Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Leo special force ya Israel imetuwachia chakula πWale wanaopost watoto kule tiktok ni waisrael? Waislam muwe na akiba ya maneno
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
kwani malengo ya zayuni ni yepi?Hii ndo vita ya kwanza duniani watu wananyimwa chakula, maji na mahitaji mengine ya kibinaadamu, pamoja na yote hayo pamoja na kumzingira mpinzani lkn zayuni kashindwa kufikia malengo,,
Lengo kubwa ni kuifuta Hamas, na kukomboa mateka, lakini hayo yote yamemshinda hasira zake anazitolea kwenye kuuwa watoto na kina mama na kubomoa majengo kwa makusudi,, zingatia neno makusudi, ni kweli vita haina macho lkn zayuni anaua watoto na kina mama kwa makusudi.kwani malengo ya zayuni ni yepi?
Kinakuwasha kijambio si ndio,, mbona unafosi shobo
Malengo si ndiyo hivyo vilio vyenu vya njaa! Kabla ya vita mbona hamkulia njaa!Hii ndo vita ya kwanza duniani watu wananyimwa chakula, maji na mahitaji mengine ya kibinaadamu, pamoja na yote hayo pamoja na kumzingira mpinzani lkn zayuni kashindwa kufikia malengo,,
Hamas wantaka wapiganaji uko tayariMazayuni ni madhaifu sanaaaaaaaa sijapata kuona
Wangewaekea sumu kwy chakula ili wafee. Adui mwombeee njaaaHii inaitwa,"Mwana kulitaka Mwana kulipata".Unapoanzisha vita lazima ujiandae kwa masahibu yote yatokanayo na hiyo vita.
Israeli ni adui yao ,wanategemea awapatie chakula na maji ya kutosha ili wakishiba waendelee kupigana?
Acha kupaniki mdogo wanguWashakukula ndogo nin ? Unaona sw tu wanavyokufa waafrika wenzio kwa kuchinjwa na vikundi vya kigaidi vinavyofadhiriwa na waarabu? Yaan waarabu hata wakimlawit baba yko ww utashangilia tu , waafrila sijui nan kawaloga
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Malengo yanayokaririwa kila siku ni hayo hayo.Ukitoka nje ukazuia chakula na kuua raia ni kusema vita imekushinda.Lengo kubwa ni kuifuta Hamas, na kukomboa mateka, lakini hayo yote yamemshinda hasira zake anazitolea kwenye kuuwa watoto na kina mama na kubomoa majengo kwa makusudi,, zingatia neno makusudi, ni kweli vita haina macho lkn zayuni anaua watoto na kina mama kwa makusudi.
Waarabu hawajawahi Kuwa serious!Umoja wa falme za kiarabu UAE umeitisha kikao cha dharura cha umoja wa mataifa kutaka lipitishwa azimio la kusitishwa vita haraka na bila masharti yoyote.
Wajumbe wote wanatarajiwa kuunga mkono azimio hilo na hofu imebaki kwa Marekani tu kama naye atapiga kura kuunga mkono.
Azimio la kusitisha vita na kuruhusu vyakula na maji ni la dharura kwani watu wa Gaza wameanza kudhoofika kwa kutokula na kunywa vizuri huku wakianza kugombea kidogo kinachopatikana.
Umuhimu wa azimio hilo unakuja pia kwa kujua vita Israel inavyopigana havina tena malengo yenye kutekelezeka kutokana na kushindwa kuokoa mateka hata mmoja na hawajaweza kuzima mashambulio ya Hamas Gaza yote na ndani ya nchi yake.
Iwapo Marekani itapinga azimio hilo itakuwa imezidi kujijengea uadui dhidi yake kutoka kwa nchi hata zisizokuwa za kiislamu wala za kiarabu ambazo zinawaunga mkono wapalestina.Hilo itakuwa ni pigo jengine dhidi yake yenyewe
UN Security Council to vote on Gaza ceasefire resolution
Vita zina mbinu nyingi!Malengo yanayokaririwa kila siku ni hayo hayo.Ukitoka nje ukazuia chakula na kuua raia ni kusema vita imekushinda.
Hilo la udhaifu wa Hamas mbele ya IDF kwa juu ndilo linalojulikana na kila mtu duniani. Jeshi lisilokuwa na ndege wala kifaru enzi hizi ni dhaifu.Vita zina mbinu nyingi!
Ukiona Wananchi Wako wanafikiwa na Adui ujue Jeshi lako ni dhaifu sana
Kama Netanyahu atachukua maamuzi kama ya Moshe Dayan basi Hamas itafutiliwa mbali dakika 0 πHilo la udhaifu wa Hamas mbele ya IDF kwa juu ndilo linalojulikana na kila mtu duniani. Jeshi lisilokuwa na ndege wala kifaru enzi hizi ni dhaifu.
Lakini kiundani kumbe Hamas ni wakali kuliko IDF kwa sababu wamewazuia kufikia malengo yao yote mawili wanayoyatangaza.
Sasa jiulize tu wewe hii nguvu ya aina hiyo Hamas wameitoa wapi ?
Umoja wa falme za kiarabu UAE umeitisha kikao cha dharura cha umoja wa mataifa kutaka lipitishwa azimio la kusitishwa vita haraka na bila masharti yoyote.
Wajumbe wote wanatarajiwa kuunga mkono azimio hilo na hofu imebaki kwa Marekani tu kama naye atapiga kura kuunga mkono.
Azimio la kusitisha vita na kuruhusu vyakula na maji ni la dharura kwani watu wa Gaza wameanza kudhoofika kwa kutokula na kunywa vizuri huku wakianza kugombea kidogo kinachopatikana.
Umuhimu wa azimio hilo unakuja pia kwa kujua vita Israel inavyopigana havina tena malengo yenye kutekelezeka kutokana na kushindwa kuokoa mateka hata mmoja na hawajaweza kuzima mashambulio ya Hamas Gaza yote na ndani ya nchi yake.
Iwapo Marekani itapinga azimio hilo itakuwa imezidi kujijengea uadui dhidi yake kutoka kwa nchi hata zisizokuwa za kiislamu wala za kiarabu ambazo zinawaunga mkono wapalestina.Hilo itakuwa ni pigo jengine dhidi yake yenyewe
UN Security Council to vote on Gaza ceasefire resolution
Hv we kwanini ni mpumbavu hivyo, hao wapalestina wanamfahamu kima km weweUmoja wa falme za kiarabu UAE umeitisha kikao cha dharura cha umoja wa mataifa kutaka lipitishwa azimio la kusitishwa vita haraka na bila masharti yoyote.
Wajumbe wote wanatarajiwa kuunga mkono azimio hilo na hofu imebaki kwa Marekani tu kama naye atapiga kura kuunga mkono.
Azimio la kusitisha vita na kuruhusu vyakula na maji ni la dharura kwani watu wa Gaza wameanza kudhoofika kwa kutokula na kunywa vizuri huku wakianza kugombea kidogo kinachopatikana.
Umuhimu wa azimio hilo unakuja pia kwa kujua vita Israel inavyopigana havina tena malengo yenye kutekelezeka kutokana na kushindwa kuokoa mateka hata mmoja na hawajaweza kuzima mashambulio ya Hamas Gaza yote na ndani ya nchi yake.
Iwapo Marekani itapinga azimio hilo itakuwa imezidi kujijengea uadui dhidi yake kutoka kwa nchi hata zisizokuwa za kiislamu wala za kiarabu ambazo zinawaunga mkono wapalestina.Hilo itakuwa ni pigo jengine dhidi yake yenyewe
UN Security Council to vote on Gaza ceasefire resolution
Unakumbuka watu walivyokufa njaa vita ya Biafra? UN wanasema hali ya Gaza ni mbaya. na iko karibu na total collapse.Hii ndo vita ya kwanza duniani watu wananyimwa chakula, maji na mahitaji mengine ya kibinaadamu, pamoja na yote hayo pamoja na kumzingira mpinzani lkn zayuni kashindwa kufikia malengo,,