Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USA alijisahau, acha na mfumo mwingine uje Ili watu wawe na option hata kama nikunyonywa Kila mtu achague anyonywe na yupi mwenye unafuu.Hakuna mfumo wa malipo isiyokuwa ya kinyonyaji, kila mbabe atanyonya mnyonge wake...ndani ya BRICS lazima kuna dude mmoja atawanyonya wengine kama wanavyomlalamikia USA kuwanyonya.
Wajinga ndiyo waliwao
Tatizo ni kuwa USA anatumia hyo mifumo kama fimbo.....ukienda tofauti anakulima sanctionsHakuna mfumo wa malipo isiyokuwa ya kinyonyaji, kila mbabe atanyonya mnyonge wake...ndani ya BRICS lazima kuna dude mmoja atawanyonya wengine kama wanavyomlalamikia USA kuwanyonya.
Wajinga ndiyo waliwao
India na china hawana mahusiano mazuri, waarabu na muirani hawaelewani cjui itakuwajeUSA alijisahau, acha na mfumo mwingine uje Ili watu wawe na option hata kama nikunyonywa Kila mtu achague anyonywe na yupi mwenye unafuu.
India na China siwamemaliza juzi ugomvi wao wa mipaka?. Iran na warabu wepi hawaelewani?.India na china hawana mahusiano mazuri, waarabu na muirani hawaelewani cjui itakuwaje
Unaishi dunia gani,Iran na waarabu hawapatani!?India na china hawana mahusiano mazuri, waarabu na muirani hawaelewani cjui itakuwaje
Ukraine kavamia urusi na vita inapiganwa kremlin?Kwa mtazamo wao
Mkorofi ni ukaraine na Nato yake.
Wewe ndio unaish ulimwengu wako. Unafikiri hiyo vita hapo Yemen ilikuwa inasababu gan. Au mchina mwaka jana aliwapatanisha nini Saudia na Iran au ushajiuliza miaka karibu 6 mahujaji kutoka Iran walikuwa hawaend Saudia kwaniniUnaishi dunia gani,Iran na waarabu hawapatani!?
Ugomvi wa mpaka mpaka kesho haujaisha kaka. Na waarabu wanahofia nguvu ya shia inayokuwa ndio maana wako magharibi zaidi na India na magharibi ni kitanda na shuka.India na China siwamemaliza juzi ugomvi wao wa mipaka?. Iran na warabu wepi hawaelewani?.
Jitahidi kua updated Kuhusu mipaka kati ya India na China.Kuhusu waarabu wanahifia vipi nguvu ya Shia huku baadhi ya shia huko Syria, Iraq, Lebanon nao ni warabu?. Vipi shia wa Iran anavyowasaidia Suni wa Hamas?. Mbona Suni wenzie wa Saudia , Qatar, UAE hawawasaidia Suni wenzao wa Hamas Ili kupunguza nguvu ya Shia ambao wengi wao ni Iran?.Ugomvi wa mpaka mpaka kesho haujaisha kaka. Na waarabu wanahofia nguvu ya shia inayokuwa ndio maana wako magharibi zaidi na India na magharibi ni kitanda na shuka.
Shetani ana anza kujitambua.
Ushajiuliza kwanini dalai lama anaishi India na wafuasi wake. Nachokuambia mpaka ule mpaka kesho hauko sawa ndio maana hakuna askar anaruhusiwa kubeba silaha pande zote. Kama waarabu na wairan hujui ugomvi wao basi mi naishia hapoJitahidi kua updated Kuhusu mipaka kati ya India na China.Kuhusu waarabu wanahifia vipi nguvu ya Shia huku baadhi ya shia huko Syria, Iraq, Lebanon nao ni warabu?. Vipi shia wa Iran anavyowasaidia Suni wa Hamas?. Mbona Suni wenzie wa Saudia , Qatar, UAE hawawasaidia Suni wenzao wa Hamas Ili kupunguza nguvu ya Shia ambao wengi wao ni Iran?.
Huo mfumo tangu muanze kusema uje ni miaka sasa inapita lkn hamna kitu, brics ni kama puto kuuuubwa lkn ndani limejaa upepo tu.USA alijisahau, acha na mfumo mwingine uje Ili watu wawe na option hata kama nikunyonywa Kila mtu achague anyonywe na yupi mwenye unafuu.