Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

wew jamaa ni lijinga sana..

tangu lini ardhi ya zanzibar ikawa mali ya mtu wa mbal uko uarabuni?? hiv history wakat wenzenu wanasoma nyie mlkuwa wap?? icho kisiwa kabla ya ujio wa mwarabu kilkuwa na kitazd kuwa mali yal mbantu tu.

muingiliano wa jamii mbalimbali za kibantu waliokuwa watumwa na kuchanganyikana na waarabu ndlo sabbu kuu ya kupotea kwa asili ya ukabila wa kibantu ktk eneo hilo, na badara yake uswahil/tamaduni ngeni zikatamalaki na kufuta ile asili ya ubantu yaan asili ya wazawa wazamani wa eneo hilo pia asili ya wale wabantu waliotolewa tanganyika.

siku zote muingiliano wa jamii mbalimbali/tofaut ktk eneo moja matokeo yake ni kufa kwa tamaduni zao za kiasili na kuibuka kwa tamaduni mpya ambayo inakuwa mjumuiko wa hawo wanajamii, mfano ni kama mkoa wa dar es salam huwez sema ni mkoa wa watu fulan wakat kila kabila limejaza watu wake humo na wote wanazungumza lugha moja na wanatamaduni moja ya utandawazi

hivyo bas hata zanzibar ni mali ya mbantu, ni dhambi kubwa sana kumpa uhalali uyo mshenzi na muuwaji muarabu kuwa ndye mmiliki wa ardhi hiyo.

ni dhambi kubwa mijitu ngozi nyeusi kung'ang'ania muungano na mijitu ya uarabuni iliyowatesa na kuwauwa babu zenu, then waje waungane na wew kwa upendo gani walio nao? mbona mnajisahaulisha hivyo enyi wajinga na wavivu wa kufikiri? hao waarabu mnaowangangania ndye wale wale waliotesa ndugu zenu, ni wale wale isipokuwa majina tu.

tungepata viongoz wenye uchungu na mali za afrika ilitakiwa tufukuze wageni wote uko zanzibar, mali zote zimilikishwe kwa mzanzibar mweusi tu, na Muungano ufanywe strong kwa kudumisha umoja zaid na kukemea mila zakishenzi kutokea uko ugenini,

jarbuni kujifunza kwa wachina,wazungu,wahindi na wakorea huwa sio rahis kwa ardhi zao kuleta maujinga kama tunayoyaleta watu wa Tz bara na TZ visiwani...badirikeni
Visiwa vya Hawaii mbona viko mbali na Marekani lakini ni kitongoji cha Marekani? Alaska mbona iko karibu na Russia kuliko Marekani lakini ni kitongoji cha Marekani? Sasa cha kushangaa kwamba Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman kihistoria ni kipi? Sasa mbantu kaletwa Zanzibar na Mwarabu halafu unataka kupaita kwa mbantu? Wakati waarabu, wapersia mmewakuta? Wapi na wapi?
 
Visiwa vya Hawaii mbona viko mbali na Marekani lakini ni kitongoji cha Marekani? Alaska mbona iko karibu na Russia kuliko Marekani lakini ni kitongoji cha Marekani? Sasa cha kushangaa kwamba Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman kihistoria ni kipi? Sasa mbantu kaletwa Zanzibar na Mwarabu halafu unataka kupaita kwa mbantu? Wakati waarabu, wapersia mmewakuta? Wapi na wapi?
Huko Alaska na Hawaii hao Marekani walikupata bila ya ubabe,uonevu ,ukandamizaji na umwagaji damu mkubwa?!!!

Kwa hiyo wabantu waliofika Madagascar nao walipelekwa na wageni weupe wa kutoka mbali?!!!

Kwa hiyo kabla ya mwarabu wa Oman kuja Zanzibar hakukuwahi kuishi wabantu ?!!!
 
Huko Alaska na Hawaii hao Marekani walikupata bila ya ubabe,uonevu ,ukandamizaji na umwagaji damu mkubwa?!!!

Kwa hiyo wabantu waliofika Madagascar nao walipelekwa na wageni weupe wa kutoka mbali?!!!

Kwa hiyo kabla ya mwarabu wa Oman kuja Zanzibar hakukuwahi kuishi wabantu ?!!!
Wabantu walivukaje bahari kufika visiwani? Waarabu walifika na majahazi, wabantu walifikaje?
 
Wabantu walivukaje bahari kufika visiwani? Waarabu walifika na majahazi, wabantu walifikaje?
Hebu twende taratibu.....

Wareno walifika Zanzibar kabla ya ujaji wa waarabu(1698)...unataka kusema kipindi cha wareno Zanzibar hakukuwepo na wabantu?!!!

Halafu hwenda nao ukawa ni ujinga wa kukaririshwa kuwa WABANTU hawakuweza kuunda MADAU/MASHUA/NGALAWA kabla ya ujaji wa watu weupe....hii nayo ni fimbo miongoni mwa fimbo za kuwabagaza WABANTU.......

N.B
Hii ni "Dufuna Canoe" imeundwa zaidi ya miaka 8000 iliyopita huko Nigeria.
13th-fridayfact-blogpost-2.jpg



Siempre JMT
 
Hebu twende taratibu.....

Wareno walifika Zanzibar kabla ya ujaji wa waarabu(1698)...unataka kusema kipindi cha wareno Zanzibar hakukuwepo na wabantu?!!!

Halafu hwenda nao ukawa ni ujinga wa kukaririshwa kuwa WABANTU hawakuweza kuunda MADAU/MASHUA/NGALAWA kabla ya ujaji wa watu weupe....hii nayo ni fimbo miongoni mwa fimbo za kuwabagaza WABANTU.......

N.B
Hii ni "Dufuna Canoe" imeundwa zaidi ya miaka 8000 iliyopita huko Nigeria.View attachment 1992813


Siempre JMT

Jaribu kwanza kutoka Dar mpaka Zanzibar na huo mtumbwi kama wa Dufuna halafu ukifika salama rudi tuendelee na mjadala. Halafu Waarabu walishakuja Zanzibar kufanya biashara kabla ya Mreno hajatawala. Rudi kasome tena historia ya Zanzibar.
 
Swala la Mchina na pengine popote haliakisi uvivu. Mimi pia nipo Bara. Hawa wanaoitwa wavivu ndo wafanyabiashara kiasi kwamba mtu akisema tu huyu ni Mzanzibari - maarufu Mpemba - basi wanasema huyo ana pesa. Hivi pesa hupatikana kwa uvivu?
Mpemba na hawa waunguja vitu viwili tofauti, wapemba wako committed sana huwezi kuwafananisha na wenyeji wa unguja, makunduchi, mtende, Uroa, unguja ukuu, mfenesini, kuzimkazi, bwejuu, mchamvi nk Ukiwakuta watu wa maeneo hayo matarajiri basi wamekwapua serikalini. Mpemba hata kazini hana mchezo tofauti na hizo sehemu nyingine. Hao unawaona uko bara ni wapemba, huwezi kuta mwenyeji wa unguja akifanya biashara huko narudia ni mmoja kati ya elfu1, ni wavivu, wanafiki, wafitini. Wanapenda hela hawapendi kazi. Hawa watu wangependa kazi wametungiwa sheria nyingi sana za kuwalinda, ni unguja pekee ambapo sheria inaagiza kibarua alipwe elfu 30 kwa kutwa, kima cha chini cha mshahara laki 3, overtime mara 2 ya malipo ya kila siku. Lakini hizo kazi za vibarua watakwambia za wanyamwezi
 
Mpemba na hawa waunguja vitu viwili tofauti, wapemba wako committed sana huwezi kuwafananisha na wenyeji wa unguja, makunduchi, mtende, Uroa, unguja ukuu, mfenesini, kuzimkazi, bwejuu, mchamvi nk Ukiwakuta watu wa maeneo hayo matarajiri basi wamekwapua serikalini. Mpemba hata kazini hana mchezo tofauti na hizo sehemu nyingine. Hao unawaona uko bara ni wapemba, huwezi kuta mwenyeji wa unguja akifanya biashara huko narudia ni mmoja kati ya elfu1, ni wavivu, wanafiki, wafitini. Wanapenda hela hawapendi kazi. Hawa watu wangependa kazi wametungiwa sheria nyingi sana za kuwalinda, ni unguja pekee ambapo sheria inaagiza kibarua alipwe elfu 30 kwa kutwa, kima cha chini cha mshahara laki 3, overtime mara 2 ya malipo ya kila siku. Lakini hizo kazi za vibarua watakwambia za wanyamwezi
Kwa kawaida neno Mpemba hapa Bara linajumuisha Wazanzibari wote huwa hatubagui
 
Hujui kuwa Zanzibar ndiyo inayoongozwa kwa vitendo vya ushoga katika ukanda huu? Hujui kuwa viongozi wa dini wengi ni washiriki wa ushoga hasa wale wenye asili ya mashariki ya kakat
Lile kanisa la mashoga la wapentekoste kule Mbeya ni kutoka Zanzibar Na Lina watu wa kutoka mashariki ya Kati ?
 
Nimezungumziia Zanzibar mwanza imeingiaje!
Siku hizi tanganyika ushoga umeenea kwa kasi sana na kila siku mitandaoni watu wanawafurahia kina dokta kumbuka na kina mwinjaku
 
Lile kanisa la mashoga la wapentekoste kule Mbeya ni kutoka Zanzibar Na Lina watu wa kutoka mashariki ya Kati ?
Nabii Tito pia ni mzanzibari, James delicious pia ni mzanzibar yaani siku hizi tanganyika kimekua kituo cha mashoga wapenda kick mitandaoni
 
Back
Top Bottom