Hii hali inaniumiza sana

Bro, πŸ˜€πŸ˜€ usimdanganye
Ninachojua, usaliti ukitokea kwa mwanamke huwa anasamehe ila hasahau na kwa mwanaume huwa hasamei ila anasahau.
Mleta uzi itamtesa sana hii kitu kamwe asiamini sana chozi la mwanamke ambaye sie mama yake.
Ushauri: Amfukuze huyo mwanamke ili aishi vzr kwa amani la sivyo ataleta nyuzi nyingine zaidi
 
Tatizo umesamehe lakini hujaachilia,baada ya kusamehe jitahidi kuachilia na kuachilia siyo kazi rahisi ni kazi ambayo ina hitaji kupambana na hali inayokukumbusha tukio lililofanywa na mke wako.

Kuwa pamoja Mme na mke kama wanandoa ni mpango wa Mungu mwenyewe,kitu ambacho adui wa Mungu ambaye ni shetani hakipendi kabisa,kwa kuwa lengo la shetani ni kutaka wanadamu waendelee kumchukiza Mungu kwa mambo ya uzinzi na mambo mengine machafu.

Ndoa ni fumbo ambalo jibu lake analijua Mungu mwenwe usifikrie kutibu tatizo lililotokea kwa kumuacha mke wako aliyekukosea kwa kuoa mke mwingine huko ni kucheza kamari ambayo hujui kama utapata au utakosa,unaweza ukamuacha mke wako aliyekusaliti na kuoa mke mwingine mbeleni ukajakujuta zaidi ya unavyojuta sasa, kwa kuwa ndani ya ndoa makosa si kusalitiana peke yake kuna makosa zaidi ya kusalitiana unaweza ukamuacha mke wako aliyetumiwa na shetani kukusaliti ukamuoa shetani mwenyewe ukamuweka ndani ya nyumba hata mlango wa kutokea usiupate.

Mpaka mahali mlipofikia mke wako atakuwa amejutia vya kutosha kwa kitendo alchokufanyia na hawezi kurudia tena kitendo hicho,kwa maana nyingine yeye amemshinda shetani aliyemtuma kukusaliti na lengo lake ni kuwafarakanisha ili kuvunja ndoa yenu na wewe inakupasa kumshinda shetani kwa kupambana na hali inayokurudiarudia kwa mbinu ya kuachilia.

Na ukiendekeza hali hiyo unaweza ukajikuta unaletewa wazo la kuondokana na aibu hiyo kwa njia ya kujinyonga.
 
Daah nahsi nahtaji Therapist for sure
Huko utapoteza muda na hela zako tu, ungekuwa na amani sana kama angekudanganya kuwa hajagongwa, lkn kwa kuwa amekuambia yeye mwenyewe πŸ˜€πŸ˜€ kuwa aligongwa.
Kuna siku atachelewa sokoni we utakasirika na utadhani kuwa ameenda kwa jamaa kupata utamu
 
Hivi hii ndio hali halisi mtaani au kuna kikundi cha watu wameamua kuanzisha kampeni ya kuonesha umma ndoa ni mateso mbna sielewi kila siku ndoa ndoa ndoa ndoa na nyuzi zote ni changamoto hakuna hta moja wa kuonesha anavyofurahia ndoa??
 
acha mbwembwe piga spana huyo,msaliti hasameheki hata kidogo
 
She will cheat again and again
 
Mwambie ukweli tu tafuta mwingine ataumia ataumia kwahiyo uko radhi wewe uteketee mwenzako afurahie kwanza huyo hana subira jiandae kulea watoto ambao sio wako.eti atalia wiki nzima unaakili wewe watu wanajua kuekti bongo mvi,mi kwenye usaliti sinaga. Msamaha
 
Hapo mwanawane dawa yake simple tuu....wee mwalike huyo jamaa mgonge threesome upate kujifunza namna gani mpenzio anapenda mbususu yake isasambuliwe
 
Hakuna mwanamke asie cheat bwana utaacha wangapi? Yeye aendelee nae tuu muhimu yule njemba akaribishe igongwe threesome maisha yasonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…