Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Hata sikuelewi.. ngoja nikuignoreKumbe kanisani kuna waislamu Vile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sikuelewi.. ngoja nikuignoreKumbe kanisani kuna waislamu Vile?
Hata bado unawakimbilia wale wanaokupiga brush?Hata sikuelewi.. ngoja nikuignore
Mtu Yuko radhi kuutupa uafrika wake awakabidhi waarabu nchi yake kwa mahaba ya Dini unahisi mtu wa design hiyo ataelewa reasoning yoyote?Kwanini tu usizijibu hoja zake,kutukana Dini na Imani za wenzio sio.
Tujadiliane kwa stara.
Uafrika ndiyo kitu gani?Mtu Yuko radhi kuutupa uafrika wake awakabidhi waarabu nchi yake kwa mahaba ya Dini unahisi mtu wa design hiyo ataelewa reasoning yoyote?
Unafanya research, halafu unampa facts,akipinga tunamuuliza source ya historia aliyoisema.Mtu Yuko radhi kuutupa uafrika wake awakabidhi waarabu nchi yake kwa mahaba ya Dini unahisi mtu wa design hiyo ataelewa reasoning yoyote?
Hajui kuwa Waarabu pia ni Waafrika😁Uafrika ndiyo kitu gani?
Waarabu wenyewe hawajiiti waafrika...Na Hao waliokuja juzi kina Mo salah hawajinasibishi Na uafrika...lakini sisi wamatumbi wa Nsalala tunawakumbatia Na kuwaita waafrikaHajui kuwa Waarabu pia ni Waafrika😁
Hawa nawajua ukifanya hivo watafanya juu chini kubadilisha Mada au watapinga mpaka legitimate sources unazoweka...so mwisho wa siku inakuwa sio kujibizana Kwa hoja inakuwa kuoneshana uwezo wa kutypeUnafanya research, halafu unampa facts,akipinga tunamuuliza source ya historia aliyoisema.
Jf inasomwa na watu wengi, wa nje na ndani ya Nchi,wewe unatakiwa kufanya hivyo ili hata wafuatiliaji wawe wanapata faida usijali ubishi wao.Hawa nawajua ukifanya hivo watafanya juu chini kubadilisha Mada au watapinga mpaka legitimate sources unazoweka...so mwisho wa siku inakuwa sio kujibizana Kwa hoja inakuwa kuoneshana uwezo wa kutype
Hata mtu akikataa lakini Afrika ni Bara letu sote.Waarabu wenyewe hawajiiti waafrika...Na Hao waliokuja juzi kina Mo salah hawajinasibishi Na uafrika...lakini sisi wamatumbi wa Nsalala tunawakumbatia Na kuwaita waafrika
Utakuta saa tano mchana kweupe ndio wana amuka wakati wabara tayari saa kumi asubuhi ushaamuka unaelekea shamba au kariakooWazanzibar wavivu Sana hao nawajua vizuri hata mimi
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ishu sio Jina ishu Ni maana behind Hilo Jina...ukisema mchina tayari unajua Ni mtu wa Aina Gani na muonekano Gani hata kama amezaliwa mbagala lakini mchina Ni mchina Tu...na mbongo anayeishi China sio mchina (ethnically)Hata mtu akikataa lakini Afrika ni Bara letu sote.
Jina Afrika lilitungwa na Wazungu wa Roman Empire.
Sasa Mzee let's say mfano wewe unaweka ushahidi wa picha kipindi waarabu wanasafirisha watumwa halafu mtu anareply Kwa kusema Yesu alikuwa shoga hapo unawezaje kuendelea kujadiliana kihoja?Jf inasomwa na watu wengi, wa nje na ndani ya Nchi,wewe unatakiwa kufanya hivyo ili hata wafuatiliaji wawe wanapata faida usijali ubishi wao.
FURY BORN umeliweka vizuri. Hakuna watu wanafiki kama Wazanzibari. Tena kwenye hili la ushoga wala wasijibaraguze, wanatupotezea muda tu. Zanzibar wanaume wa kiukweli ni wacahache sana. Inawezekana hata mtoa mada mwenyewe Alee ni shoga pia.Sema tu pilipili, kwani si wamefuata sheria zote za uwekezaji, na wageni wao mambo yao watafanyia ndani vyumbani, wewe yanakuhusu nini ikiwa uko nyumbani kwako. Jadilini hoja za msingi wabaguzi wakubwa ninyi, mnaongea utafikiri watakatifu ili hali kila siku ukisikiliza mawio baba kambaka au kulawiti mwanae wa kuzaa au wa kufikia, wasaidieni hawa watoto kupata haki na si kujibaraguza eti kampuni hii haifai, ipi inayo faa? Akija mwanaume na mwanamke unathibitishaje kuwa ni wanandoa? Ikiwa mtu anahela zake acha awekeze. Mbona aliruhusiwa tamasha la Sunwave lilokuwa limejaa mashoga na wasagaji. Acheni umimi.
Sio kweli ukiangali Sahel na North Afrika Berbers sio weusi lakini ni Waafrika asili.Kwahyo Afrika Ni Bara la watu weusi indigneous lakini Kuna wazungu waarabu wahindi wachina WaPo pia...lakini tukija kuongelea root ya uafrika indignation Na ethnically watu weusi ndo waafrika pekee.
Waarabu wenyewe hawajiiti waafrika...Na Hao waliokuja juzi kina Mo salah hawajinasibishi Na uafrika...lakini sisi wamatumbi wa Nsalala tunawakumbatia Na kuwaita waafrikabishi Na uafrika
Mbona juzi hapa Hao wabara kwa mamia walikamatwa wanalala kwenye mapaa ya nyumba Za michenzani. Wanafanya kazi gani?Utakuta saa tano mchana kweupe ndio wana amuka wakati wabara tayari saa kumi asubuhi ushaamuka unaelekea shamba au kariakoo
Wengine hawa wameshikwa kutoka TanganyikaUtakuta saa tano mchana kweupe ndio wana amuka wakati wabara tayari saa kumi asubuhi ushaamuka unaelekea shamba au kariakoo