Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

Hawa wanafiki tu kazi hawataki kufanya kila siku chokochoko tu kwa wageni. Shoga akiwa mzanzibar sawa, akiwa mgeni kosa. Wabakaji wakubwa hawa, na hakuna sehemu inayoongoza tanzania kwa unyanyasaji wa kijinsia kama znz, sikiliza mawio kila siku asubuhi
Kuna familia moja ilikuwa na shoga huko walikuwa wanamficha balaa. Wabadilike kwanza wao ndio mambo mengine yatabadilika.
 
Huwa napata taabu mtu anapohusisha uvivu na Wazanzibari. Hili jambo husemwa kama nyimbo iliyozoeleka ila ni uongo.
Kiongozi mimi nimeishi huko miaka karibu 3 hivi ..vijana wengi hawafanyi kazi, nenda mchina mwanzo na pale uwanja wa jeshi ni SOGA tuu
 
Anajisemea tu kwa chuki zake binafsi mzanzibari na mtanganyika watu wawili tofauti. Amtafute uyo malaya wa kiarabu anaepatikana kisonge na cccm
Niwe na chuki na Mzanzibar ili zinisaidie nini ?? Naongea kwa ushahidi nilioona kwa macho yangu.UOVU hausemwi hapa nasema ili kuweka mambo sawa. Malaya wa kiarabu hata kariakoo mtaa wa Sikukuu wapo.
 
Inaitwa pilipili,naiona sana lwenye mtandao na mara nyingi sana nimekuwa nikiona wanatangaza sana nafasi za kazi mara kwa mara pabda Mashoga hawadumu kazini wakishapigwa pumbu.Mudamrefu sijatembelea mahoteli ya zanzibar ila ugonvi wa watu wa Zanz8bar mara nyingi ni kwa wakenya na kunyenyekea wageni wazungu,kama vile wasouth africa kupiga wenzao weusi na kuwaacha wazungu.Acha waendelee kufirana mkuu!Naomba namba zako tuyajenge!hahaha
 
Uzi mzuri sana huu na kuna ile thread ya Zanzibar ipaswa kuingia pale, maana Zanzibar as Unguja kuna mambo makubwa kuliko haya yanafanyika.

Ila jambo moja ambalo si la kushtua ni kuwa Zanzibar ipo duniani eneo ambalo mabadiliko yoyote ya kitabaka lazima yaingie, sababu mojawapo ikiwa ni Zanzibar ina serikali ya viongozi wa kiafrika ambao mfumo uliopo una ingia kwenye njaa ambayo inamfanya kiongozi mkuu kutii wakubwa (Wakoloni/mabeberu)
 
Kiongozi mimi nimeishi huko miaka karibu 3 hivi ..vijana wengi hawafanyi kazi, nenda mchina mwanzo na pale uwanja wa jeshi ni SOGA tuu
Swala la Mchina na pengine popote haliakisi uvivu. Mimi pia nipo Bara. Hawa wanaoitwa wavivu ndo wafanyabiashara kiasi kwamba mtu akisema tu huyu ni Mzanzibari - maarufu Mpemba - basi wanasema huyo ana pesa. Hivi pesa hupatikana kwa uvivu?
 
Swala la Mchina na pengine popote haliakisi uvivu. Mimi pia nipo Bara. Hawa wanaoitwa wavivu ndo wafanyabiashara kiasi kwamba mtu akisema tu huyu ni Mzanzibari - maarufu Mpemba - basi wanasema huyo ana pesa. Hivi pesa hupatikana kwa uvivu?
exceptions
 
Sawa kwa hiyo umekubali wabantu asili yao ni bara siyo Zanzibar
wew jamaa ni lijinga sana..

tangu lini ardhi ya zanzibar ikawa mali ya mtu wa mbal uko uarabuni?? hiv history wakat wenzenu wanasoma nyie mlkuwa wap?? icho kisiwa kabla ya ujio wa mwarabu kilkuwa na kitazd kuwa mali yal mbantu tu.

muingiliano wa jamii mbalimbali za kibantu waliokuwa watumwa na kuchanganyikana na waarabu ndlo sabbu kuu ya kupotea kwa asili ya ukabila wa kibantu ktk eneo hilo, na badara yake uswahil/tamaduni ngeni zikatamalaki na kufuta ile asili ya ubantu yaan asili ya wazawa wazamani wa eneo hilo pia asili ya wale wabantu waliotolewa tanganyika.

siku zote muingiliano wa jamii mbalimbali/tofaut ktk eneo moja matokeo yake ni kufa kwa tamaduni zao za kiasili na kuibuka kwa tamaduni mpya ambayo inakuwa mjumuiko wa hawo wanajamii, mfano ni kama mkoa wa dar es salam huwez sema ni mkoa wa watu fulan wakat kila kabila limejaza watu wake humo na wote wanazungumza lugha moja na wanatamaduni moja ya utandawazi

hivyo bas hata zanzibar ni mali ya mbantu, ni dhambi kubwa sana kumpa uhalali uyo mshenzi na muuwaji muarabu kuwa ndye mmiliki wa ardhi hiyo.

ni dhambi kubwa mijitu ngozi nyeusi kung'ang'ania muungano na mijitu ya uarabuni iliyowatesa na kuwauwa babu zenu, then waje waungane na wew kwa upendo gani walio nao? mbona mnajisahaulisha hivyo enyi wajinga na wavivu wa kufikiri? hao waarabu mnaowangangania ndye wale wale waliotesa ndugu zenu, ni wale wale isipokuwa majina tu.

tungepata viongoz wenye uchungu na mali za afrika ilitakiwa tufukuze wageni wote uko zanzibar, mali zote zimilikishwe kwa mzanzibar mweusi tu, na Muungano ufanywe strong kwa kudumisha umoja zaid na kukemea mila zakishenzi kutokea uko ugenini,

jarbuni kujifunza kwa wachina,wazungu,wahindi na wakorea huwa sio rahis kwa ardhi zao kuleta maujinga kama tunayoyaleta watu wa Tz bara na TZ visiwani...badirikeni
 
Nafahamu kwamba Zanzibar haiwezi kujitenga na nchi nyingine Duniani, wala haiwezi kukataa mabadiliko ya maendeleo Duniani, lakini lazima kuwe na mipaka kulingana na utamaduni wa Visiwa hivyo.

Zanzibar iliingia kwenye sekta ya utalii kwa masilahi ya kukuza uchumi wake na sio vinginevyo.

Ingawaje wapo ambao badala ya kutumikia ipasavyo kwenye nafasi walizopewa wanakwenda Mrama na kusababisha dhumuni na malengo kutokufikiwa.

Katika sekta hii ya utalii na uwezekaji kuna kila sababu ya kufanya uchambuzi yakinifu kwa wageni wanaotaka kuwekeza.

Kwa mfano kuna kampuni moja ambayo umenunua maeneo mengi na makubwa ukanda huu kusini Paje na Jambini.

Mahotel yao yana jina linaloanzia na herufi P jina ambalo ni la aina ya kiungo tunachotumia kwenye chakula kama kuongeza ladha na kinawasha.

Sitaki kusema jina kamili maana watu hawa huwa na wanasheria wao tena wazawa wenyeji, hawa huwakingia Vifua na ukajikuta huna mtetezi.

Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar. Hawa ni waumini wa mapenzi ya jinsia moja na hata wageni wao ni wale matajiri wakubwa Duniani wanaokuja kustarehe na wapenzi wao.

Kama ni Mwanamke atakuja na mpenzi wake wa kike, kama ni Mwanaume atakuja na mpenzi wake wa kiume.

Vitendo vyao vinatisha haswa pale ninapoangalia mila na desturi zetu.

Ni kweli kwamba tunao hapa nchini wanaume WAPUMBAVU. . Nimetumia neno WAPUMBAVU kwasababu ndio linalotumika kama Tafsida visiwani. Kumaanisha Wanaume wanao jihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Hawa wageni WAPUMBAVU Sasa hivi wamevuka mipaka maana Sasa Wana Pati au sherehe ambayo hufanyika kwenye Hotel zao zote.

Sherehe hizo ni za wapenzi wapya! Lakini hata wale ambao wana sherehekea kudumu kwa Muda mrefu kwenye mahusiano yao.

Unajua mwanzo nilidhania labda sherehe hizo zinajumuisha wao kwa wao tu, yaani wageni.

Jambo la kusikitisha ni kwamba hata vijana wetu wadogo kabisa nao wanajumuika. 😢

Tulichunguze jambo hili 👇

Ajira kwenye kampuni hiyo imetoa kipaumbele kwa vijana wetu WAPUMBAVU. Kampuni hiyo ndio kimbilio lao maana wanasema hawapati ajira sehemu nyingine kirahisi.

Sio kwamba kila kijana wetu afanyaye kazi hapo anakuwa wa mrengo huo HAPANA.

Wapo wenye heshima zao na hata wanaokerwa na uhamasishaji wa Vitendo vya kishetani.

Nataka kusema kwamba kasi ya ununuaji wa maeneo ya kampuni hii, inatisha. Alafu wao sio kununua tu hata kukodi.

tatizo kubwa tulilonalo sisi Waafrika ni kutokuwa na umoja, ni vigumu Sana ku chukuliwa hatua hizo haswa pale tatizo linaporipotiwa na mtu anbaye huna fedha wala kujulikana popote.

Kwanza wanasheria wao ni wazawa utapata shida Sana.

Nakumbuka tukio la Mwanamke wa Kizanzibar kuvuliwa nguo yake ya ndani. . Na Mkuu wa kitengo ambaye ni mgeni.

Mwanamke huyu alikuwa ni msafisha vyumba Hotel ya The Residence. Kisa cha kuvuliwa nguo yake ya ndani eti kuna mgeni aliche check out siku mbili nyuma na alipofika kwao akawa haioni nguo yake ya ndani.

Jambo la aibu Sana, nguo ya ndani ya Mwanamke huyo alipovuliwa ikapelekwa Reception ikapigwa picha ikatumwa kwenye mtandao ili mgeni aione kwamba je hiyo ndio nguo yake?

Mgeni akajibu kwamba sio yake.

TAMWA Zanzibar ilipopata taarifa tukaja kuchukuliwa kwenda kupigania haki ya Mwanamke mwenzetu.

Yule Bosi alipoona vile akakimbia, uongozi ukamtumia Mwanasheria wao mzawa anbaye alikuwa kwenye chombo cha kutunga sheria.

Ujinga mkubwa alioufanya Mwanamke mwenzetu huyo pamoja na TAMWA kusimama kidete akarubuniwa na uongozi pamoja na Mwanasheria mzawa akapewa Milioni Tatu akamaliza kesi tena akakimbia Zanzibar akaenda Tanga kesi ikaisha.

Nitaendelea baadae Ahsante
".....akapewa milioni 3 akamaliza kesi tena akaikimbia Zanzibar akaenda Tanga ,kesi ikaisha"....

Pesa pesa pesa.....

Sababu hizohizo za "soko huria" ndizo zinazofanya TUWEKEZE KATIKA UTALII.....

Tulinde tu watoto wetu....
Tulinde tu wadogo zetu....


Siempre JMT
 
Hujui kuwa Zanzibar ndiyo inayoongozwa kwa vitendo vya ushoga katika ukanda huu? Hujui kuwa viongozi wa dini wengi ni washiriki wa ushoga hasa wale wenye asili ya mashariki ya kati?
You are too personal and less informed ....

Kwa hiyo Zanzibar ndio inayoongoza kwa ushoga kuliko sehemu nyingine?!!

Kwa takwimu na tafiti ipi haswa?!!!

Siempre JMT
 
Kuna sehem imeandikwa jf ni ya tanganyika? Raisi wako alivosema kama yeye ni Mzanzibar ungelikua una la kumjibu ungemwambiaje???
Sijui kwa nini hampendi tujinasibishe na uzanzibari wetu?
Si wote ndugu yangu...

Binafsi mimi ni mbara na sichukii kuwaona wazanzibari mkijinasibisha na taifa lenu kwani ni baba wa taifa hayati JKN ndiye aliyetuachia mafunzo hayo nami nimeyaelewa vyema na sitaki yabadilike kwa mustakabali mwema wa muungano wetu......

Dola la Tanganyika lilishazikwa na baba wa taifa Mwalimu Nyerere...anayetaka kulifufua AVUNJIKE MGONGO WAKE.....🙏

Siempre JMT
Siempre Serikali Mbili Za JMT,aaamin aaaamin🙏
 
Hawa wazanzibar wa aina hii wanajificha kwenye uislam lakini nataka nikwambie hawa ni wafiraji wakubwa sana! Hawa wanafiki wanajificha kwenye kuvaa kanzu na hijabu huku vyumbani mnafanya ufiraji! Acheni unafiki sheria ipo huyo mwekezaji atabanwa na atafata masharti kikamirifu!
Kwa hiyo hivyo vitendo vibaya ulivyosema vinalindwa na imani za dini ?!!!
 
Huyu ni mtanganyika alie create account akajinasibisha na uzanzibari l.
Wamekuingizia ujinga nawe umejibu UJINGA Khaaaa😳😳🤣🤣

Kumbe unafanana na hao wajinga?!!

Tatizo letu pande zote za muungano zina baadhi ya watu wajinga?!!!

Ni kwanini tusijadili matatizo yetu bila ya kuonesheana vidole ,kubagazana na kushambuliana?!!!

It seems wengi wetu hatujaijua VYEMA thamani kubwa ilioje ya TAIFA LA TANZANIA na watu wake wa pande mbili.......

SIEMPRE SIEMPRE JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA SERIKALI ZAKE MBILI ADHIMU ,aaamin aaaamin aaaamin🙏
 
Ndiyo umasikini upo na Muungano umeshindwa kuumaliza. Sasa Muungano una faida gani kwa Zanzibar?
Duuuh wewe jamaa unashangaza sana....yaani muungano hauna faida?!!! Khaaa 😳😳🤣🤣

Jikite kwenye mada....
Mada si muungano....
 
Back
Top Bottom