Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Umemaliza. Mtu anamiliki simu ya gharama ukimuuliza ina impact gani kwenye maisha yake anabaki kusema Tecno inapata joto.
 
Mimi natumia samsung sasa kuna kipindi simu yangu ilianguka hadi chini wakati naendesha boda yangu na ikapasuka kioo na mimi sikuwa vizuri mfukoni ikabidi niiweke pending nichukue tecno ya wife kwakuwa naendesha kwa kutumia bolt ili niiendelee kuwa online wakati najipanga kuirekebisha simu yangu.Sasa basi naweza nikawasha data ya bolt ili nipate request nashangaa mbona nakaa sana sipati request kumbe simu inajizima data yenyewe nakuwa offline pasipo kujua so ikabidi nimrudishie wife simu yake nkarekebisha ya kwangu hadi sasa sijapata hiyo changamoto kama niliyopata toka tecno
 
Umasikini kitu kibaya ndio maana hata Bible imekisema unaweza ukawa na kitu cha ajabu Ila unataka kukifanya kiwe Bora
Na pia umasikini huambatana na husuda ,roho mbaya,kikubwa ni kuishi kulingana na level ya uchumi
 
Hii ni verified ID. Ifuatilie vizuri
Mkuu kuwa verified maana yake kuwa na maisha bora?Mbona kuna mdau wangu humu ni verified member lakini ni choka mbaya.

Kuwa verified ni takwa la muhusika wala hakuna vigezo viiingi.
 
Kwel siku hizi elimu ya bongo imechange.
IV ya 28 unaenda diploma[emoji53][emoji53]
 

ukitaka kujua binadamu upenda kizuri subiri kupata pesa.

siwezi kutumia takataka ambazo project zake zinasubiri kujifunza makosa au kukusanya mitaji ili kutengeneza kitu kizuri.

jifunze kujinyima ndio unaona hata vitu vizuri vina dumi
 
Ukiwa unatumia Samsung unakuwa comfortable zaidi kulinganisha na Tecno? Naomba msaada wa kunidadavulia hili

Mtu anaweza kutumia Passo lakini akawa comfortable na akafika atakapo kwa wakati lakini wewe unayetumia benz kwa kutojiamini kwako unaanza kashfa kuwa Passo sio gari nini kinakupelekea kusema hivyo ilihali wewe unaenjoy maisha kwenye bmw
 
Hizi simu ni under quality kwa tafiti za nani? Na nani alikwambia hazitumiki zinapotoka? Narudia tena mnao diss hizi simu hamna hoja za msingi zaidi ya kashfa na dharau.

usiwe mbishi bila kujisomea.

unajua tecno,infinix na itel zinazalishwa wapi???na kuuzwa mataifa yapi??kwanini??

unajua kwanini zinauzwa bei ndogo kuliko simu sawa za kampuni kubwa??
 

na ukiisikiliza nafsi yako,utagundua hata tecno ni anasa[emoji13][emoji13]
hapa ndio utajua msukumo kutoka nje una nafasi gani ktk maisha yako.
 
Kwel siku hizi elimu ya bongo imechange.
IV ya 28 unaenda diploma[emoji53][emoji53]
Kuna kigezo kingine huwa wanaweka kwa mfano ili mtu ajiunge diploma fulani basi awe na certificate ya eneo husika analotaka kusoma diploma ama awe na ufaulu wa credit 3 ( c tatu)form four.

Kwahiyo unakuta mtu ana four ya points 28 ila ana C tatu kwahiyo anakuwa qualified.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…