Hii hali inaniumiza sana

Hii hali inaniumiza sana

Habar wana jf,

Natumain mko salama wote ni wazima mungu anaendelea kutupigania.

Naomba niende kwenye point staki mambo mengi sababu siko sawa kiukweli napitia wakati mgumu bas tu.

Niko na mwanamke tupo kwenye mahusiano huu mwaka wa 3 sasa japo ups and downs ni nyingi sana ila tunasonga, kunakipindi nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa muda wa kama 2 months umbali ule ulianza kuleta shida maugonvi yakaanza kuwa mengi sana japo tulikuwa tunajaribu sana kuwekana sawa.

To cut a story short baada ya kurud niligundua kuwa kacheat sababu kila alipokua akikaa na mimi akawa kama anakitu anajutia kupitia yale maugonvi yetu na baada ya kumbananisha alilia sana na kukili kuwa nikweli na kusema yale maugonvi yetu alikua yanamvuruga akili so hiyo siku alikunywa sana.

Daah kiukweli niliumia sana wakuu baada kujua na ndio siku nilijua kuwa usaliti unaumiza sana hasa kwa mtu unaempenda sikutaka kuendelea tena kuwa karibu nae nilikaa mbali ila kwake ilikua ngumu sana kukubali wiki nzima yeye ni kulia tu na kujutia usaliti wake hali ilienda wiki nzima.

Kifupi yaliisha nikamsamehe maisha yakaendelea mbaka now sasa shida ni kwamba kinacho nitesa ni ile memory tu kuna kipindi inaibuka tu na kuanza kunitawala kichwani na kuni stress kisha kunisabishia maumivu makali.

Simchukii nampenda kama kawaida ila kuna muda ukipita ile memory inakuja kichwani kwamba Kwaiyo alienda kulala na mwanaume mwingine seriously hii kitu inanipa hard time sana wakuu inanipa maumivu makali sana japo staki kumwambia sababu nikimwambia namjua ataumia sana na kujistress na hatokua na amani kila akiwa na mimi na mimi hicho staki apitie nataka awe happy tu.

Ni kweli anajua nimesamehe na nikweli ila sijasahau najitahid sana mbaka nakua sawa nasahau ila kuna kipindi hali ya kukumbuka inajirudia tena naanza kupitia maumivu makali.

Leo niliamka vizuri na tukawa powa tu nikaenda kazini kipindi nipo kazini ile hali ikanijia aisee maumivu ni makali mbaka narud home nimeingia saa 3 usiku home nikajitahidi sana asijue chochote lakini hata nikimzuga vip huwa anajua kama siko sawa sjui Kwanini nimezuga kuwa niko na furaha kama nilivyo ondoka asubuh lakin nikashangaa ananiambia nahsi kama hauko sawa nini tatizo.

Kiukweli sikuwa sawa kweli moyoni nina maumivu ila nikimwangalia Natamani kumwambia nini napitia lakin najizuia ili nisimfanye aanze kujskia vibaya na kutokua na furaha.

Wakuu naomba msaada kwa ushauri wenu tu bas napitia wakati mgumu mbaka kuna muda nahsi kwenda kwa Therapist au cancellar labda nitapata kitu 😔😔 .

Karibu kwa ushauri wenu Mshana Jr na wengine wote nawategemea
Wale wakunisema Hapana nawaomba sababu kwa hali nilikuwa nayo na ninayopitia ukinisema unazidi kunivurga na kufanya kunipunguzia uwezo wa kufikir jins ya kutatua tatizo.
Usijutie Maamuzi yako ya kumsamehe ila pia nakuomba usimuumize na wewe.
Kama umeamua kusamehe basi amua kusahau pia. Kila Jambo ni MAAMUZI tu lakini wewe bado HUJAAMUA KUSAHAU.
FANYA MAZOEZI MARA KWA MARA HASA MAGUMU KAMA VILE SQUATS + JOGGING UKIJITAJI SAPOTI SEMA ULIPO TUTAKIMBIA PAMOJA NDANI YA MWEZI HAUTAKUMBUKA MAMBO YENYE KUKUUMIZA HATA MIMI NILISALITIWA NA WIFE NILISAMEHE NA TILL NOW TUNAISHI NA TUNALEA.
 
Asantee sana kaka nimekuelewa vizur ngoja nipambane
Utakufa siku si zako dogo kwa kuwasikiliza ma-motivation speakers,hivi ushawahi kujiuliza kwanini watu hutumia busara zao kuwashauri wengine lakini yale yale wanayoyashauri yakiwakuta wanapagawa?unadhani na umeamini kabisa aliyekushauri hivi angekuwa wewe angechukua hatua alizokuorodheshea pale juu?

Ni kwa sababu kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti,first of all wewe demu wako ni mlevi cha pili ni malaya sasa wewe una kazi mbili kwanza umtoe kilevini (kitu kisichowezekana sababu ulimkuta mlevi) then ugeukie kumtoa kwenye umalaya ambao nao ulimkuta nao maana hujamkuta bikra so kwa haraka haraka huyu umtoe ulevini atabaki malaya umtoe umalayani atabaki mlevi na kwenye ulevi ndiko waliokuzidi akili wanakupigia maana wanaelewa principles za vilevi kwamba mwanamke mlevi yake fimbo akafie mbele.
 
Tafuta mademu mwanangu Fanya sana ngono salama Ili uone Hakuna kipya..
 
Hivi mwanaume unawezaje kusamehe mwanamke aliyekusaliti?
Hapa dunian I wanaume tumebaki wachache sana. Serikali inabidi inabidi ichukue hatua kali kwa watu kama ww, UKIMWI hauwezi kuisha kwa kuwahurumia watu ambao hawako serious
 
Thats a cheap excuse mkuu. Zinaa haikubaliki nyege wote mnazo ni kujukatalia tu. Like y would a man cheat na isiwe shida. Na umejuaje mmeumbwa hivo
Mwanaume na mwanamke hawapo sawa.
 
Nilitaka kishangaa hii comment ikosekane kwenye issue kama hii 🤣🤣🤣🤣
Haya ndio matatizo ya kuingia kwenye mahusiano ukiajiaminisha kuwa demu wako ni wako peke yako. Mwanamke nae ana nyege jamani umiwa mbali lazima apate mtu wakumtibu.
Madame B anasema kaburi pekee yake ndio lako weye peke
Kabisa💯💯💯
 
Ni jambo la hatari sana kama mwanaume unaendeshwa na hisia.

Pole sana mkuu, I feel you! Japo nadhani ushauri wa wengi haupo tayari kuufuata zaidi unahitaji vitu viwili
1. Comfort
2. Upewe nija ya kuwa sawa ukiwa naye ndani bado jambo ambalo ni gumu.

Ushauri wa wengi nina uhakika hautakubaliana nao kwa sababu you are too emotional na sikulaumu ila hata nature inahukumu hizo situation, mwanamke akicheat kuacha ni ngumu. Anaweza kutulia kwa muda fulani ila atakuja kucheat tu kwa namna yoyote ile.

Binafsi naweza kusamehe makosa yote kwa mwanamke ila CHEATING! Sijawahi kuwa na second chance kwenye hilo hata niwe nampenda vipi.

No second chance for a cheater man.

Ila kama umeamua kujilipua na upo tayari kwa lolote ambalo litatokea tena huko mbeleni basi hakikisha anajua hali ambayo unaipitia, hakikisha anajua jinsi unavyo umia kwa jambo hilo ambalo alilifanya.

Hiyo inaweza kuwa njia pekee ya kuwasaidia wote, funguka kwake kila ambapo unakuwa unapitia huo uchungu Kisha samehe na ukubali ukweli kwamba ilitokea.

Baada ya hapo jitahidi kuzikumbuka nyakati ambazo mlikuwa pamoja za furaha, zizingatie zaidi hizo na Kisha muanze kutengeneza memories mpya pamoja. Mnaweza kwenda vacation pamoja au mkawa na tour, kwenda movies n.k and hakikisha haujipi nafasi ya kukaa mwenyewe idle kuyapa muda nafasi hayo mawazo.

Good luck man, Fanya maamuzi ambayo ni sahihi kwa nafsi yako na unahisi yatakupa furaha.

Usisahau tu kwamba kila maamuzi ambayo utayafanya yatakuwa na impact zake kwa baadae ila kaa kijanja ili ikija kujirudia usiandike nyuzi nyingine hapa kwa sababu as long as umeamua kumezea itakuja kujirudia tena tu kwa namna yoyote na still atakuja kukulilia akidai kwamba ilikuwa bahati mbaya.

Risk taking ✅
 
Nahofia kusema kwamba Bado una safari, usije ukalia, ngoja niishie hapa.
 
Habar wana jf,

Natumain mko salama wote ni wazima mungu anaendelea kutupigania.

Naomba niende kwenye point staki mambo mengi sababu siko sawa kiukweli napitia wakati mgumu bas tu.

Niko na mwanamke tupo kwenye mahusiano huu mwaka wa 3 sasa japo ups and downs ni nyingi sana ila tunasonga, kunakipindi nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa muda wa kama 2 months umbali ule ulianza kuleta shida maugonvi yakaanza kuwa mengi sana japo tulikuwa tunajaribu sana kuwekana sawa.

To cut a story short baada ya kurud niligundua kuwa kacheat sababu kila alipokua akikaa na mimi akawa kama anakitu anajutia kupitia yale maugonvi yetu na baada ya kumbananisha alilia sana na kukili kuwa nikweli na kusema yale maugonvi yetu alikua yanamvuruga akili so hiyo siku alikunywa sana.

Daah kiukweli niliumia sana wakuu baada kujua na ndio siku nilijua kuwa usaliti unaumiza sana hasa kwa mtu unaempenda sikutaka kuendelea tena kuwa karibu nae nilikaa mbali ila kwake ilikua ngumu sana kukubali wiki nzima yeye ni kulia tu na kujutia usaliti wake hali ilienda wiki nzima.

Kifupi yaliisha nikamsamehe maisha yakaendelea mbaka now sasa shida ni kwamba kinacho nitesa ni ile memory tu kuna kipindi inaibuka tu na kuanza kunitawala kichwani na kuni stress kisha kunisabishia maumivu makali.

Simchukii nampenda kama kawaida ila kuna muda ukipita ile memory inakuja kichwani kwamba Kwaiyo alienda kulala na mwanaume mwingine seriously hii kitu inanipa hard time sana wakuu inanipa maumivu makali sana japo staki kumwambia sababu nikimwambia namjua ataumia sana na kujistress na hatokua na amani kila akiwa na mimi na mimi hicho staki apitie nataka awe happy tu.

Ni kweli anajua nimesamehe na nikweli ila sijasahau najitahid sana mbaka nakua sawa nasahau ila kuna kipindi hali ya kukumbuka inajirudia tena naanza kupitia maumivu makali.

Leo niliamka vizuri na tukawa powa tu nikaenda kazini kipindi nipo kazini ile hali ikanijia aisee maumivu ni makali mbaka narud home nimeingia saa 3 usiku home nikajitahidi sana asijue chochote lakini hata nikimzuga vip huwa anajua kama siko sawa sjui Kwanini nimezuga kuwa niko na furaha kama nilivyo ondoka asubuh lakin nikashangaa ananiambia nahsi kama hauko sawa nini tatizo.

Kiukweli sikuwa sawa kweli moyoni nina maumivu ila nikimwangalia Natamani kumwambia nini napitia lakin najizuia ili nisimfanye aanze kujskia vibaya na kutokua na furaha.

Wakuu naomba msaada kwa ushauri wenu tu bas napitia wakati mgumu mbaka kuna muda nahsi kwenda kwa Therapist au cancellar labda nitapata kitu 😔😔 .

Karibu kwa ushauri wenu Mshana Jr na wengine wote nawategemea
Wale wakunisema Hapana nawaomba sababu kwa hali nilikuwa nayo na ninayopitia ukinisema unazidi kunivurga na kufanya kunipunguzia uwezo wa kufikir jins ya kutatua tatizo.
= kukiri.
 
W
Habar wana jf,

Natumain mko salama wote ni wazima mungu anaendelea kutupigania.

Naomba niende kwenye point staki mambo mengi sababu siko sawa kiukweli napitia wakati mgumu bas tu.

Niko na mwanamke tupo kwenye mahusiano huu mwaka wa 3 sasa japo ups and downs ni nyingi sana ila tunasonga, kunakipindi nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa muda wa kama 2 months umbali ule ulianza kuleta shida maugonvi yakaanza kuwa mengi sana japo tulikuwa tunajaribu sana kuwekana sawa.

To cut a story short baada ya kurud niligundua kuwa kacheat sababu kila alipokua akikaa na mimi akawa kama anakitu anajutia kupitia yale maugonvi yetu na baada ya kumbananisha alilia sana na kukili kuwa nikweli na kusema yale maugonvi yetu alikua yanamvuruga akili so hiyo siku alikunywa sana.

Daah kiukweli niliumia sana wakuu baada kujua na ndio siku nilijua kuwa usaliti unaumiza sana hasa kwa mtu unaempenda sikutaka kuendelea tena kuwa karibu nae nilikaa mbali ila kwake ilikua ngumu sana kukubali wiki nzima yeye ni kulia tu na kujutia usaliti wake hali ilienda wiki nzima.

Kifupi yaliisha nikamsamehe maisha yakaendelea mbaka now sasa shida ni kwamba kinacho nitesa ni ile memory tu kuna kipindi inaibuka tu na kuanza kunitawala kichwani na kuni stress kisha kunisabishia maumivu makali.

Simchukii nampenda kama kawaida ila kuna muda ukipita ile memory inakuja kichwani kwamba Kwaiyo alienda kulala na mwanaume mwingine seriously hii kitu inanipa hard time sana wakuu inanipa maumivu makali sana japo staki kumwambia sababu nikimwambia namjua ataumia sana na kujistress na hatokua na amani kila akiwa na mimi na mimi hicho staki apitie nataka awe happy tu.

Ni kweli anajua nimesamehe na nikweli ila sijasahau najitahid sana mbaka nakua sawa nasahau ila kuna kipindi hali ya kukumbuka inajirudia tena naanza kupitia maumivu makali.

Leo niliamka vizuri na tukawa powa tu nikaenda kazini kipindi nipo kazini ile hali ikanijia aisee maumivu ni makali mbaka narud home nimeingia saa 3 usiku home nikajitahidi sana asijue chochote lakini hata nikimzuga vip huwa anajua kama siko sawa sjui Kwanini nimezuga kuwa niko na furaha kama nilivyo ondoka asubuh lakin nikashangaa ananiambia nahsi kama hauko sawa nini tatizo.

Kiukweli sikuwa sawa kweli moyoni nina maumivu ila nikimwangalia Natamani kumwambia nini napitia lakin najizuia ili nisimfanye aanze kujskia vibaya na kutokua na furaha.

Wakuu naomba msaada kwa ushauri wenu tu bas napitia wakati mgumu mbaka kuna muda nahsi kwenda kwa Therapist au cancellar labda nitapata kitu 😔😔 .

Karibu kwa ushauri wenu Mshana Jr na wengine wote nawategemea
Wale wakunisema Hapana nawaomba sababu kwa hali nilikuwa nayo na ninayopitia ukinisema unazidi kunivurga na kufanya kunipunguzia uwezo wa kufikir jins ya kutatua tatizo.

Kwani ulimuoa?

Wewe ulimpataje wenzako wasimle? Si ulinchomowa kwa mwengine? Ulimwona mwenzako bwege.

Au ulishushiwa kwa uzi wa hariri?
 
Njia Nzuri mnapo anza mahusiano lazima muwe na msingi wa mahusiano yenu nini unataka na nini hautaki Kama mwanaume, ukweli usiofichika chick akikuchiti ukagundua hakika itakutesa, kutesa kweli, nature ya mwanaume hapendi kuchitiwa ama kufokewa ama kukaripiwa na chick, tell her how u feel since she chited on you, kwa kutoka Hapo home na kwenda nje ya mji kwaajili ya Jenga mahusiano yako, na ikiwa amekuchiti nw mkiingia kwa ndoa itakuwa hard time kwako. (Ongea kutoka moyoni utapa relief)
 
wanaume hatusamehe tuna sahau…jitahidi usahau mzee babaaa…
 
Unaumia.

Huwezi kumuonyesha unaumia.

Kwakua unampenda.

You are in a moral dilemma, fueled by passion and mistrust.

Am sorry sijaqualify kutoa ushauri wa kisaikolojia 100% kwakua sina Masters.

Alivunja uaminifu mwache yeye ndiye apiganie, siyo wewe.
 
Nyinyi ndo mnauaga nyie.. huyu demu muache. Maana ataliwa Tena alafu utamchinja....na analewa.. Aisee For your own safety and happiness. Get separated
 
Back
Top Bottom