x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
Mambo ya familia nyinyine hata wewe hayakuhusu unatuletea sisi, sisi tutajuaje changamoto zao hadi huyo mwanamke kufikia hatua hiyo.Sawa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya familia nyinyine hata wewe hayakuhusu unatuletea sisi, sisi tutajuaje changamoto zao hadi huyo mwanamke kufikia hatua hiyo.Sawa mkuu
Wewe ndionumeongea kiutunzima sanapAmpe mzaziwake pesa alitaka akamwambie nani kma sio yeye mtotowake huyo mke huko kwao huwa hachangii misiba au hebu aache utoto
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] je mnawarithisha wavulana uanaume kikamilifu?wanaume tumebaki wachache sana
MEntalillness inaingiaje hapo.?Mbona swali la jamaa hata halikustahili majibu ya kejeli hivi? #MentalIllness is real aisee
Huna akili, mambo ya mzazi wako yanamuhusu vipi mkeo?
Yani mmetawaliwa na wanawake kiasi kwamba hakuna kitu unaweza kufanya bila kumshirikisha mke wako?
Huu ni upumbavu na ukemewe kwa nguvu zote, hakuna replacement ya mzazi, tena ficha ujinga wako huu utachekwa, wewe unaweza kumjibu mzazi wake hivyo?
Labda mke ndo mfadhili mkuu, hatuwezi fahamudaah mke kakosea sana kuingilia yasiyomhusu na ukute hapo wameombwa hata elfu 5 tu
Mbona hamna ubaya wote ule dhaidi ni kwamba katoa maarifa Kwa wengine kupitia komenti za wachangiajiBaada ya kumuweka chini mshkaj ili mpeane muongozo umeona bora uje kuyamwaga jamvin
Dogo huna akili kwann umwambie kuhusu Hela unazowapa wazazi wakoHellow african
Wewe tuchukulie ni mzazi una muomba mwanao hela kuna ndugu yenu kafariki unamuuomba hela ya kuchangia kwenye msiba umeongea na mwanao wakiume akakubali vizuri baada ya nusu saa mkweo anakupigia simu anakuambia kuwa hakuna hela kama hakuna ulazima wa kuchangia usichangia wewe utamchukuliaje huyu mkweo?
Soma vzr broooDogo huna akili kwann umwambie kuhusu Hela unazowapa wazazi wako
Umejuaje kama alibeba mimba kwa makusudi? Je unajua makubaliano yao wanapokuwa wawili?Mda mwingine busara inaitajika ndio maana watu wanasema mapenzi yana nguvu angalie na wake wa kuoa ndugu wa mume walimkata huyo mwanamke kitambo sana mwanamke anavaa kikukuuu amechora tatuu mwanamke anajikoboa wazazi waliona ishara mbaya wakagoma mke akaamua amebebe mimba kwa makusudi
Ndo tatzo la kulelewa na wanawakeSoma vzr brooo
Usikulupuke kujibu soma af ueleweHii inamaanisha mkweo ashajua mbinu zako za vizinga,badili Staili.
Mnaoviona vya kawaida ni ww, huyo mwanao na jamii ilowazunguka,na kwa maana hiyo bas mnahitaji ufufuo na uzimaSio kupigwa vita kuna vitu watu tunaishi navyo na kuona vya kawaida ni bora tuongee watu wapate kuamka kuna wanaume wengi hata humu wapo maamuzi wanafanyiwa na wake zao
Yaan bas tu,hata hvyo niling'ang'aniwa kitapeliA
hahahha wewe unasema ivyo ili hali una mke na mtoto kwahiyo mkeo nintapel
Na una mtoto 😂😂😂😂Yaan bas tu,hata hvyo niling'ang'aniwa kitapeli
Hivi kwa nini mkiletaga story zenu humu za ajabu ajabu mkishukiwa kama mwewe mnasingizia jamaa zenu? Mwanaume ambaye kila kitu anamshirikisha mkewe atakuwa anamapungufu fulani.Mkuu sio mimi mimi siwez kubali uho ujinga ni mshikaji wangu wa karibu sana ndio yamemkuta