Ulikuwepo mwanzo mwisho wa tukio au unakisia yaliyoendelea!!?Nitajuaje kuwa wewe ni mhalifu kabla ya kuambiwa wewe ni mhalifu! Yaani nikiulizwa na askari wewe uko wapi basi nijue wewe ni mhalifu! Haiwezekani.
Hatuifungulii taasisi,tunamfungulia huyo polisi kwa jina lake!Maana uwe na pesa za kumpata huyo mwanasheria. This is a 'Police State'.
Maswali ya mahakamani hayo!Ulikuwepo mwanzo mwisho wa tukio au unakisia yaliyoendelea!!?
Hayajakukuta yasio Haki,ongea tuu!Km inasaidia kumpata mwalifu wacha wapambane tu
Kuna kipind apa A twn wizi na vibaka walikua weng sana sasa polisi ilitumia mbinu iyo iyo na wizi ulipungua sana kijana akiiba au kupola akakimbia polisi ilikua inashika baba na mama inaweka ndani hii ilisaidia sana
Mimi si Mwanaccm lakini wewe ni mpinzani, ninyi ni wapuuzi ambao mnapinga hata vitu msivyoelewa kwa nini mnavipinga. Wazee wa kudandia stori hata hazijakamilika.Kwa upeo huu bila shaka ww ni mwanaccm
Kosa huwa halihamishiki.Ulikuwepo mwanzo mwisho wa tukio au unakisia yaliyoendelea!!?
Ni wapi ameshitakiwa kwa kosa la mumewe hadi useme kaamishiwa kosa!!??Kosa huwa halihamishiki.
Dada m ona mimi nimemqoute mtoa nasi wewe.. au upo kwenye siku zako?Mimi si Mwanaccm lakini wewe ni mpinzani, ninyi ni wapuuzi ambao mnapinga hata vitu msivyoelewa kwa nini mnavipinga. Wazee wa kudandia stori hata hazijakamilika.
Kupigwa kibao sio kuhamishika?Ni wapi ameshitakiwa kwa kosa la mumewe hadi useme kaamishiwa kosa!!??