Hii haikubaliki tena,wapalestina Gaza wagombea chakula kujiokoa kufa kwa njaa

Hii haikubaliki tena,wapalestina Gaza wagombea chakula kujiokoa kufa kwa njaa

kwani malengo ya zayuni ni yepi?
Lengo kubwa ni kuifuta Hamas, na kukomboa mateka, lakini hayo yote yamemshinda hasira zake anazitolea kwenye kuuwa watoto na kina mama na kubomoa majengo kwa makusudi,, zingatia neno makusudi, ni kweli vita haina macho lkn zayuni anaua watoto na kina mama kwa makusudi.
 
Hii ndo vita ya kwanza duniani watu wananyimwa chakula, maji na mahitaji mengine ya kibinaadamu, pamoja na yote hayo pamoja na kumzingira mpinzani lkn zayuni kashindwa kufikia malengo,,
Malengo si ndiyo hivyo vilio vyenu vya njaa! Kabla ya vita mbona hamkulia njaa!
Maneno mengiiii mwisho kilio.
Na Myahudi kaweka pamba masikioni anawatandika mpaka awafute kabisa. Waarab wenzenu wanakenua meno tu!
 
Nilisoma sehemu, natafuta hizo taarifa kwamba HAMAS pia wanagombea chakula na kuwanyang'anya Wapalestina...
 
Hii inaitwa,"Mwana kulitaka Mwana kulipata".Unapoanzisha vita lazima ujiandae kwa masahibu yote yatokanayo na hiyo vita.
Israeli ni adui yao ,wanategemea awapatie chakula na maji ya kutosha ili wakishiba waendelee kupigana?
Wangewaekea sumu kwy chakula ili wafee. Adui mwombeee njaaa
 
Washakukula ndogo nin ? Unaona sw tu wanavyokufa waafrika wenzio kwa kuchinjwa na vikundi vya kigaidi vinavyofadhiriwa na waarabu? Yaan waarabu hata wakimlawit baba yko ww utashangilia tu , waafrila sijui nan kawaloga

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Acha kupaniki mdogo wangu
 
Lengo kubwa ni kuifuta Hamas, na kukomboa mateka, lakini hayo yote yamemshinda hasira zake anazitolea kwenye kuuwa watoto na kina mama na kubomoa majengo kwa makusudi,, zingatia neno makusudi, ni kweli vita haina macho lkn zayuni anaua watoto na kina mama kwa makusudi.
Malengo yanayokaririwa kila siku ni hayo hayo.Ukitoka nje ukazuia chakula na kuua raia ni kusema vita imekushinda.
 
Umoja wa falme za kiarabu UAE umeitisha kikao cha dharura cha umoja wa mataifa kutaka lipitishwa azimio la kusitishwa vita haraka na bila masharti yoyote.
Wajumbe wote wanatarajiwa kuunga mkono azimio hilo na hofu imebaki kwa Marekani tu kama naye atapiga kura kuunga mkono.
Azimio la kusitisha vita na kuruhusu vyakula na maji ni la dharura kwani watu wa Gaza wameanza kudhoofika kwa kutokula na kunywa vizuri huku wakianza kugombea kidogo kinachopatikana.
Umuhimu wa azimio hilo unakuja pia kwa kujua vita Israel inavyopigana havina tena malengo yenye kutekelezeka kutokana na kushindwa kuokoa mateka hata mmoja na hawajaweza kuzima mashambulio ya Hamas Gaza yote na ndani ya nchi yake.
Iwapo Marekani itapinga azimio hilo itakuwa imezidi kujijengea uadui dhidi yake kutoka kwa nchi hata zisizokuwa za kiislamu wala za kiarabu ambazo zinawaunga mkono wapalestina.Hilo itakuwa ni pigo jengine dhidi yake yenyewe
UN Security Council to vote on Gaza ceasefire resolution
Waarabu hawajawahi Kuwa serious!
 
Vita zina mbinu nyingi!

Ukiona Wananchi Wako wanafikiwa na Adui ujue Jeshi lako ni dhaifu sana
Hilo la udhaifu wa Hamas mbele ya IDF kwa juu ndilo linalojulikana na kila mtu duniani. Jeshi lisilokuwa na ndege wala kifaru enzi hizi ni dhaifu.
Lakini kiundani kumbe Hamas ni wakali kuliko IDF kwa sababu wamewazuia kufikia malengo yao yote mawili wanayoyatangaza.
Sasa jiulize tu wewe hii nguvu ya aina hiyo Hamas wameitoa wapi ?
 
Hilo la udhaifu wa Hamas mbele ya IDF kwa juu ndilo linalojulikana na kila mtu duniani. Jeshi lisilokuwa na ndege wala kifaru enzi hizi ni dhaifu.
Lakini kiundani kumbe Hamas ni wakali kuliko IDF kwa sababu wamewazuia kufikia malengo yao yote mawili wanayoyatangaza.
Sasa jiulize tu wewe hii nguvu ya aina hiyo Hamas wameitoa wapi ?
Kama Netanyahu atachukua maamuzi kama ya Moshe Dayan basi Hamas itafutiliwa mbali dakika 0 😂
 
Umoja wa falme za kiarabu UAE umeitisha kikao cha dharura cha umoja wa mataifa kutaka lipitishwa azimio la kusitishwa vita haraka na bila masharti yoyote.

Wajumbe wote wanatarajiwa kuunga mkono azimio hilo na hofu imebaki kwa Marekani tu kama naye atapiga kura kuunga mkono.

Azimio la kusitisha vita na kuruhusu vyakula na maji ni la dharura kwani watu wa Gaza wameanza kudhoofika kwa kutokula na kunywa vizuri huku wakianza kugombea kidogo kinachopatikana.

Umuhimu wa azimio hilo unakuja pia kwa kujua vita Israel inavyopigana havina tena malengo yenye kutekelezeka kutokana na kushindwa kuokoa mateka hata mmoja na hawajaweza kuzima mashambulio ya Hamas Gaza yote na ndani ya nchi yake.

Iwapo Marekani itapinga azimio hilo itakuwa imezidi kujijengea uadui dhidi yake kutoka kwa nchi hata zisizokuwa za kiislamu wala za kiarabu ambazo zinawaunga mkono wapalestina.Hilo itakuwa ni pigo jengine dhidi yake yenyewe
UN Security Council to vote on Gaza ceasefire resolution
Umoja wa falme za kiarabu UAE umeitisha kikao cha dharura cha umoja wa mataifa kutaka lipitishwa azimio la kusitishwa vita haraka na bila masharti yoyote.

Wajumbe wote wanatarajiwa kuunga mkono azimio hilo na hofu imebaki kwa Marekani tu kama naye atapiga kura kuunga mkono.

Azimio la kusitisha vita na kuruhusu vyakula na maji ni la dharura kwani watu wa Gaza wameanza kudhoofika kwa kutokula na kunywa vizuri huku wakianza kugombea kidogo kinachopatikana.

Umuhimu wa azimio hilo unakuja pia kwa kujua vita Israel inavyopigana havina tena malengo yenye kutekelezeka kutokana na kushindwa kuokoa mateka hata mmoja na hawajaweza kuzima mashambulio ya Hamas Gaza yote na ndani ya nchi yake.

Iwapo Marekani itapinga azimio hilo itakuwa imezidi kujijengea uadui dhidi yake kutoka kwa nchi hata zisizokuwa za kiislamu wala za kiarabu ambazo zinawaunga mkono wapalestina.Hilo itakuwa ni pigo jengine dhidi yake yenyewe
UN Security Council to vote on Gaza ceasefire resolution
Hv we kwanini ni mpumbavu hivyo, hao wapalestina wanamfahamu kima km wewe
 
Hii ndo vita ya kwanza duniani watu wananyimwa chakula, maji na mahitaji mengine ya kibinaadamu, pamoja na yote hayo pamoja na kumzingira mpinzani lkn zayuni kashindwa kufikia malengo,,
Unakumbuka watu walivyokufa njaa vita ya Biafra? UN wanasema hali ya Gaza ni mbaya. na iko karibu na total collapse.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mi sio mbobevu kiivo kwenye international affairs ivo swali langu ni kwamba why marekani anakua kama international tittle contender Yani hakuna international agreement ambayo inaweza fanyika bila kutajwa Wala kuhusishwa why?
 
Back
Top Bottom