Hii ina maana gani ni positive au negative?

Hii ina maana gani ni positive au negative?

Hata kama nimezeeka na macho yangu hayaoni sawasawa ila majibu kwa hicho kipimo yanaonesha Positive.

Kwahiyo kama ni huyo mwenzio au ni wewe uliyepima, kuna haja uwahi Kituo cha afya kilicho jirani nawe kwaajili ya kuanza dozi mapema.

Kumbuka, Kupata Vizuri vya Ukimwi siyo mwisho wa maisha.

Muhimu uzingatie matumizi sahihi ya hiyo dozi, lishe bora, mazoezi lakini pia upunguze kushiriki ngono mara kwa mara.
Nacheka kama kichaaa nyie watu sio poa
 
Mkuu kwani lazima mtu aanze dozi mda huo huo? Kama afya iko bien uanze dozi ili iweje? Nakuwa siwaelewi watu wa afya katika hili.
Kuanza dozi mapema n nzuri ikiwa virusi bado viko kwenye stage ndogo ukianza viko kwenye stage kubwa kama 3 or 4 uwezekan wa kupata magonjwa yemelez n mkubwa na utatumia gharama kubwa kukontroll omnivious infection
 
Back
Top Bottom