Hii imekaaje wazee

We unaombwa Hela na mzazi na wewe unamwomba mwanao tena!
Hatakiwi kulaumiwa yuko focus na maisha mbele huko
WEWE toa hayo matumizi iwe msiba au harusi.
 
Wanajuana haoo utaumiza kichwa bure yote majitu mazima.
 
Mimi kama kijana mke wangu hana mamlaka ya kuongea na wazazi wangu kuhusu mambo yangu mimi na wazazi wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…