goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Wee unalo pepo unafuta namba za kak ako hpn hakuan jhaja hyoMimi namba ya Bro nilikuaga sina
Nikaichukua mwenye simu ya bi mkubwa kwa ajili ya kumfahamisha bi mkubwa anaumwa, na vile mi ndo nilikua nauguza..
Alivyopona nikafuta! Maana hatunaga stori kabisa!!! Chuki sio chuki ugumu sio ugumu sijui ni pepo!!!!
Ila sasa kuna jambo limemkuta ndani ya miezi kadhaa nimelitatua kwa nguvu zangu zote bila hiyana... kuongea kwetu ni Detail za msingi tu!
Hata nikwamaje sijawahi muomba hata mbuni... na namba yake nimesave tu kwa ajili ya izo ishu tukishakaa kimya miezi mi2 naifuta....
huwa nashangaaga kuona watu wanaishi na ma-bro wao kirafiki aisee
Leo broo nnilimueleza kuwa Sian nauli nitike sehemu fln HV Happ post kweli baada ya muda muamula mrefu ukasoma nikajuwa amekose labda kutuma bas nikatulia nikamjulisha kuwa asnta nimepata hell na tayari Niko hayao maeneo.
Wala hata hajanijibu na mop sas ajanitafuta mm nimeenda mpesa niaktoa hela zote sas nimelipa madeni kadha na nafikiria mamabo mengine
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app