Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

Kama Hayati Maalim angekuja Chadema mambo yangelikuwa Muruwaa sana Wazenji wapambanaji.
 
Zanzibarians are nationalists and religious..There are a lot of commonalities between nationalist thought and religious ideas. Both are utopian ideologies, and when you're promising everything it's easy to gain followers. Religion's ultimate advantage is that all the promised rewards are forever concealed behind the opaque shield of death.
 
Ndugu zangu Wazanzibar mkitaka mjikomboe FANYENI KAZI, acheni kutegemea utalii.
 
Kama unashangaa mwanamke wa kizanzibar, sasa wa kibara inawezekana? Suala ni mwanamke bila kujali taifa wala dhehebu, punguza uzanzibar ambao unauona ni wa maana sana!
 
U
Kama unashangaa mwanamke wa kizanzibar, sasa wa kibara inawezekana? Suala ni mwanamke bila kujali taifa wala dhehebu, punguza uzanzibar ambao unauona ni wa maana sana!
Uzanzibari ni wamaana sana kwetu na tunajivunia UZANZIBARI WETU. Kwani watanganyika mnaumia
 


Kakojowe ukalale
 


Kazi zenu ni hizi waTanganyika


Your browser is not able to display this video.
 
Sikiliza yaliyowafika

AUD-20211101-WA0018.opus
 
Nakubaliana nawe yote lakini hapo kwenye malipo ya 30kwa kutwa nakataa
 
Ni kweli kwamba tunao hapa nchini wanaume WAPUMBAVU. . Nimetumia neno WAPUMBAVU kwasababu ndio linalotumika kama Tafsida visiwani. Kumaanisha Wanaume wanao jihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
sitetei UPUMBAVU kwa namna yoyote ila huu UPUMBAVU wa WAZANZIBARI hata hapa DAR Maeneo wanayoishi ndio UPUMBAVU UMESHAMIRI
 
Vipi mwenezi naye anahudhuria hapo kwani naye ni 'mpumbavu' pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…