stevemsb
Member
- Jan 20, 2017
- 28
- 88
Hasira pia n dalili angalia usije enda stage 2 kabla hujaanza doziAcha upumbav bc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira pia n dalili angalia usije enda stage 2 kabla hujaanza doziAcha upumbav bc
Hapo sonona tu😂😂😂pressure inapanda na kushuka.. kama alianza kumla mate na kuzama chumvini ndio ikaja akili ya kupima.. 😅😅😅.. akapiga mswaki siku nzima
Jamani😂😂😂Hasira pia n dalili angalia usije enda stage 2 kabla hujaanza dozi
😅😅😅 tuanzishe dawati la ushauri na saha humu humu eehHapo sonona tu😂😂😂
Kwakweli inabidi tuanzishe mapema iwezekanavyo 😂😅😅😅 tuanzishe dawati la ushauri na saha humu humu eeh
Hatare😅😅😅 tuanzishe dawati la ushauri na saha humu humu eeh
Mnanichulia ninyi poa tu 😂C.c Mwachiluwi .. 😅😅😅
😅😅 sasa mbona unanibania namba zake na picha nianze kutoa ushauri na sahaMnanichulia ninyi poa tu 😂
Nacheka kama kichaaa nyie watu sio poaHata kama nimezeeka na macho yangu hayaoni sawasawa ila majibu kwa hicho kipimo yanaonesha Positive.
Kwahiyo kama ni huyo mwenzio au ni wewe uliyepima, kuna haja uwahi Kituo cha afya kilicho jirani nawe kwaajili ya kuanza dozi mapema.
Kumbuka, Kupata Vizuri vya Ukimwi siyo mwisho wa maisha.
Muhimu uzingatie matumizi sahihi ya hiyo dozi, lishe bora, mazoezi lakini pia upunguze kushiriki ngono mara kwa mara.
Ngoja nilewe niziweke😅😅 sasa mbona unanibania namba zake na picha nianze kutoa ushauri na saha
Mkuu kwani lazima mtu aanze dozi mda huo huo? Kama afya iko bien uanze dozi ili iweje? Nakuwa siwaelewi watu wa afya katika hili.Anza dozi chapu ndugu usiogope
Hahahaha...................inapofikia hiyo stage hata mb****00 inagoma kusimama hata umwone demu mkali kama Cleopatra wa enzi ya Misri ya KaleNacheka kama kichaaa nyie watu sio poa
Kuanza dozi mapema n nzuri ikiwa virusi bado viko kwenye stage ndogo ukianza viko kwenye stage kubwa kama 3 or 4 uwezekan wa kupata magonjwa yemelez n mkubwa na utatumia gharama kubwa kukontroll omnivious infectionMkuu kwani lazima mtu aanze dozi mda huo huo? Kama afya iko bien uanze dozi ili iweje? Nakuwa siwaelewi watu wa afya katika hili.
Duh!Muwe makini na hivyo vipimo maana ukichukua damu ya mbuzi nakuiweka hapo inaonyesha mbuzi ni muathirika. Na ukichukua damu ya ng'ombe inaonyesha sio muathirika.
Kupunguza kasiMkuu kwani lazima mtu aanze dozi mda huo huo? Kama afya iko bien uanze dozi ili iweje? Nakuwa siwaelewi watu wa afya katika hili.