Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?camera Yako mbovu.washa taa piga picha uppya
Kipimo kingine tofauti na iki? Au tufike zahanai au hospital?tafuta kipimo cha kukonfirm akikutwa positive aanze dawa haraka
Unaniombea mabaya kiasi iko mzeee 😂😂 kondom 500 tu inishinde?Ukisema ni wewe kuna kosa gani
Ngono zembe haijawahi kumuacha mtu salama
RIP in advance
😅😅 Arudi kupima hata mala tatu.. hapo kidude kimeduwaa.. hakielewi kama imo au haimo ..View attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?
Kwamba?kishawaka huyo, aanze dawa chap
😂😂 nishamfukuza asepe zake😅😅 Arudi kupima hata mala tatu.. hapo kidude kimeduwaa.. hakielewi kama imo au haimo ..
icho ipimo kiko very likely kutoa false neg kuliko false posKwamba?
Sio mimi soma vzrHicho kipimo pekee kinapima antibody test sisi ili uconfirm kuna vipimo vingne vinatakiwa kuwa performed nenda zahanat ukapime ukikutwa na maambukizi anza dawa chap
Kwa hiyo hapo kazi imeisha mkuu?Ukisema ni wewe kuna kosa gani
Ngono zembe haijawahi kumuacha mtu salama
RIP in advance
Hii ni POSITIVE, ila nenda hospital kwenye vipimo zaidi mzeeView attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?
Mzee sio mimi mbona nimesema ni girl nilikutana nae jana uko viwanja sasa alijua nimelewa nikatoa vipimo tupime kwaza ndio majibu yake hayoicho ipimo kiko very likely kutoa false neg kuliko false pos
nakupa RIP mapema sana