Hii hali inaniumiza sana

Hii hali inaniumiza sana

Msaliti hasamehewi ndio maana wanajeshi mkienda vitani wakikugundua wewe wenzio wanaenda mbele wewe unarudi nyuma unapigwa risasi maana wanajua wewe ni msaliti sio mwenzao
Kuna baadhi ya mambo kuhasi au kusariti ni hakuna msamaha na endapo ukatoa msamaha basi imekula. kwako(one mistake one goal)

hususani vitani na katika sports and games.

Lakini haya masuala kama unauwezo waku analyse mambo kiundani utajua huyu ni wakuachananae au huyu tunaweza tukayajenga tukaendelea.

Taarifa kamili za huyu shemeji yetu hutuna, hazitoshelezi sisi ku analyse na kumpa ushauri wa yeye kufanya maamuzi magumu,

Ila kama yeye anaona mtu wake ni alipitiwa tu na sio hulka yake basi afuate kikamilifu conditions nilizoziainisha kama ikifanya hivyo zitasaidia.

Kwanini kwasababu inauwezo wakoondoa uraibu wa mambo mbalimbali hata waliokua brainwashed.

Mwili wa mwanadamu unauwezo wa kujirestore kujitibu na kurudia hali yake ya mwanzo aidha ni afya ya Akili psychology(fikra) au maradhi ya mwilini (default). Endapo tu utakapokua exposed katika hari na mazingira flani.
 
Nipo radhi kuishi na kahaba kuliko mwanamke malaya.
 
Tiba ya Usaliti ni KISASI.

Akili kichwani kwako. Poleeee brooh.
 
Hakuna changamoto ya usaliti kwenye mahusiano, ukweli wa hicho kinachoitwa changamoto ni kwamba, mwanamke ni malaya na mwanaume ni mjinga.

Ni ujinga kuvumilia disrespect, emotional blackmail, manipulations na mental torture ili uonekane mwema. Huyu jamaa angekua kaka au mdogo ako ungempa huo ushauri wa ki-nice guy?
Mwanamke aki cheat unapiga chini!

Asizuge sijui alikunywa sana hakuna kitu kama hicho!
 
Hakuna changamoto ya usaliti kwenye mahusiano, ukweli wa hicho kinachoitwa changamoto ni kwamba, mwanamke ni malaya na mwanaume ni mjinga.

Ni ujinga kuvumilia disrespect, emotional blackmail, manipulations na mental torture ili uonekane mwema. Huyu jamaa angekua kaka au mdogo ako ungempa huo ushauri wa ki-nice guy?
Kombora natumaini limepiga kwenye mshono...😂😂😂
 
Moja ya makosa ambayo wala hayana mjadala wa msamaha ni usaliti.

Mtu akisha saliti ni kuachana, on the spot.

Huenda alitoa hadi tigo alivyochepuka, Hebu chunguza huyo mkeo mtaro wake uko salama kweli?

Usije ukawa unafuga kahaba kwa kigezo cha msamaha na huruma.
 
wHat Tπe Fu€k,unasamehe mwanamke msaliti,ameenda kumkalia mwanaume mwenzako style anazokukaliaga wewe leo unaenda kumsamehe ukisema eti nampenda sana,unampenda malaya?

How dare you,kwanza mwanamke wa kisasa akishakuwa mnywa pombe siyo wa kukaa nae mahusiano ya aina yoyote ile huyo unapiga unasepa kwa sababu tabia za kimalaya zinaanzia huko huko kwenye ulevi na ndiko alikomkuta huyo bwana aliyemgonga,kimahusiano mwanaume mlevi na mwanamke mlevi nani atamuongoza mwenzake?hivi hata hamjiulizi?
 
Kosa kubwa la huyo jamaa ni kumpenda huyo mwanamke na kumuona kwamba ndio mama yake mzazi. Jamaa kasema hana hata ka plan B ka pembeni yeye kakomaa tu na "bomu" lake mpaka limlipukie limuue.
Huyo jamaa ni dhaifu!
 
Umri ndio unaokutesa. Vinginevyo ungekuwa umepata ufumbuzi kitambo. Ukitaka kujijua umekua sio swala la umri tu. Ukiacha kuandika mbaka badala ya mpaka. Hapo utajiona tu umekomaa. Hakuna mahusiano yatakusumbua.

Ushauri mkuu kuna haja gani ubebe maumivu ya kukupa magonjwa ya kudumu il Hali ukiwa bado kijana ksbb ya mtu ambaye hamjazaliwa pamoja?. Piga chini anza maisha mapya. Utamsahau tu. Huko mbele atakupa maumivu zaidi ya hayo.
 
Habar wana jf,

Natumain mko salama wote ni wazima mungu anaendelea kutupigania.

Naomba niende kwenye point staki mambo mengi sababu siko sawa kiukweli napitia wakati mgumu bas tu.

Niko na mwanamke tupo kwenye mahusiano huu mwaka wa 3 sasa japo ups and downs ni nyingi sana ila tunasonga, kunakipindi nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa muda wa kama 2 months umbali ule ulianza kuleta shida maugonvi yakaanza kuwa mengi sana japo tulikuwa tunajaribu sana kuwekana sawa.

To cut a story short baada ya kurud niligundua kuwa kacheat sababu kila alipokua akikaa na mimi akawa kama anakitu anajutia kupitia yale maugonvi yetu na baada ya kumbananisha alilia sana na kukili kuwa nikweli na kusema yale maugonvi yetu alikua yanamvuruga akili so hiyo siku alikunywa sana.

Daah kiukweli niliumia sana wakuu baada kujua na ndio siku nilijua kuwa usaliti unaumiza sana hasa kwa mtu unaempenda sikutaka kuendelea tena kuwa karibu nae nilikaa mbali ila kwake ilikua ngumu sana kukubali wiki nzima yeye ni kulia tu na kujutia usaliti wake hali ilienda wiki nzima.

Kifupi yaliisha nikamsamehe maisha yakaendelea mbaka now sasa shida ni kwamba kinacho nitesa ni ile memory tu kuna kipindi inaibuka tu na kuanza kunitawala kichwani na kuni stress kisha kunisabishia maumivu makali.

Simchukii nampenda kama kawaida ila kuna muda ukipita ile memory inakuja kichwani kwamba Kwaiyo alienda kulala na mwanaume mwingine seriously hii kitu inanipa hard time sana wakuu inanipa maumivu makali sana japo staki kumwambia sababu nikimwambia namjua ataumia sana na kujistress na hatokua na amani kila akiwa na mimi na mimi hicho staki apitie nataka awe happy tu.

Ni kweli anajua nimesamehe na nikweli ila sijasahau najitahid sana mbaka nakua sawa nasahau ila kuna kipindi hali ya kukumbuka inajirudia tena naanza kupitia maumivu makali.

Leo niliamka vizuri na tukawa powa tu nikaenda kazini kipindi nipo kazini ile hali ikanijia aisee maumivu ni makali mbaka narud home nimeingia saa 3 usiku home nikajitahidi sana asijue chochote lakini hata nikimzuga vip huwa anajua kama siko sawa sjui Kwanini nimezuga kuwa niko na furaha kama nilivyo ondoka asubuh lakin nikashangaa ananiambia nahsi kama hauko sawa nini tatizo.

Kiukweli sikuwa sawa kweli moyoni nina maumivu ila nikimwangalia Natamani kumwambia nini napitia lakin najizuia ili nisimfanye aanze kujskia vibaya na kutokua na furaha.

Wakuu naomba msaada kwa ushauri wenu tu bas napitia wakati mgumu mbaka kuna muda nahsi kwenda kwa Therapist au cancellar labda nitapata kitu 😔😔 .

Karibu kwa ushauri wenu Mshana Jr na wengine wote nawategemea
Wale wakunisema Hapana nawaomba sababu kwa hali nilikuwa nayo na ninayopitia ukinisema unazidi kunivurga na kufanya kunipunguzia uwezo wa kufikir jins ya kutatua tatizo.
Si kila ukweli ni wa kusema jitahidi tu kusamehe na kusahau Ili maisha yaende ila kama uwezi kuhold leave her
 
Hii kauli "ilipochomoka alisaidia kuirudisha yeye mwenyewe na aliichomeka yote" na pengine "alitoa na tigo" inaumiza sana moyo wa mwanaume kila anapowaza usaliti aliofanyiwa na mwanamke

Umesamehe ila haujasahau na huyo mwanamke unampenda na upendo ndiyo unaokutafuna. Ushauri simple tu ACHANA NAE UTAUMIA KWA MUDA MFUPI KISHA YATAPITA
 
wakubwa wanasema 'sharing is caring' au kwa lugha ya kwetu 'kizuri kula na nduguzo'
 
Tofauti ya Kahaba na Malaya, ni ipii? Em fafanua.
Ukahabai ni sehemu ya mtu kujitafutia kipato, ila mwanamke malaya anaweza kuwa na mume anaye mpatia kila kitu na bado anatombwa njee yaani haridhiki.
 
Habar wana jf,

Natumain mko salama wote ni wazima mungu anaendelea kutupigania.

Naomba niende kwenye point staki mambo mengi sababu siko sawa kiukweli napitia wakati mgumu bas tu.

Niko na mwanamke tupo kwenye mahusiano huu mwaka wa 3 sasa japo ups and downs ni nyingi sana ila tunasonga, kunakipindi nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa muda wa kama 2 months umbali ule ulianza kuleta shida maugonvi yakaanza kuwa mengi sana japo tulikuwa tunajaribu sana kuwekana sawa.

To cut a story short baada ya kurud niligundua kuwa kacheat sababu kila alipokua akikaa na mimi akawa kama anakitu anajutia kupitia yale maugonvi yetu na baada ya kumbananisha alilia sana na kukili kuwa nikweli na kusema yale maugonvi yetu alikua yanamvuruga akili so hiyo siku alikunywa sana.

Daah kiukweli niliumia sana wakuu baada kujua na ndio siku nilijua kuwa usaliti unaumiza sana hasa kwa mtu unaempenda sikutaka kuendelea tena kuwa karibu nae nilikaa mbali ila kwake ilikua ngumu sana kukubali wiki nzima yeye ni kulia tu na kujutia usaliti wake hali ilienda wiki nzima.

Kifupi yaliisha nikamsamehe maisha yakaendelea mbaka now sasa shida ni kwamba kinacho nitesa ni ile memory tu kuna kipindi inaibuka tu na kuanza kunitawala kichwani na kuni stress kisha kunisabishia maumivu makali.

Simchukii nampenda kama kawaida ila kuna muda ukipita ile memory inakuja kichwani kwamba Kwaiyo alienda kulala na mwanaume mwingine seriously hii kitu inanipa hard time sana wakuu inanipa maumivu makali sana japo staki kumwambia sababu nikimwambia namjua ataumia sana na kujistress na hatokua na amani kila akiwa na mimi na mimi hicho staki apitie nataka awe happy tu.

Ni kweli anajua nimesamehe na nikweli ila sijasahau najitahid sana mbaka nakua sawa nasahau ila kuna kipindi hali ya kukumbuka inajirudia tena naanza kupitia maumivu makali.

Leo niliamka vizuri na tukawa powa tu nikaenda kazini kipindi nipo kazini ile hali ikanijia aisee maumivu ni makali mbaka narud home nimeingia saa 3 usiku home nikajitahidi sana asijue chochote lakini hata nikimzuga vip huwa anajua kama siko sawa sjui Kwanini nimezuga kuwa niko na furaha kama nilivyo ondoka asubuh lakin nikashangaa ananiambia nahsi kama hauko sawa nini tatizo.

Kiukweli sikuwa sawa kweli moyoni nina maumivu ila nikimwangalia Natamani kumwambia nini napitia lakin najizuia ili nisimfanye aanze kujskia vibaya na kutokua na furaha.

Wakuu naomba msaada kwa ushauri wenu tu bas napitia wakati mgumu mbaka kuna muda nahsi kwenda kwa Therapist au cancellar labda nitapata kitu 😔😔 .

Karibu kwa ushauri wenu Mshana Jr na wengine wote nawategemea
Wale wakunisema Hapana nawaomba sababu kwa hali nilikuwa nayo na ninayopitia ukinisema unazidi kunivurga na kufanya kunipunguzia uwezo wa kufikir jins ya kutatua tatizo.
Pole sana mpambanaji Kwa kweli inauma sana basi tu, huo ndio ukubwa "ukubwa jalala"
Karibu kufanya tathmini ya mazuri uliyoyafanya na mabaya uliyoyafanya, vaa uhusika wa uliyemfanyia mabaya aliumia kiasi gani Kwa ubaya uliomfanyia then jitibie Kwa kutumia mabaya uliyoyafanya.
 
Back
Top Bottom