Hii imekaaje kuhusu huu mtaala mpya wadau

Hii imekaaje kuhusu huu mtaala mpya wadau

Unataka Tanzania iwe nchi isivyo na identity kama America? Dini zinasaidia sana kuwafanya raia kuwa na maadili.
Dini ni ya mtu binafsi hata katiba yetu inasema Tanzania haina dini.

Sisi wananchi hatuna sababu ya kugharamia masomo ya imani ya watu wengine. Wajigharamie wenyewe.

Maadili yanafundishwa na dini? Kwamba nchi kama Korea kaskazini, China, India nk ambazo hazina dini hatu wake hawana maadili?
 
2.Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize Kidato cha nne.
Akianza la kwanza lazima amalize Form 4

Asipoanza la kwanza halazimishwi kusoma.

Kama ungependa mtoto wako aolewe ndoa za kijadi za utotoni au achunge mbuzi hakikisha hakanyagi darasa la kwanza, hatabughudhiwa.

Ujumbe wa serikali nandani umeeleweka.
 
Akianza la kwanza lazima amalize Form 4

Asipoanza la kwanza halazimishwi kusoma.

Kama ungependa mtoto wako aolewe ndoa za kijadi za utotoni au achunge mbuzi hakikisha hakanyagi darasa la kwanza, hatabughudhiwa.

Ujumbe wa serikali nandani umeeleweka.
Hizo nchi zote ulizozitaja Zina dini naaadili yao. Make google your friend.

Madekani ni nchi isiyo na dini Wala utamaduni,ndiyo maana ni nchi ya hovyo.
 
Yake yale ya Mungai ya Physics with chemistry. Wakufunzi hamna....
 
Mtaala umekaa poa sana... na wakiusimamia wanafunzi watazidi kuwa bora miaka inavyoendelea....
Nia ni njema, tusubiri utekelezaji
Tukumbuke wenzetu Kenya shule za msingi, wameongeza madarasa kutoka 8 Hadi 9, sisi tunapunguza, kutoka 7 Hadi 6.
 
Back
Top Bottom