HUmu tuna baba zetu aisee 1987?Toshiba nilipeleka home mwaka 1987 na VCR yake zilidumu kwa miaka 25 bila kuharibika
Mambo ya kale hayo mkuu
Wajapani kiboko
Ndio Baba, tena nilikuwa nimetoka majuu kuhangaika na maishaHu
HUmu tuna baba zetu aisee 1987?
Kuna LG 65" OLED moja matata sana. Ila tatizo la hizi OLED za LG za zamani baada ya muda zinapata burn in, ilianza kupata hivyo nikaipeleka basement nikachukua hiyo Sony 77" kama main TV ya living r
Kk vip,hii ya kwako ni brand gan,ya kwangu uku ni mawingu tu, evvoli 43" smartHyo hapo
Sasa hapa kada wa ccm anaingiaje?😅😅Mwaka mzima, nilinunua Hisense, nikaitupia uvunguni mpaka nilipomuuzia jamaa mmoja kada wa ccm
Hapa ndio watu wanapotea. Nilinunua mzigo wa Biashada Simu za Samsung nilijuta...picha zimefifia.Rising Android tv nchi 43 naenjoy mno, picha kali na nimekaa nayo muda mrefu tu. Nyie emdeleeni kununua majina ila mchina anakuja na mizigo mikali sana siku hizi.
😄😄😄.AMVO NCH 32.unadhani nitakuja tena kununua brand hizi za ajabu ajabu.labda wanirogeKk vip,hii ya kwako ni brand gan,ya kwangu uku ni mawingu tu, evvoli 43" smart
Lakin naona Iko clear Kwa upande wa picha😄😄😄.AMVO NCH 32.unadhani nitakuja tena kununua brand hizi za ajabu ajabu.labda waniroge
Hamna kitu hapoLakin naona Iko clear Kwa upande wa picha
Sasa ipi nzuri Kwa nch 43" Kwa maana mm na yangu evvoli naona sijaipenda Kwa kwelHamna kitu hapo
Yaani inategemea na video kama sio HD ndo majanga
Alivyosema ukitaka kubadili umcheki nilicheka tu.Hili hapa bossView attachment 3119229
Kampuni ni Samsung,hisense LG.kidogo na start.zingine majangaSasa ipi nzuri Kwa nch 43" Kwa maana mm na yangu evvoli naona sijaipenda Kwa kwel
Nilitaka kuandika hivi. Watu wanalaumu brand za watu kumbe kinachounguza/kuweka mistari TV zao ni umeme wetu. Niliunguza TV na Fridge from UK tangu hapo naweka stabilizer kubwa na tv/fridge guard kwa wakati mmoja. Miaka 4 sasa nina TV ya Hisense bado inadunda zile za Euro 2020 Edition.As long as it’s electronics Unahitaji utunzaji mkubwa.
1:hakikisha Una stabilizer or guard for your friji or tv.
2: hakikisha vitu vyako muhimu vyote vimeunganishwa na hizo guards kwaweli vitadumu ndani.
Tofauti kubwa ya tv ni resolution lkn mengine yote ni majina tu na utunzaji wa umeme na hasa umeme unaorejea baada yakukata huu nihatari sn kwakuunguza vitu
Mbona wadau huku nje wanasema Hisense ndio picha kali na HD yake haiishiKaribu sana
TCL wanakupa picha nzuri kuliko Hisense, lakini pia ni durable zaidi.
Hata mimi nilikua naamini picha za tv za kichina ni kali tu mpaka siku nilipoingia banda lenye samsung na wachina wameunganisha dish moja wanaonyesha mechi moja .Rising Android tv nchi 43 naenjoy mno, picha kali na nimekaa nayo muda mrefu tu. Nyie emdeleeni kununua majina ila mchina anakuja na mizigo mikali sana siku hizi.
Hata Mimi Nina mwaka Wa 4 Sasa haijanisumbua,nilinunua zenji...nchi 43 smart HDmINimekaa na tv ya lg since 2011 hadi nilipoamua kuiweka makumbusho ya familia. No mistari ubora ule ule 🤣🤣🤣🤣
Kk vip,hii ya kwako ni brand gan,ya kwangu uku ni mawingu tu, evvoli 43" smart
Tafadhali nenda ukajiandikishe ili upate fursa ya kupiga kura kuchagua viongozi wa mtaa wako Nov 27,2024
Kwamba rising ni nzuri mkuuHata mimi nilikua naamini picha za tv za kichina ni kali tu mpaka siku nilipoingia banda lenye samsung na wachina wameunganisha dish moja wanaonyesha mechi moja .
Ni mbingu na ardhi