The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Hafuatilii hata taarifa hajui hata kuwa tayari wameshapatanishwa na China yupo yupo 🤣🤣🤣Unaishi dunia gani,Iran na waarabu hawapatani!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hafuatilii hata taarifa hajui hata kuwa tayari wameshapatanishwa na China yupo yupo 🤣🤣🤣Unaishi dunia gani,Iran na waarabu hawapatani!?
Naam iko hivyoKuna muda inabidi uungane na adui yako ili kumuangamiza adui mkuu.🤣
Kama Una chuki meza bogaHuo mfumo tangu muanze kusema uje ni miaka sasa inapita lkn hamna kitu, brics ni kama puto kuuuubwa lkn ndani limejaa upepo tu.
Mkuu, nasikia Afrika ya Kusini naye yupo.Afrika hatuna watetezi kwa hiyo hawajatoa tamko kuwa vita vya Sudan,Congo, nk kuwa vikomeshwe.Aisee
Sio lazima katika miungano kuwa wote lazima wawe na mahusiano mazuri.India na china hawana mahusiano mazuri, waarabu na muirani hawaelewani cjui itakuwaje
Kuna mfumo wa Pi network unakuja ni crypo hyo inayotumia blockchainUSA alijisahau, acha na mfumo mwingine uje Ili watu wawe na option hata kama nikunyonywa Kila mtu achague anyonywe na yupi mwenye unafuu.
Ni kweli ndio tunakuja pale pale Jerusalem kwa huu utofauti tu muwestern si tayar kashapata uchochoroSio lazima katika miungano kuwa wote lazima wawe na mahusiano mazuri.
Nchi zinachoangalia ni maslahi ktk umoja au kikundi
Nipe boga nimezeKama Una chuki meza boga
Tatizo USA wanakunyonya kwa nguvu na UKIOMBA MAJI HUPEWI so BRICS utanyonywa huku unabembelezwa na utapewa maji bila hata kuyaombaTatizo ni kuwa USA anatumia hyo mifumo kama fimbo.....ukienda tofauti anakulima sanctions
Fikiria zaidi. Kumbuka BRICS ilikuja kuwapo kama matokeo ya vita ya Urusi na UkraineKwahiyo ww ulitaka waseme vita iendelee? Hujui hata lugha ya kidipromasia?
Tungekuwa wanachama tamko lingetolewa.Afrika hatuna watetezi kwa hiyo hawajatoa tamko kuwa vita vya Sudan,Congo, nk kuwa vikomeshwe.Aisee
Imepata nguvu zaidi sema,ila ilisha kuwepo.Fikiria zaidi. Kumbuka BRICS ilikuja kuwapo kama matokeo ya vita ya Urusi na Ukraine
Mind your L and RKwahiyo ww ulitaka waseme vita iendelee?
Hujui hata lugha ya kidipromasia?
Africa kusini mwanachamaTungekuwa wanachama tamko lingetolewa.