Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #61
Kumbe🎼🎼🎼 Parapanda italia, parapanda
Parapanda italia, parapanda 🎶🎶🎶
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe🎼🎼🎼 Parapanda italia, parapanda
Parapanda italia, parapanda 🎶🎶🎶
kama una ufahamu wa yote haya si ndo ukapime icho kipimowiki mbili haiwezi onekana labda ningepima kipimo cha PCR
chai ganChai huwa situmii bro.
View attachment 3236483
heeee scabizi ndio nn tena🤔Pole sana Mkuu. Ramli yangu hapa inaniambia una scabbies. Kama muwasho unaongezeka sana usiku basi ndiyo huo ugonjwa.
Tafuta dawa ya kupaka inaitwa scaboma. Bei elekezi enzi za Magu ilikuwa elfu 8 sijui kwa sasa.
Kwamba niende nikapime PCR unaelewa gharama yake?kama una ufahamu wa yote haya si ndo ukapime icho kipimo
Kapime kijanachai gan
Vipimo haviwezi kudetect wiki 2Kapime kijana
Wakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
asantePole sana.
Nenda hospitalini ukaonane na daktari akufanyie uchunguzi na vipimo ili ujiridhishe kabisa.
Kila la kheri.
Umepima? Wiki ya pili bado hujui nini hatma yako? Ushauri wangu kwako, usiikaribie zinaa.Wakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
Sasa kwani kipimo kinauzwa shngap ad uje huku nduguWakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
nimekwambia nina 2 weeks nadhan huelewi vipimo vinafanyaje kaziSasa kwani kipimo kinauzwa shngap ad uje huku ndugu
Nisiiikaribie kivipUmepima? Wiki ya pili bado hujui nini hatma yako? Ushauri wangu kwako, usiikaribie zinaa.
si ni binadamuStarehe ya dk 5 inaharibu maisha yako yote dah just imagine
Natambua hilosi ni binadamu
Ooh kumbe 2 weeks Sasa Kaa Kwa kutulia kama ulivyotulia wakat inafanya ngono 😆nimekwambia nina 2 weeks nadhan huelewi vipimo vinafanyaje kazi
kwaiyo kama unatambua hilo kuna njia milion za kulivaa tatizoNatambua hilo