LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Wapeleke Uingereza kabisa au at least Ghana or ZambiaTutapeleka Nairobi watoto wetu,mambo ya kuwang'ang'aniza watoto wetu wasome kilimo cha nyanya kisa wanakaa Ilula hatutaweza,...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapeleke Uingereza kabisa au at least Ghana or ZambiaTutapeleka Nairobi watoto wetu,mambo ya kuwang'ang'aniza watoto wetu wasome kilimo cha nyanya kisa wanakaa Ilula hatutaweza,...
Mnajitiaga vitu vya ajabu kichwaniElimu ya dini ina umuhimu gani karne hii ? Watu wajifunze mambo ya dini kwenye makanisa na misikiti sio shule
Upuuzi gani ? Unamfundisha mtu masomo ya dini ili iweje ? Kwani makanisa na misikiti wameshindwa kutoa hizo Elimu ?Acha upuuzi wewe na mwenzako Mmoja aliyetoa comment Kama hii hapo juu
Noma sana, SUA sijui wanafundisha nini siku hizi?! Kilimo kimekua kama mafanikio, hata ukisoma sio lazima ufanikiwe, kwahiyo hata kilimo ni hivyo hivyo, unaweza usisome kilimo na ukalima na ukafanikiwa. Tunabahatisha bahatisha tu, kama mafanikio ya doto magariWala haijulikani si unaona hata hakuna TV ya Kilimo, somo la Kilimo sio ishu, ila masomo ya dini yamepenya
Ndio hivyo hakutakuwa na astashahada ya ualimu nk elimu ya sekondari kidato cha nne ni kazma kwa kila mwanafunz ila tu watakao faulu kidato cha 4 kwenda 6 hao ndoo watatupatia professionalisms wakutoshaNo. 30 Kwahiyo Form four leavers hawataweza kusoma Astashahada ya Ualimu means ili mtu apate diploma lazima aende Advance🤔🤔,.
Au mie ndio sijaelewa
Unataka Tanzania iwe nchi isivyo na identity kama America? Dini zinasaidia sana kuwafanya raia kuwa na maadili.Somo la dini limewekwa ili liwasaidie nini wanafunzi?
Mtoto anasoma dini ili iweje?
Naungana na wewe, hilo somo la dini liondolewe.Elimu ya dini ina umuhimu gani karne hii ? Watu wajifunze mambo ya dini kwenye makanisa na misikiti sio shule
Mpaka sasa hivi walimu wameshachanganyikiwa kuliko wanafunziHzo n mbwe mbwe wahulze hao waandaa mtaala kama watoto wao wanausoma hii itakuwa n full theory na ngonjera kibao
SeenMABADILIKO MAPYA YA MITAALA YA ELIMU SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO 2025
MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU:
1.Mtihani wa darasa la Saba utafutwa.
2.Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize Kidato cha nne.
3.Kutakuwa Mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa darasa la sita (STANDARD SIX NATIONAL ASSESSMENT).
4.Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza Kidato cha nne ili aweze kujiajiri au kuajiriwa baada ya kumaliza.
5.Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa kama somo kwa Shule za Kiswahili Medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa Shule za English Medium.
6.Elimu ya Msingi itakuwa miaka 6. Mwanafunzi ataanza darasa la kwanza akiwa na miaka 6 tofauti na ya sasa miaka 7.
8.Elimu ya Awali mwanafunzi ataanza akiwa na miaka 5.
9.Masomo ya Elimu ya Msingi yatakuwa ni KKK, Jiografia,kiswahili, Sanaa na Michezo, Hisabati,Sayansi, historia ya TANZANIA na Maadili,Dini na kiingereza na Stadi za Kazi itachomekwa.
10.Kiingereza kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwa shule za Kiswahili na kiswahili kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwanza kwa shule za kiingereza.
11.Shule zenye uwezo zitafundisha angalau somo moja la lugha za kigeni kama Kichina au Kifaransa.
12.Sekondari kutakuwa na mikondo 2, mkondo wa jumla na Amali (Ufundi). Mwanafunzi atachagua kutokana na uwezo,matakwa na malengo yake ya baadaye.
13.Mkondo wa amali (ufundi) utakuwa na fani zifuatazo:-
Kilimo na Ufugaji.
Umakenika.
Biashara na Ujasiriamali.
Sanaa na Ubunifu.
Elimu ya Michezo.
Ufugaji wa Nyuki.
Uchimbaji wa Madini.
Urembo.
14.Mwanafunzi wa Mkondo wa Amali atatakiwa kuchukua Masomo manne (4) ya jumla na moja la fani.
15.Masomo ya jumla ya wanafunzi wa Amali ni:-
Hisabati.
Elimu ya Biashara.
Kiingereza.
Historia ya Tanzania na Maadili.
16.Wahitimu wa Amali watapata vyeti viwili yaani:-
Cheti cha ujumla cha Elimu ya Sekondari (NECTA) na Cheti cha Amali ( NACTIVET).
17.Kila shule itakuwa na Wakala wa VETA ili kusimamia masuala ya Ufundi.
18.Kila shule haitakuwa na Mikondo zaidi ya miwili ya Ufundi,hii ni kwa ajili ya Ufanisi na fani ziwe zinaendana na fursa za eneo husika.
19.Kutaanzishwa somo jipya la Mawasiliano ya Kitaaluma (ACADEMIC COMMUNICATION) katika A-level na Ualimu.
20.CODING itafundishwa Shule za Msingi.
21.INFORMATION and COMPUTER STUDIES (ICS) itabadilishwa na kuitwa COMPUTER SCIENCE.Somo limesukwa upya.
22.CIVICS itaunganishwa na Historia ya TANZANIA na Maadili kwa O-level.
23.O-level Masomo ya lazima yatakuwa 6 badala 7 ya Sasa.
24.Katika O-level Masomo ya Biology na Geography yatakuwa Masomo ya kuchagua pia kwa sababu Maudhui yake yamekuwa kwenye Masomo ya Jiografia na Sayansi ya Shule ya Msingi kwa mfano Afya ya Jamii,Afya ya Uzazi, Magonjwa ambukizi nk.
25.Civics, Maarifa ya Jamii,Uraia na Maadili yamefutwa, Maudhui yake yameingia katika somo la Historia ya TANZANIA na Maadili.
26.General Studies (GS) katika A-level itafutwa na Maudhui yake yatawekwa katika Somo la Historia ya TANZANIA na Maadili na Mawasiliano ya Kitaaluma.
27.Kufuta baadhi ya Masomo kumefanyika ili kuondoa tatizo la kujirudiarudia kwa Maudhui.
28.Michepuo katika Elimu ya O-level imeongezeka kutoka minne (4) hadi tisa (9).
Michepuo iliyoongezeka ni:-
Sanaa.
Lugha.
Muziki.
Michezo.
Tehama.
29.Masomo ya O-level yatakuwa:-
Biology.
Physics.
Chemistry.
History.
Geography.
Historia ya TANZANIA na Maadili.
Hisabati.
Kiswahili.
English.
Elimu ya Biashara.
Utunzaji wa _Taarifa za Fedha.
Computer Science.
Bible Knowledge.
Elimu ya Dini ya kiislamu etc.
30.Astashahada ya Ualimu itafutwa kisha itaanzishwa Stashahada (DIPLOMA) ya Elimu ya Awali, Ualimu wa Msingi na Ualimu wa Elimu Maalumu.
Watakaosoma Stashahada watakuwa waliomaliza Kidato cha Sita na itasomwa kwa miaka miwili.
31.Walimu wa Sekondari wote watakuwa na Shahada (DEGREE). kwa sababu nchi nyingi zinaenda na mwelekeo huu.
32.Vyuo vilivyokuwa vinatoa Stashahada (DIPLOMA) ya Ualimu wa Sekondari vitatumika kutoa continuous Professional Development.
Ndio Maana yakeNo. 30 Kwahiyo Form four leavers hawataweza kusoma Astashahada ya Ualimu means ili mtu apate diploma lazima aende Advance🤔🤔,.
Au mie ndio sijaelewa
MABADILIKO MAPYA YA MITAALA YA ELIMU SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO 2025
MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU:
1.Mtihani wa darasa la Saba utafutwa.
2.Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize Kidato cha nne.
3.Kutakuwa Mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa darasa la sita (STANDARD SIX NATIONAL ASSESSMENT).
4.Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza Kidato cha nne ili aweze kujiajiri au kuajiriwa baada ya kumaliza.
5.Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa kama somo kwa Shule za Kiswahili Medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa Shule za English Medium.
6.Elimu ya Msingi itakuwa miaka 6. Mwanafunzi ataanza darasa la kwanza akiwa na miaka 6 tofauti na ya sasa miaka 7.
8.Elimu ya Awali mwanafunzi ataanza akiwa na miaka 5.
9.Masomo ya Elimu ya Msingi yatakuwa ni KKK, Jiografia,kiswahili, Sanaa na Michezo, Hisabati,Sayansi, historia ya TANZANIA na Maadili,Dini na kiingereza na Stadi za Kazi itachomekwa.
10.Kiingereza kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwa shule za Kiswahili na kiswahili kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwanza kwa shule za kiingereza.
11.Shule zenye uwezo zitafundisha angalau somo moja la lugha za kigeni kama Kichina au Kifaransa.
12.Sekondari kutakuwa na mikondo 2, mkondo wa jumla na Amali (Ufundi). Mwanafunzi atachagua kutokana na uwezo,matakwa na malengo yake ya baadaye.
13.Mkondo wa amali (ufundi) utakuwa na fani zifuatazo:-
Kilimo na Ufugaji.
Umakenika.
Biashara na Ujasiriamali.
Sanaa na Ubunifu.
Elimu ya Michezo.
Ufugaji wa Nyuki.
Uchimbaji wa Madini.
Urembo.
14.Mwanafunzi wa Mkondo wa Amali atatakiwa kuchukua Masomo manne (4) ya jumla na moja la fani.
15.Masomo ya jumla ya wanafunzi wa Amali ni:-
Hisabati.
Elimu ya Biashara.
Kiingereza.
Historia ya Tanzania na Maadili.
16.Wahitimu wa Amali watapata vyeti viwili yaani:-
Cheti cha ujumla cha Elimu ya Sekondari (NECTA) na Cheti cha Amali ( NACTIVET).
17.Kila shule itakuwa na Wakala wa VETA ili kusimamia masuala ya Ufundi.
18.Kila shule haitakuwa na Mikondo zaidi ya miwili ya Ufundi,hii ni kwa ajili ya Ufanisi na fani ziwe zinaendana na fursa za eneo husika.
19.Kutaanzishwa somo jipya la Mawasiliano ya Kitaaluma (ACADEMIC COMMUNICATION) katika A-level na Ualimu.
20.CODING itafundishwa Shule za Msingi.
21.INFORMATION and COMPUTER STUDIES (ICS) itabadilishwa na kuitwa COMPUTER SCIENCE.Somo limesukwa upya.
22.CIVICS itaunganishwa na Historia ya TANZANIA na Maadili kwa O-level.
23.O-level Masomo ya lazima yatakuwa 6 badala 7 ya Sasa.
24.Katika O-level Masomo ya Biology na Geography yatakuwa Masomo ya kuchagua pia kwa sababu Maudhui yake yamekuwa kwenye Masomo ya Jiografia na Sayansi ya Shule ya Msingi kwa mfano Afya ya Jamii,Afya ya Uzazi, Magonjwa ambukizi nk.
25.Civics, Maarifa ya Jamii,Uraia na Maadili yamefutwa, Maudhui yake yameingia katika somo la Historia ya TANZANIA na Maadili.
26.General Studies (GS) katika A-level itafutwa na Maudhui yake yatawekwa katika Somo la Historia ya TANZANIA na Maadili na Mawasiliano ya Kitaaluma.
27.Kufuta baadhi ya Masomo kumefanyika ili kuondoa tatizo la kujirudiarudia kwa Maudhui.
28.Michepuo katika Elimu ya O-level imeongezeka kutoka minne (4) hadi tisa (9).
Michepuo iliyoongezeka ni:-
Sanaa.
Lugha.
Muziki.
Michezo.
Tehama.
29.Masomo ya O-level yatakuwa:-
Biology.
Physics.
Chemistry.
History.
Geography.
Historia ya TANZANIA na Maadili.
Hisabati.
Kiswahili.
English.
Elimu ya Biashara.
Utunzaji wa _Taarifa za Fedha.
Computer Science.
Bible Knowledge.
Elimu ya Dini ya kiislamu etc.
30.Astashahada ya Ualimu itafutwa kisha itaanzishwa Stashahada (DIPLOMA) ya Elimu ya Awali, Ualimu wa Msingi na Ualimu wa Elimu Maalumu.
Watakaosoma Stashahada watakuwa waliomaliza Kidato cha Sita na itasomwa kwa miaka miwili.
31.Walimu wa Sekondari wote watakuwa na Shahada (DEGREE). kwa sababu nchi nyingi zinaenda na mwelekeo huu.
32.Vyuo vilivyokuwa vinatoa Stashahada (DIPLOMA) ya Ualimu wa Sekondari vitatumika kutoa continuous Professional Development.
HAPANA SIO BURE MI NAHISI TUMEROGWAWaTz mmezoa kulalamika tu... Ndiyo maana hamfanikiwi ktk maisha... Jambo hata liwe zuri kiasi gani mmanataka kuleta upinzani hamtaki kujadili mambo ktk upekee wake...
Halafu muwe mnajitahidi kusoma mabadiriko mbalimbali ya kisekta yanapotokea...