Hii hali inaniumiza sana

Hii hali inaniumiza sana

Hivi na wewe ni mwanamume kweli? Eti unajitahidi usimfanye ajisikie vibaya sasa unalialia nini?

Endelea kuhakikisha ana furaha muda wote ili akupige matukio mengi zaidi.

Mwanamke akishasaliti huyo ni kumpa summary dismissal hakuna kumpa hata dakika moja kumsikiliza maana ukimpokea baada ya usaliti anajua hakuna lingine atakalofanya usimsamehe.

Atakuendesha sana kwakuwa ameshajua huna uwezo wa kumuacha licha ya kukusaliti.

Hivi mtu hujazliwa naye tumbo moja unahofia nini kumtema ukatafuta mali nyingine kali kuliko yeye?
Mwanamke akifikia stage ya ku cheat maana yake amekukadiria kuwa we ni bwege nazi tu kwake🤣 you are like an empty jar. Huna msimamo
 
Ingawa si rahisi, tafuta njia za kujielekeza mbali na kumbukumbu hizo. Unaweza kujaribu kushiriki katika shughuli unazopenda, kama michezo, muziki, au hata kujifunza kitu kipya.

Ingawa unataka kumlinda mpenzi wako, ni muhimu pia uwe na nafasi ya kujadili hisia zako, Huenda ikawa rahisi kumwambia kwamba bado unahitaji muda wa kuweza kuhimili kile alichokifanya, bila kumhukumu.

Jaribu kuwa karibu na marafiki na familia. Kuwa na mtu wa kuzungumza naye inaweza kusaidia sana.

Mwisho tambua kwamba Kilichotokea kimeshatokea na acha kuwaza tena hilo, Ukikumbuka ama Fikra zikikujia Kichwani achana nazo, waza mambo mengine.

Siku nyingine acha kuuliza uliza habari za mpenzi wako, wake za watu wanaongoza kwa kuliwa wakati mwingine atakuja kukwambia walimzibua Nyuma yake
 
Nakupongeza kwa maamuzi ya kuendelea kupigania penzi lenu. Uaminifu ukivunjika kidonda chake huchukua muda mrefu kupona. Ipe muda ndugu mdau, ipe muda. Jeraha litapoa
Kweli litapona ila mmmhm acheni tu
 
Bro.
Samehe sahau mabaya na ujitahidi kumbuka mema yake na kama unauwezo mzingatie zaidi ya kawaida, kama utaweza mtoe out sana kama unauwezo hata wa kumpeleka tours mbali mbali nenda nae.

Chukulia kama chachu ya kujenga maisha mapya na bora.

Kumuacha haitoweza kuwa suluhisho mana hakuna mwanamke mkamilifu labda umuumbe wako, usiachane na mpenzi wako komaa matatizo huja ili yatatuliwe ndy maana ya maisha mkuu, huwezi pata mazuri tu ukasema unaishi duniani we kaza moyo kuwa na tabia za mwanaume usiwe na tabia za kijana.

Anaekushauri huyo mwanamke hakufai je yeye anajua anayekufaa ni yupi?

Umehangaika nae miaka mi 3 mmeshaanza kuzieana saivi unajivuruga unataka ukaanze mapya uendako hukujui, ukikutana na kicheche utafanyaje mana wako madem wanaojua kuzingua kwenye mahusiano je utamuacha tena?
Kama ukimuacha utakuwa Ni mtu wa mahusiano mapya hadi lini?
Positive
 
Mkuu knows pole sana Kaka kwa hiyo hali unayooitia na Ushauri wa Mshana Jr umekuwa ni bora sana kukusaidia kukupunguzia hayo maumivu unayopitia.
Mkuu asikwambie mtu hakuna kitu kinachoumiza kama usaliti hasa pale wewe unakuwa ni muaminifu halafu mtu wako anakusaliti. Nina same case na wewe lakini Mimi sio Mpenzi ni Mama mzazi, ubaya wa kila namna alinifanyia ninaposema Ubaya elewa ubaya wa Kiafrica Matusi, masimango, kufukuzwa wakati ninaumwa, ushirikina nk , ameniomba msamaha na nimemsamehe kiroho safi lakini wakati mwingine huwa najikuta nikikumbuka yale mambo aliyonifanyia huwa nakosa kabisa furaha, najisikia hasira, najisikia kulia, najisikia mnyonge na kila hali mbaya. Huwa inaumiza sana japo nimeshamsamehe lakini kumbukumbu imekuwa ni ngumu kufutika. Nimefanya njia zote za kuomba ushauri, kusoma vitabu na kujichanganya sana na watu nakaa sawa lakini nikikumbuka huwa narudi kuvunjika sana moyo.
Mkuu huo ni mtihani na imeahakuwa kama kidonda ishi nacho tu. Ngumu kuondokana na hiyo hali na ukiangalia hukuwahi kumsaliti yaani wewe upo clean. Ishi tu Mshikaji wangu ukiona hizo memories zinakujia kwa wakati huo jaribu kufanya mambo mengine yanayo ku keep busy na kukufurahisha ili kutokuendeleza hizo memories kukuathiri.
Hakuna mtu asiyekuwa na changamoto Mkuu na huo ndio mtihani wako.
La mwisho tafuta siku nzuri ya mapumziko utoke nje ya mazingira mliyoyazoea na huyo MpenZi wako mkafurahie maisha na ujaribu kumuelezea vile ulivyoumia na lile tukio alilokupiga nalo. Lakini ukiwa kama Mwanamume umesamehe. Jitahidi uwe unapata muda wa kuzingumzia maisha yenu kwa upana kila mara hata mara moja au mbili kwa mwezi. Hiyo itasaidia kuboresha afya ya mahusiano yenu.
Positive
 
Kwenye Ozark bwana Maty Hard hakupona hilo jeraha. Kila muda alikua anaangalia video mkewe akiwa anapigwa vibao vya ndaksi. Ushauri mzuri ni kuachana na huyo mwanamke au kuishi nae kama partner tu (mshirika)
 
Usijutie Maamuzi yako ya kumsamehe ila pia nakuomba usimuumize na wewe.
Kama umeamua kusamehe basi amua kusahau pia. Kila Jambo ni MAAMUZI tu lakini wewe bado HUJAAMUA KUSAHAU.
FANYA MAZOEZI MARA KWA MARA HASA MAGUMU KAMA VILE SQUATS + JOGGING UKIJITAJI SAPOTI SEMA ULIPO TUTAKIMBIA PAMOJA NDANI YA MWEZI HAUTAKUMBUKA MAMBO YENYE KUKUUMIZA HATA MIMI NILISALITIWA NA WIFE NILISAMEHE NA TILL NOW TUNAISHI NA TUNALEA.
Positive 🙏
 
Rule no 1
Don ever forgive The Woman who cheated on you
 
Kama unaumia mpigie chini tafuta mwingine ili uwe na amani moyoni
Mapenz bwana anapiga chini alafu anapata demu ambae ni EX wa mtu fulani ambae alimtoa bikra.
The same bichwa linawaza kuwa alilala na mtu mwingine ndo hilo hilo bichwa linaweza waza ina maana huyu mpya alitolewa bikra na li mtu mwingine mapenzi ni magumu kuliko Hesabu Calculus
 
Kama unaumia mpigie chini tafuta mwingine ili uwe na amani moyoni
Mapenz bwana anapiga chini alafu anapata demu ambae ni EX wa mtu fulani ambae alimtoa bikra.
The same bichwa linawaza kuwa alilala na mtu mwingine ndo hilo hilo bichwa linaweza waza ina maana huyu mpya alitolewa bikra na li mtu mwingine mapenzi ni magumu kuliko Hesabu Calculus
 
Baba aliniambia kuwa siku ambayo ukimsamehe mwanamke aliekucheat ndio siku hiyo hiyo ambayo SAFARI YAKO YA KUFA MAPEMA INAPOANZA.
Utatafunwa na sonoma mpaka ukaukiane
 
Aiseee pole ila kwan ukupewa elimu ukiwa na mke lazma awe na awara wake wakumpa raha ss tulisha jengewa mising na wazee wetu mwanaume hapo peke yako kwaiyo chukulia tu kama ajali acha uzaifu mshamba ww
Kumbe!
 
Hapo huyo mkeo sijui demu wako alikuwa analipa kisasi kwa kuhisi na wewe ulikuwa unacheat huko mbali ulikokuwa ila jua tu KUCHEAT kwa mwanamke ni tofauti KUCHEAT kwa mwanaume wao wakianza hako kamchezo game haliishi leo sisi tunacheat kwa sababu ya kitu kidogo kinaitwa nyege ila wao wakicheat wanahama kihisia na mbaya zaidi atakuona we dhaifu na atarudia tena huko mbeleni
 
Na wewe msaliti kisha mtaarifu ajue, baada ya hapo mtaishi km machekibob hata kitokee kitu gani hakuna atakayeumia 😹
 
Yaani miezi 2 mtu unashindwa kuvumilia? What if mtu akiumwa miezi sita si utagongwa mpaka basi.

Nazungumzia kwa nature ya mkewe ,ukiishi na mtu unajua kama huyu anaweza kuvumilia au lah ,so hakumsoma mkewe kama si mvumilivu.
 
Muda wa mtu kukiri makosa anaupata wapi… hivi mtu anasaliti anasema mara 100 ukatae hata mimi nakuacha


Kujifanya una hofu ya Mungu na kusema kila kitu wakati unajua fika mwenzio akisikia ataumia ni upuuzi
 
Unamshauri kama wewe ndo umemgongea.Sikia babu mambo ni mawili tu hapo kumwacha aende,Au tafuta sababu ya kumuumiza na yeye hiyo ndo itakuwa dawA ya wewe kujitibu Otherwise hutoweza kusahau hilo piga tukio kama ana dada ukiweza piga kama uwezi tafuta kitoto cha afu mbili kipangie au Oa kabisa na huyo dem sijui mke akikisha amejua,Hivi ndivyo inavyotakiwa kuWa Mura.

Kisasi ni kwa wapumbavu tu ni afadhar amuache kuliko hilo lingine unalo mshauri

Atafanikiwa kumuumiza ama asifanikiwe ila hasara itakuwa kwake zaidi let say huyo dada ake ni HIV positive, huyo mtoto wa 2000 ndio balaa kuliko aliekuwa nae…

Usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha sana.. atulize bichwa hilo
 
Back
Top Bottom