Hii hapa Hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu ya Yanga. Yumo Mwigulu, Mwambe na Tarimba

Hii hapa Hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu ya Yanga. Yumo Mwigulu, Mwambe na Tarimba

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Hukumu hii ni ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hukumu inatokana na kesi ya msingi iliyofunguliwa Agosti 4,2022 na walalamikaji Juma Ally na Geoffrey Mwaipopo, wakitaka kutotambulika kwa Baraza la wadhamini la Yanga lililowekwa madarakani kwa katiba ya mwaka 2010, kukosa sifa kisheria.

Aidha, walalamikaji pia walitaka miamala yote ya fedha iliyoidhinishwa na baraza hilo, kutotambulika kisheria kwa kuwa ni batili.

Hukumu hiyo, imeitaka bodi iliyokuwa madarakani kwa katiba ya mwaka 1968 iliyofanyiwa mabadiliko mwaka 2011, kurudi madarakani kuongoza klabu ya Yanga.

Jumapili, Juni 27, 2021, aliekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Mshindo Msolla alitangaza Baraza jipya la Wadhamini la klabu hiyo mbele ya wanachama kwenye Mkutano Mkuu wa klabu. Aliowataja Walikuwa ni George Mkuchika, Geofrey Mwambe, Abass Tarimba, Mama Fatma Karume na Mwigulu Nchemba.

Mwigulu Nchemba, Mwambe na Tarimba ndio wajumbe wapya wa Baraza hilo huku wenyeji wakiwa Mkuchika na Mama Karume.

Pia, soma: LIVE - Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki

Yanga Jamiiforums _page-0001.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0002.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0003.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0004.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0005.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0006.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0007.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0008.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0009.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0010.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0011.jpg

Yanga Jamiiforums _page-0012.jpg
 
Cha msingi hukumu itekelezwe kwa haraka..huyu Hersi ni mnafiki,mbea na mchawi...kazi kuwaonga wachezaji wa Simba sc kuharibu soka,alimuambia rais wa FIFA ameifunga Simba 5..huyu jamaa bora yamkute tu..aondoke na akafie mbali mkxndu kabisa..na pesa zote walizolipwa wanatakiwa warudishe kwa mujibu ya hukumu hii.
 
Fanya kututafsiria sisi darasa la 7C
 
Cha msingi hukumu itekelezwe kwa haraka..huyu Hersi ni mnafiki,mbea na mchawi...kazi kuwaonga wachezaji wa Simba sc kuharibu soka,alimuambia rais wa FIFA ameifunga Simba 5..huyu jamaa bora yamkute tu..aondoke na akafie mbali kabisa
Hi I hukumu ni ya lini? Inahusu uongozi wa Yanga ama bodo ya wadhamini?
 
Cha msingi hukumu itekelezwe kwa haraka..huyu Hersi ni mnafiki,mbea na mchawi...kazi kuwaonga wachezaji wa Simba sc kuharibu soka,alimuambia rais wa FIFA ameifunga Simba 5..huyu jamaa bora yamkute tu..aondoke na akafie mbali kabisa
😅😅😅
Mbumbumbu Eng Hersi Said anawatesa
 
Awali ya yote naomba niipost nakala ya hukumu wadau wapate kuisoma na kuja na mawazo yao;

Kama kuna hukumu za ajabu basi katika hukumu tatu Duniani basi na kesi hii imo.

Chakushangaza zaidi ni pale eti pande mbili upande wa wadai na upande wa Wadaiwa kukubaliana kwa hoja.
Lkn cha kushanga zaidi, Toung African ni taasisi kubwa na hivyo haiwezi kukosa Mwanasheria wa kuiwakilisha.

Hivi ni vioja vya mwaka

Hakimu nae Du!
 

Attachments

Mbona umepanic alafu sijaelewa hata ulichoandika...kama mashabiki wenyewe wa yanga mko hivi basi Magoma ana akili kuliko wanayanga wote..cha msingi hersi aondoke mara moja kwanza mchawi,mbea na mnafiki..kumbuka alitengeneza maduka huku Simba sc,alafu wakati wa superleague aaenda kumuambua rais wa FIFA kaifunga Simba sc 5..huyu jamaa ni mkxndu aondoke
 
Mbona umepanic alafu sijaelewa hata ulichoandika...kama mashabiki wenyewe wa yanga mko hivi basi Magoma ana akili kuliko wanayanga wote..cha msingi hersi aondoke mara moja kwanza mchawi,mbea na mnafiki..kumbuka alitengeneza maduka huku Simba sc,alafu wakati wa superleague aaenda kumuambua rais wa FIFA kaifunga Simba sc 5..huyu jamaa ni mkxndu aondoke
hersi hatoki jiandae na tabu za viwango vya juu msimu huu...
 
Back
Top Bottom