ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #101
GDP=C+I+G+Net Exports where byKazi ya Mwl ni kelewesha. Tiririka mpaka nikuelewe.
Gross Domestic Product=Pato la Shughuli zote za uzalishaji, uwekezaji na matumizi ndani ya Mkoa husika zikithamanishwa Kwa hela.
C=Consumption,Jumla ya manunuzi/matumizi yote ndani ya Mkoa ya watu, Serikali, taasisi nk
I=Investments, Uwekezaji wa private au Serikali
G=Government Spending/Expenditures,Jumla ya Matumizi ya Serikali Kwa mwaka husika kwenye miradi na Huduma za jamii.
Net Exports (Exports less Imports) kinachobakia ndio kinajumlishwa kama pato na inaweza kuwa positive or negative.
Kiufupi Sasa hiyo 8.8T ya Arusha ndio Kila uzalishaji au service industry kama Utalii nk vilivyozalishwa ndani ya Mkoa Kwa mwaka husika ndio vina thamani hiyo.
Sasa kwenye hiyo serikali imechukua chake Kwa njia ya Kodi ,tozo nk Sasa unaweza Kuta Sasa kwenye kutoa let taarifa za Mapato ukakuta Arusha imechangia Mapato mengi lbda ya TRA sababu ni kwamba Kuna Baadhi ya sekta ziko taxable zaidi au Kwa nature yake Zina attract Kodi mfano Utalii ,lakini kuna Baadhi ya sekta Sina Kodi kiduchu au Hazina mfano Uzalishaji wa Kilimo,mambo hayo ndio huleta utofauti wa Wingi wa Kodi baina ya Mkoa na Mkoa.