Hii imekaaje wazee

Mkuu hapo kuna jambo inawezekana huyo mwanao hela hana so alishindwa kukujibu kwa kuwa wwe ni mzazi akamtumia mke wake

Au mwanao kashikwa na mkweo
 
Ampe mzaziwake pesa alitaka akamwambie nani kma sio yeye mtotowake huyo mke huko kwao huwa hachangii misiba au hebu aache utoto
 
 
Dogo huna akili kwann umwambie kuhusu Hela unazowapa wazazi wako
 
Umejuaje kama alibeba mimba kwa makusudi? Je unajua makubaliano yao wanapokuwa wawili?
 
Sio kupigwa vita kuna vitu watu tunaishi navyo na kuona vya kawaida ni bora tuongee watu wapate kuamka kuna wanaume wengi hata humu wapo maamuzi wanafanyiwa na wake zao
Mnaoviona vya kawaida ni ww, huyo mwanao na jamii ilowazunguka,na kwa maana hiyo bas mnahitaji ufufuo na uzima
 
Mkuu sio mimi mimi siwez kubali uho ujinga ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio yamemkuta
Hivi kwa nini mkiletaga story zenu humu za ajabu ajabu mkishukiwa kama mwewe mnasingizia jamaa zenu? Mwanaume ambaye kila kitu anamshirikisha mkewe atakuwa anamapungufu fulani.
 
Mwanaume ukishaoa, upatapo hela tenga mafungu 3.
1. Kwa ajili ya matumizi ya familia
2. Kwa ajili ya uwekezaji na dharurA
3. Kwa ajili yako binafsi.
Kama huyo mwamba anapangiwa hadi matumizi na mkewe mwambie anunue dera tu aanze kucheza baikoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…