Muhimu mapenzi. Dini siyo issue. Mie mfano.Habari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari
WA muhusikaWakipata msiba hiyo familia watatumia utaratibu upi.
Alafu nyie mnasema ndoa mnazingua Ebu someni hapa kwa umakiniHabari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari
Alafu nyie mnasema ndoa mnazingua Ebu someni hapa kwa umakini
Unamuacha akimaliza unaendelea na mambo yakoMizimu ambayo mke anaikemea, apo inakaaje
Hakuna shidoKwani kuna shido,kikubwa kupendana na kuelewana
Haya yametoka wapi ungejikita kwenye madaNdoa ni yao, mapenzi ya yao kwani, kwani hao wadini zao hawakuwaona waone nao? Watu wakianza maisha ndo wanachonga midomo?
ni kuheshimiana tu. nime-date muslims girls wengi tu, na j2 ananiandalia nguo za kanisani na yeye msimu wa ramadhan nafunga nae au ata nisipo funga sili mbele yake. sijawahi ata tamka neno nguruwe mbele yake na nakula vizuri kabisa. ila nikila nahakikisha kasafiri. just respect.Kwa mfano mke akiwa anapenda nguruwe na mume ni muislam huoni hapo kutakuwepo na shida?
Kama ni hivo basi ni vizurini kuheshimiana tu. nime-date muslims girls wengi tu, na j2 ananiandalia nguo za kanisani na yeye msimu wa ramadhan nafunga nae au ata nisipo funga sili mbele yake. sijawahi ata tamka neno nguruwe mbele yake na nakula vizuri kabisa. ila nikila nahakikisha kasafiri. just respect.
Kabisa kabisaNdoa ni unganiko la wawili wapendanao. Dini ni upuuzi tu made by a man
Wakiuana majirani wote mnakamatwaIla waswahili sijui mkoje, ndoa ya jirani wewe inakuhusu nini? Huna kazi ya kufanya?
Sawa haiwezi kuathiri ndoa , ikiwa hayo ni makubaliano yaoHaya yametoka wapi ungejikita kwenye mada
Kwan ndoa ni nn mkuuuApo hamna ndoa apo mnaishi Bora liende
Hapo mbinguni unashikilia kitengo gani mkuu?Hakuna ndoa, hapo wanazini tu..!
Scenario kama hii ishanikuta kademu kwanza kenyewe ndiyo kalinitongoza lakini kalikuwa katoto kanataka nikaoe lkn mm nibadili dini kwnzaBabu mimi nimekutana na binti mdogo akaniambia nibadili nimfate yeye kwanza niliona kama Kani dharau Yan namzdi, pesa, umri, elimu Ata exposure afu demu š¤£akaniambia ety badili dini niliona mbona kama anataka kunioa sasa
Ulichukua uamuzi ganScenario kama hii ishanikuta kademu kwanza kenyewe ndiyo kalinitongoza lakini kalikuwa katoto kanataka nikaoe lkn mm nibadili dini kwnza
Hamna ndoa hapo, hao wote wana ziniHabari,
Moja kwa moja kwenye mada. Hii imekaaje wakuu mume na mke kusali dini tofauti wakati bado wako pamoja ndoani?.
Kwa maana kuna majirani zangu hapa mmoja mke anasali Katoliki yeye Mwislam na mwingine mke anaswali kwenye dini ya Uislam ume Anglican.
Je, haiwezi kuathiri ndoa?.
Uzi tayari