Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawandomaana kilasiku mnaambiwa mwende vituo vya afya kuhakiki ayo majibu.
kama ayo majibu apo sio lazma uyo mtu atakuwa +ve. saabu ukijipima mwenyewe nyumbani hlf ukasoma majibu nje ya muda unaotakiwa, itaonesha +ve wkt pengine uyo mtu ni -ve.
ila sio kesi kivile vyovyote iwavo maisha lazma yaendelee.
😁😁 sina mzigo bhnaUnao mzigo
Kibaya zaidi ilikuwa ni kukimbiwa kwa hao wagonjwa, maana wengi walipoupata walitaka kuambukiza wenzao kwa makusudi.Kizazi cha 2000 sidhani hata kinaelewa ngoma kwa undani wake mkuu. 90s nilikuwa nashuhudia vitu vya hatari, mtu kanyooka ubao ukasome aisee!!
Ni positive! Unao kaka!View attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?
🙉🙉kwani hivi vipimo vinadanganya auKuna mzee yeye kila akipima ni mzima wa afya na yupo hapa hapa JF. Ila ni muathirika na anatumia mbaazi, juzi juzi nimepata mashtaka yake kamuingiza mtu gridi ya taifa. Hivyo vipimo usiviamini kabisa.