Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

Jamani wakuu tafadhalini mnapo zungumzia baina ya uzanzibar na utanganyika msichanganye na dini ya uislamu kwani hata huku tanganyika waislamu tupo wengi sana tu.

So msiuchanganye uislamu na uzanzibar, kwani uislam wenyewe upo kabla hata ya hao wazanzibar, umeletwa wakaupokea wakauamini.

Chuki zenu binafsi msizilete kupitia dini ya uislam. Uislam ni dini ya walimwengu wote na si wazanzibari tu.
 
Jamani wakuu tafadhalini mnapo zungumzia baina ya uzanzibar na utanganyika msichanganye na dini ya uislamu kwani hata huku tanganyika waislamu tupo wengi sana tu.

So msiuchanganye uislamu na uzanzibar, kwani uislam wenyewe upo kabla hata ya hao wazanzibar, umeletwa wakaupokea wakauamini.

Chuki zenu binafsi msizilete kupitia dini ya uislam. Uislam ni dini ya walimwengu wote na si wazanzibari tu.
Tatizo huu uvamizi ulifanywa na waislamu wa Tanganyika bila kujua kuwa wanaingizwa mkenge kwa kutumiwa kadi ya uafrika. Matokeo yake Kumbe Nyerere alikuwa akiwaakaanga kwa mafuta yao kwa kuupiga vita uislamu mote Tanganyika Na Zanzibar
 
Back
Top Bottom