Hii imekaaje, Mimi na kaka yangu hatuna ukaribu wa hata kujuliana hali lakini kwenye matatizo tunasaidiana sana kuliko marafiki tuliozoeana sana.

Wee unalo pepo unafuta namba za kak ako hpn hakuan jhaja hyo

Leo broo nnilimueleza kuwa Sian nauli nitike sehemu fln HV Happ post kweli baada ya muda muamula mrefu ukasoma nikajuwa amekose labda kutuma bas nikatulia nikamjulisha kuwa asnta nimepata hell na tayari Niko hayao maeneo.

Wala hata hajanijibu na mop sas ajanitafuta mm nimeenda mpesa niaktoa hela zote sas nimelipa madeni kadha na nafikiria mamabo mengine

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Msaada sio lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…