Yako Atta
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 279
- 455
Ungetambua maana ya awamu za urais zinavyotambulika na mnyumbuliko wa namba za kibunge katika utambuzi wala usingebabaishwa kwa kuweka kapu moja vitu vyeny mnyumbuliko tofauti.
Ulitaka aseme yy ni rais wa awamu ya tano B?
Awamu za urais hutambuliwa kwa Personality ya Rais husika sio uchaguzi wala muda wa kukaa madarakani. Awamu ya kwanza ilikuwa na miaka 24 kwa sababu ilikuwa na mtu mmoja tu. Awamu ya 5 ilikuwa ya miaka mitano na kiezi mitatu kwa sabab Rais wa awamu hyo alifariki akiwa ofisini. Kwa sasa Tupo awamu ya Sita ya Rais mpya wala haijalishi amepatikanaje iwe kwa kupigiwa kura au kukwea nafsi kikatiba.
Bunge la sasa halitambuliwi kuw an bunge awamu fulani( Awamu huambatana na Urais) Bunge lina mnyumbukiko wa namba zake katka utambuzi. Hili sasa n Bunge la Kumi na mbili(12) chini ya Spika Job Ndugai.
Ulitaka aseme yy ni rais wa awamu ya tano B?
Awamu za urais hutambuliwa kwa Personality ya Rais husika sio uchaguzi wala muda wa kukaa madarakani. Awamu ya kwanza ilikuwa na miaka 24 kwa sababu ilikuwa na mtu mmoja tu. Awamu ya 5 ilikuwa ya miaka mitano na kiezi mitatu kwa sabab Rais wa awamu hyo alifariki akiwa ofisini. Kwa sasa Tupo awamu ya Sita ya Rais mpya wala haijalishi amepatikanaje iwe kwa kupigiwa kura au kukwea nafsi kikatiba.
Bunge la sasa halitambuliwi kuw an bunge awamu fulani( Awamu huambatana na Urais) Bunge lina mnyumbukiko wa namba zake katka utambuzi. Hili sasa n Bunge la Kumi na mbili(12) chini ya Spika Job Ndugai.