Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Embu leta namba yakeBabu mimi nimekutana na binti mdogo akaniambia nibadili nimfate yeye kwanza niliona kama Kani dharau Yan namzdi, pesa, umri, elimu Ata exposure afu demu š¤£akaniambia ety badili dini niliona mbona kama anataka kunioa sasa
Ki umri ndoa ni kubwa kuliko Dini/Dhehebu ivyo vilifuata baada ya Ndoa. Ukilitambua ilo uwezi kuwa mshabiki wa Dini/Dhehebu.Habari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari
WapendanaoHiyo Ndoa imeletwa na nani?
Hakuna ndoa hapoHabari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari
Wanaishi pamoja ndoa haipo tena?Hakuna ndoa hapo
NakaziaEmbu leta namba yake
SafiKwa mfano mm wife mkatoliki afuu mm ni mpagani nabuudu mizimu
ungu hawezi kuwa mmoja hata siku mojaKupanga ni kuchagua Mkuu kwaiyo wameamua iwe ivyo maana Mungu ni Moja
Mizimu ambayo mke anaikemea, apo inakaajeSafi
Hakuna shida yoyote. Kila mtu Ć na IMANI yakeHabari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari
Hao wapendanao walianzisha ndoa from nowhere tuWapendanao
Unataka kusemaje?Hao wapendanao walianzisha ndoa from nowhere tu
Ukiachana na malezi ya watoto, pia kuna mambo mengine jamii itashindwa kuwasaidia kutokana na huo mgawanyikoKuna mmoja anaamua kuwa mpole ili wasiathiri malezi ya watoto but kwa upande wangu ni kosa kubwa sana mke kuwa tofauti na mimi bora ndoa ife kuliko kutofautiana imani hata kwenye bible sijawahi soma kituko kama hicho
Ukiachana na malezi ya watoto, pia kuna mambo mengine jamii itashindwa kuwasaidia kutokana na huo mgawanyiko
Kwani kuna shido,kikubwa kupendana na kuelewanaHabari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari
Wakipata msiba hiyo familia watatumia utaratibu upi.Yapi