Hii hapa mikoa 12 inayoendesha uchumi wa nchi, inamiliki na kushikilia asilimia 70% ya uchumi wa Tanzania

Umekurupuka hujaelewa mada.

Pili muendelee kuzidi hapo wakati Hadi hapo mumetumia pesa za wengine 🤣🤣🤣🤣

Inaelekea watu wengi hamuelewi hata maana ya GDP
Hakika jemedali, mikoa ya wazalishaji na wapambanaji kama Mwanza na Mbeya hawapati kile wanachostahili.
 
Hv uliwai kuajiliwa kukusanya data alafu ukajikuta umechoka? Kinachofata uwa nikupika data nikuakikishie NBS hawana watu wakukisanya takwimu za kutosha kutoa reality ya majibu yao. Takwimu zao nizakupikwa.
 
Usiuite uzembe wa serikali ya Tanzania laana?
Bukoba hakuna laana yoyote...ni uzembe tu wa serikali na kuwa na viongozi wenye akili ndogo..

Serikali hii inayoshindwa kuboresha bandari ya Tanga na kujenga barabara kupitia Serengeti ili mizigo ya uganda ipitie Tanzania yaani Bukoba?
Bandari ya Tanga ingetumiks ipasavyo hata Bukoba ingetumika vzr tu kibiashara
 
Umelalamika sana mkuu!!🙄🙄
Hivi mkoa wa Kagera hauna wawakilishi kwenye vikao vya maamuzi?
Shirikianeni na wabunge wenu, zalisheni mahindi, maharage na matunda kwa wingi mrudishe heshima yenu.
Ungejua kagera inazilisha 25% ya maharage yote nchi hii usingeongea haya...zaidi ya 70% ya ndizo, zaidi 60% ya kahawa...80% ya vanilla
Hapo hujataja Dagaa...
Lakini angalia viwanda vilivyopo kagera, angalia makodi na beria zilizopo barabarani kuwazuia wanakagera wasiuze vitu vyao nchi jirani..?
Vitu mpaka vinaozea mashambani. Mtu ukitaka kufanya biashara ya logistics kununua hayo mazao na kuuza pengine utakutana na beria za kodi kila baada ya km 10. Ndo maana wengi wanakimbia huu mkoa. Maana nikama umebanww hivi na serikali
Watu wanauza mazao yao kama majambazi. Ukikutwa unauzia kahawa yako waganda...unafungwa kwa kesi ya uhujumu uchumi bila dhamana
 
Hakuna kitu kama hicho, Arusha wanajionaga wa mbele sana. Hivi unajua wanachoringia Arusha ni matajiri wachache wenye hela nyingi ambapo matajiri hawa wachache hawawezi kuwa sehemu kubwa ya maendeleo ya mkoa.
Huna akili! Arusha ipo juu mno ukitoa dar ni Arusha kwa maendeleo achana na hizi paperworks.
 
Hv uliwai kuajiliwa kukusanya data alafu ukajikuta umechoka? Kinachofata uwa nikupika data nikuakikishie NBS hawana watu wakukisanya takwimu za kutosha kutoa reality ya majibu yao. Takwimu zao nizakupikwa.
Takwimu hizi za uchumi ziko kwenye shughuli za uzalishaji za Kila siku kutoka taasisi zote za Nchi ,so hata wao wameweka error factor Hadi wanazitoa.

Walienda shule hawakurupuki.Mwisho unataka utete Mkoa wako upi ambao hauko kwenye list? 😁😁😁
 
Huna akili! Arusha ipo juu mno ukitoa dar ni Arusha kwa maendeleo achana na hizi paperworks.
Arusha kama Mkoa au kama Jiji ,inaelekea huelewi takwimu au huelewi unachoongea.

Arusha hakuna maendeleo yeyote ya maana
 
Sawa lakini baada ya kuthaminisha vyoote GDP yenu iliyopatikana ni Trilioni 4.9 tuu 🤣🤣
 
Mm ue nina shanga’s kama tunazalisha 60% ya zao la kahawa kwanin kahawa yetu ipelekwe kwenye mdada moshi wakati kuna nchi jirani kama Burundi , Rwanda na Uganda wote wanalima kahawa kwann mnada wa jumla usijengwe pale Mutukula ili kuwezesha ushindani wa bei ya kahawa yetu na kukuza export ?
 
Mikoa yote yenye madini ilitakiwa kua on top 5 ya over 10b after Dsm something is not right hapo ,either nchi inapigwa au tunawaonea huruma wenye migodi mikubwa iliwao wapate zaidi,ukiangalia hizo over 10b ni kilimo na sio natural resources zinazoibeba ukiondoa Dsm
 
Kwenye hili mnapotezaje pesa ikiwa mnarudi na hela yenu mkononi?
 
Ndiyo maana nilisema mshirikiane na wabunge ili wakae na taasisi nyingine waone namna ya kumsaidia mkulima.
Lazima tutafute ufumbuzi
 
Sijaona logic ya ulichoongea maana pesa zote za madini ziko accounted so walichopata ndicho walistahili unless kama umechimba hayo Madini ukaenda kuuzia kwingine hapo zile transactions zinapungua but hela utakayorudi nayo na ukaiweka kwenye account ya Mkoa wako inahesabiwa kwenye Mkoa wako.

Kuna aina Fulani ya ukweli ikiwa Madini yanachimbwa sehemu X na yanauzwa sehemu Y hapo utapata net income ila transactions Kwa ujumla zitahesabiwa ulikouzia.
 
Sawa lakini baada ya kuthaminisha vyoote GDP yenu iliyopatikana ni Trilioni 4.9 tuu 🤣🤣
Serikali isaidie mikoa yenye fursa kama Kagera, Njombe, Iringa na Rukwa ili ingie kwenye ushindani katika uzalishaji na namna bora ya kulifikia soko bila vikwazo.
 
Kwenye hili mnapotezaje pesa ikiwa mnarudi na hela yenu mkononi
Vyama vya ushirika kuja kupanga bei ya kahawa vinaanza kutoa gharama zote kwenye bei ya mauzo ndo wanapata bei ya kahawa kwa musimu usika. Sasa usafirishaji na logistic za kupeleka kahawa dar es salaam nisawa na kuuzia kahawa Mutukula.
 
Vyama vya ushirika kuja kupanga bei ya kahawa vinaanza kutoa gharama zote kwenye bei ya mauzo ndo wanapata bei ya kahawa kwa musimu usika. Sasa usafirishaji na logistic za kupeleka kahawa dar es salaam nisawa na kuuzia kahawa Mutukula.
Nimeshasema hakuna excuses yeyote ya kuhalalisha uvivu,hayo inayosema yanafanyika Kila Mkoa.Mfani Korosho na tena umekuja utaratibu mwingine wa stakabadhi ghalani hakuna kuuza Baadhi ya mazao individually.

Lakini pia Kwa watu wa nafaka hawauzi wanapotaka Bali huzuiwa na Serikali mfano mwaka huu Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini nafaka zinauzwa 40,00-70,000 kutegemea na umbali Kwa gunia la kilo 100 wakati wangeachwa wangeenda kuuza hata 100k Nchi jirani Zenye njaa.

Kagera hakuna excuses watu wengi ila hakuna wanachofanya zaidi ya kupigana miti na Kujikimu.
 
Unamdanganya nani? Hayo maishe yenu Bora yatoke wapi ikiwa hamzalishi kulingana na idadi yenu?

Unadhani hivyo vijumba vya watu walioko Nje ya Mkoa huo ndio maisha Bora?

Tafuta kilaza mwenzio ndio mdanganye Mimi nakukatalia,the fact of the matter is idadi ya mafukara Kagera ni wengi kushinda Mikoa Mingi.
 
Ata ujaelewa mada hv unafahamu swala la mnada wa kahawa kuwa moshi unaisaidiaje moshi kimapato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…