karibu.

Kuna tabia ya CCM na sio ya leo ya kusomba watu kwenye mikokoteni, mafuso, n.k toka sehem moja kwenda sehem nyingine ili kuongeza vichwa hasa kwenye mikutano ya mwenyekiti wao, hii ni hatari, na tumekua tukiwaonya na kuwambia hawasikii , kwa makusudi au kibri cha madaraka, na kwa kibri ichi ipo siku yanaweza tokea na kuacha majonzi makubwa kuanzia kwenye familia , jamii na taifa kwa ujumla.

Kwa kuwa ccm tumekua tunawambia, tunawashauri ila hawataki sikia kwa kibri cha madaraka na kwa kuwa ushahidi upo,

Naleta maombi binafsi kwako kama msajili kufutilia mbali chama ichi ili kuepusha majanga ambayo yanaweza kutokea bila sababu.

Thanks msajili
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hazisaidii uyu ni ccm ambae amechangamka , kwake ccm kwanza maisha ya wanachama wa ccm hasa ambao husombwa kwenye mafuso ,mikokoteni badae
asipo elewa na hii basi ujue ni aina wa wale wanafunzi ambao mpaka alambishwe viboko na makonzi hadi ahisi harufu ya damu ndio aanze kumfikiria kuanza kuelewa
fuatilia makala za Mwalimu Pasca Mayalla utagundua ni tatizo lako binafsi
 
Na nyie chadema sombeni watu kwa helicopter kama ccm wanavyosomba kwa mikokoteni na mafuso
 
Hazisaidii uyu ni ccm ambae amechangamka , kwake ccm kwanza maisha ya wanachama wa ccm hasa ambao husombwa kwenye mafuso ,mikokoteni badae
sawa.
Asante kwa kugoma kutaka kusaidiwa uelewa.
Kaa hivyo hivyo sasa, maana hakuna namna nyingine sasa.....
 
Mkuu , nakueshim, najua hu mwanaccm na hii inaonesha ni kwa namna gani kwenu maisha ya watanzania sio kipaumbele bali dola kwenu ndo kipaumbele,

Unakiri kwamba bora nimesema ili likitokea tuseme tulisema, kwa nini tusubiri litokee wakati wahusika na ambao wanaweza sababisha litokee wapo?

Unasema vyama vingine vinaweza kufutwa ila sio ccm maana ni chama dola ebo, kwamba unatuaminisha chama cha ccm kama chama kipo juu ya sheria , na kwamba sheria za vyama ni kwa ajili ya vyama vingine sio chama cha ccm na kama ndivyo futeni vyama vingine ibaki ccm peke yake,

Mwisho kwa maoni yako ccm ata ikifanya vitendo ambavyo vipo na viashiria vya kustress nchi, jamii n.k kiangaliwe tu kwa sababu ni chama dola, tangu lini mafuso ikawa public transport

Mkuu pascal huwapendi watanzania wenzako japo wengine mpo chama kimoja
Pascal ni chawa anaye tafuta uteuzi wala si wa kumwamini.
 
sawa.
Asante kwa kugoma kutaka kusaidiwa uelewa.
Kaa hivyo hivyo sasa, maana hakuna namna nyingine sasa.....
Pascal Mayala pamoja na kuwa mwanasheria kaivua nguo ofisi ya msajili, anasema, kwa ccm ni chama dola hata ikifanya makosa yoyote haiwezi kufutwa labda vyama vingine.

Sasa mtu kama uyu bado anataka nipitie makala zake nijifunze , nijifunze nini sasa wakati yeye mwenyewe anakili kwamba ccm ipo juu ya sheria
 
Pascal ni chawa anaye tafuta uteuzi wala si wa kumwamini.
Nakushukuru sana , uyu pascal Mungu anamwona, anasema nijifunze wakati anakili kwamba ccm ipo juu ya sheria na kwa makosa yoyote ccm haiwezi kufutwa kisa ni chama dola labda vyama vingine, maana nyingine ofisi ya masajili ipo kwa ajili ya vya vyote isipokua ccm,

Majuzi tu chadema walilimwa barua kisa tu kuhusisha machapisho ya kwenye mitandao kuandikwa na wanachama wa chadema? Pascal Mayalla jinsi alivyonijibu bado anaamini ilo lilikua kosa mpaka msajili kuchukua hatua ya kuwalima barua chadema , kuliko hili la ccm ambalo linaweza siku moja kusababisha nguvu kazi ya taifa kupotea.

Kwamba CCM kusomba watu kwa malori , mafuso na mikokoteni ili kupata vichwa vya kujaza mikutano ( kwake haoni kama ni tatizo kubwa)

Lakini pia pascal Mayalla ameshindwa kujiongeza kwamba pamoja na zoezi hili ka kusomba watu kwa malori bado ccm hulazimisha baadhi ya ofisi za uma kufungwa na watumishi kujongea kwenye mkutano , je nayo sio hujuma kwa nchi na wananchi au aya yote pascal mayalla hayajui, msajili hayajui , na kama ndivyo Msajili anataka makosa makubwa kiasi gani kuifutia mbali ccm
 
kusomba watu kwenye mikokoteni, mafuso, n.k toka sehem moja kwenda sehem nyingine ili kuongeza vichwa hasa kwenye mikutano ya mwenyekiti wao,
Waliwahi kuuumbuliwa na mama Maria Nyerere, lkn bado hawasikii.

Rais anafanya ziara Nzega lkn wanaccm wa mkoa mzima wanakusanywa. Why??
 
Pascal Mayala pamoja na kuwa mwanasheria kaivua nguo ofisi ya msajili, anasema, kwa ccm ni chama dola hata ikifanya makosa yoyote haiwezi kufutwa labda vyama vingine.

Sasa mtu kama uyu bado anataka nipitie makala zake nijifunze , nijifunze nini sasa wakati yeye mwenyewe anakili kwamba ccm ipo juu ya sheria
sasa ndio hivo,
malalamiko yako hana msingi,
sasa unalamika kwa nani na umeshelezwa bayana msajili ni ccm
 
Salam wana JF popote mlipo, amani ya Mungu na ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Mada yangu ni fupi sana kwako msajili wa vyama vya siasa Tanzania.

Husika na kichwa cha habari tajwa apo juu naomba kupitia mamlaka ya ofisi yako kukifutilia mbali chama cha mapinduzi, na moja ya sababu ya kuomba kukifuta ni kama nitakavyoeleza .

Kwanza kabisa ccm ni chama kama vilivyo vyama vingine hivyo akiko juu ya sheria, ni lazima pia shughulikiwa pale kinaenda tofauti na sheria, na ukiukaji wa haki za kibinadam.

Binafsi naona kuna mambo wanafanya kwenye mikutano yao hayavumiliki,na yakiachwa wenda siku moja kama jamii , familia kuja kulia na kusaga meno.

Ikumbukwe naweza nisiwe ccm ila wapo ndugu , marafiki, amabao ni wanachama wao ila bado ni watu wetu wa karibu.

Kuna tabia ya CCM na sio ya leo ya kusomba watu kwenye mikokoteni, mafuso, n.k toka sehem moja kwenda sehem nyingine ili kuongeza vichwa hasa kwenye mikutano ya mwenyekiti wao, hii ni hatari, na tumekua tukiwaonya na kuwambia hawasikii , kwa makusudi au kibri cha madaraka, na kwa kibri ichi ipo siku yanaweza tokea na kuacha majonzi makubwa kuanzia kwenye familia , jamii na taifa kwa ujumla.

Kwa kuwa ccm tumekua tunawambia, tunawashauri ila hawataki sikia kwa kibri cha madaraka na kwa kuwa ushahidi upo,

Naleta maombi binafsi kwako kama msajili kufutilia mbali chama ichi ili kuepusha majanga ambayo yanaweza kutokea bila sababu.

Thanks msajili
Hiyo kesi ungeipeleka traffic police.
 
sasa ndio hivo,
malalamiko yako hana msingi,
sasa unalamika kwa nani na umeshelezwa bayana msajili ni ccm
So hayana msingi kwa sababu msajili ni ccm ? Asipo chukua hatua ipo siku ndugu zake watakuja kukatika miguu kama sio kupoteza maisha ndo atajua malalamiko yangu kwake ni ya msingi sana , hata uyu PASCAL MAYALLA Haichukue hii
 
Kama akili za upinzani ndo izi basi tumasafari ndefu sana kufika nchi ya ahadi,kwanini usingeelezea kanuni na Sheria ipi imevunjwa ili ipatikane sababu ya kukifuta chama,halafu Kama ni swala la usalama mbona sehemu nyingi usafiri wa malori kubeba abiria unatumika,hususani minadani, ulishawahi kuchukua hatua gani?
 
Hiyo kesi ungeipeleka traffic police.
Kwa nini, angaika na matawi ya mti badala ya kuangaika na kisiki , ccm ndo chanzo katika hili inatakiwa iwajibishwe kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadam kwa kuwabeba wanachama wao kwenye mafuso kama mifugo haikubaliki
 
Kuna tabia ya CCM na sio ya leo ya kusomba watu kwenye mikokoteni, mafuso, n.k toka sehem moja kwenda sehem nyingine ili kuongeza vichwa hasa kwenye mikutano ya mwenyekiti wao, hii ni hatari, na tumekua tukiwaonya na kuwambia hawasikii , kwa makusudi au kibri cha madaraka, na kwa kibri ichi ipo siku yanaweza tokea na kuacha majonzi makubwa kuanzia kwenye familia , jamii na taifa kwa ujumla.
".....Wamenikokota usku usiku nije kuongeza Vichwa. ..."

Mama Maria nyerere 2020
 
Shida ulivyoandika , msajili yupi humu ila atapita thread yako, wakati huo anaendelea kula makuku na mabia ya safari lager, alafu anaenda kule kwenye jukwaa la mahusiano lile.
Hahahaa maofisa wake watasoma
 
Salam wana JF popote mlipo, amani ya Mungu na ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Mada yangu ni fupi sana kwako msajili wa vyama vya siasa Tanzania.

Husika na kichwa cha habari tajwa apo juu naomba kupitia mamlaka ya ofisi yako kukifutilia mbali chama cha mapinduzi, na moja ya sababu ya kuomba kukifuta ni kama nitakavyoeleza .

Kwanza kabisa ccm ni chama kama vilivyo vyama vingine hivyo akiko juu ya sheria, ni lazima pia shughulikiwa pale kinaenda tofauti na sheria, na ukiukaji wa haki za kibinadam.

Binafsi naona kuna mambo wanafanya kwenye mikutano yao hayavumiliki,na yakiachwa wenda siku moja kama jamii , familia kuja kulia na kusaga meno.

Ikumbukwe naweza nisiwe ccm ila wapo ndugu , marafiki, amabao ni wanachama wao ila bado ni watu wetu wa karibu.

Kuna tabia ya CCM na sio ya leo ya kusomba watu kwenye mikokoteni, mafuso, n.k toka sehem moja kwenda sehem nyingine ili kuongeza vichwa hasa kwenye mikutano ya mwenyekiti wao, hii ni hatari, na tumekua tukiwaonya na kuwambia hawasikii , kwa makusudi au kibri cha madaraka, na kwa kibri ichi ipo siku yanaweza tokea na kuacha majonzi makubwa kuanzia kwenye familia , jamii na taifa kwa ujumla.

Kwa kuwa ccm tumekua tunawambia, tunawashauri ila hawataki sikia kwa kibri cha madaraka na kwa kuwa ushahidi upo,

Naleta maombi binafsi kwako kama msajili kufutilia mbali chama ichi ili kuepusha majanga ambayo yanaweza kutokea bila sababu.

Thanks msajili
Bila picha Mkuu
 
Mkuu wanataka tuletea majanga, maisha yenyewe magum, juzi ya Njombe imeacha magepu mangapi kwenye jamii, familia na taifa?

Kama unataka watu si kawafate huko kwenye vijiji kata , ccm tumewambia mda mrefu kibri tu ifutwe haiwezekani ofisi ya msajili ijitafakari kama inastahiri kuwa pale
Watataka kutoa kafara waseme ni ajali ya kawaida
 
Back
Top Bottom