Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar

WaAfrica tufanye kazi, kupenda kwetu bure ndio madhara yake haya.....The so called Utalii, tunataka hela zao tunafungua nchi kwa kutumia hela zao na wai ndio tabia zao matokeo yake ni nini, ni mwendo wakulana tigo na kutafuta wenzao wenyeji......Kila mtu akae kwao anzeni kulima kwa bidii karafuu ipatikane kwa wingi, vueni samaki na madagaa kwa wingi muuze kila kona, anzeni tafiti za mafuta na gas hapo ipo ya kutosha tu....

KaRwanda kanchi kadogo zana lakini huwezi kusikia huu upumbavu, mentality ya utawala wake na watu wake uelekeo ni mmoja..
 
Haya ndiyo matunda ya Muungano na Tanganyika. Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, Zanzibar ingekuwa kama Muscat leo na ingefaidi utajiri wa mafuta. Umaskini uliopo ndiyo unaleta wawekezaji ambao hawajali mila na desturi za Zanzibar.
Nani kakwambia Oman Hakuna umasikini ?




Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni mtanganyika alie create account akajinasibisha na uzanzibari l.
Mbona dada zenu tunawabatua huku bara Kama kawaida ?

Khadija kopa si mzanZibar mbona hajaolewa si anabatuliwa Kama kawaida !!!


Mnajionaga very saints kumbe wahuni tu. Mnajifanya mmeshika dini lakini mnasikiliza nyimbo za Diamond

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
WaAfrica tufanye kazi, kupenda kwetu bure ndio madhara yake haya.....The so called Utalii, tunataka hela zao tunafungua nchi kwa kutumia hela zao na wai ndio tabia zao matokeo yake ni nini, ni mwendo wakulana tigo na kutafuta wenzao wenyeji......Kila mtu akae kwao anzeni kulima kwa bidii karafuu ipatikane kwa wingi, vueni samaki na madagaa kwa wingi muuze kila kona, anzeni tafiti za mafuta na gas hapo ipo ya kutosha tu....

KaRwanda kanchi kadogo zana lakini huwezi kusikia huu upumbavu, mentality ya utawala wake na watu wake uelekeo ni mmoja..
Wazanzibar hawana hiyo akili ...

Kama Hadi nyanya zinatoka bara wataweza kulima mpunga hao!


Wao wamekaa kulialia na uvivu

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Hata raisi wako aliwahi kusema mimi ni Mzanzibari kwaio alikosea au?
Simply kilichoandikwa hapo hata ambaye si mwerevu ataelewa lakini mbona wewe kukaza shingo?unaweka “UMIMI” huyo uliyemuita raisi naye ni binadamu siyo kila atakachosema ni sahihi acheni kwanza kujiita sisi kisha urudi hapa na lugha inayoelezeka vizuri.

Unataka watu washiriki shida zako kwa vitendo huku ukiwatenga kwa maneno yako?
 
Mbona dada zenu tunawabatua huku bara Kama kawaida ?

Khadija kopa si mzanZibar mbona hajaolewa si anabatuliwa Kama kawaida !!!


Mnajionaga very saints kumbe wahuni tu. Mnajifanya mmeshika dini lakini mnasikiliza nyimbo za Diamond

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ukifika Zanzibar kama hujawahi kwenda usiwe na pupa.

Mpaka saa 5 usiku kumbi za starehe huwa tupu, sasa shughuri huwa inaanza saa 6 usiku wakishavuwa baibui na hijabu zao na wanatinga vimini sasa ndio utajuwa unafki wa Wazenji.
 
Haya ndiyo matunda ya Muungano na Tanganyika. Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, Zanzibar ingekuwa kama Muscat leo na ingefaidi utajiri wa mafuta. Umaskini uliopo ndiyo unaleta wawekezaji ambao hawajali mila na desturi za Zanzibar.
Yaani mawazo yako wewe yanaonyesha tayari unaliwa. Kwamba mngeungana na muscat mgefaidi mafuta, idiot. Uanzishe urafiki na jirani yako ili ufaidi mali zake. Naye lazima akufaidi nyambafu
 
Yaani mawazo yako wewe yanaonyesha tayari unaliwa. Kwamba mngeungana na muscat mgefaidi mafuta, idiot. Uanzishe urafiki na jirani yako ili ufaidi mali zake. Naye lazima akufaidi nyambafu
Muungano na Tanganyika umeleta faida gani Zanzibar? Urafiki na Tanganyika umeleta faida gani? Si afadhali Zanzibar ingerudia asili yake ambayo ni Oman. Kumbuka Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman kihistoria.
 
Yaani mawazo yako wewe yanaonyesha tayari unaliwa. Kwamba mngeungana na muscat mgefaidi mafuta, idiot. Uanzishe urafiki na jirani yako ili ufaidi mali zake. Naye lazima akufaidi nyambafu
Haya majamaa Ni majinga Sana... Hayajawahi kuwaza mikakati Yao binafsi ya kujikomboa ila utasikia tunakosa misaada ya pesa kutoka nchi za kiislam.

Mara tungekuwa tumeungana na Oman tungekuwa mbali. Hutakuja kusikia Wana mikakati ya uwekezaji kwenye teknolojia, miundombinu ya kisasa, miji ya satellite.


Hiyo Zanzibar ukifika umasikini umetamAlAki kila sehemu. Watu wavivu. Kazi hata ya kuzibua mitalo wanasema ni za wanyamwezi - watanganyika.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Muungano na Tanganyika umeleta faida gani Zanzibar? Urafiki na Tanganyika umeleta faida gani? Si afadhali Zanzibar ingerudia asili yake ambayo ni Oman. Kumbuka Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman kihistoria.
Nipe source ya historia yako
 
Haya majamaa Ni majinga Sana... Hayajawahi kuwaza mikakati Yao binafsi ya kujikomboa ila utasikia tunakosa misaada ya pesa kutoka nchi za kiislam.

Mara tungekuwa tumeungana na Oman tungekuwa mbali. Hutakuja kusikia Wana mikakati ya uwekezaji kwenye teknolojia, miundombinu ya kisasa, miji ya satellite.


Hiyo Zanzibar ukifika umasikini umetamAlAki kila sehemu. Watu wavivu. Kazi hata ya kuzibua mitalo wanasema ni za wanyamwezi - watanganyika.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ndiyo umasikini upo na Muungano umeshindwa kuumaliza. Sasa Muungano una faida gani kwa Zanzibar?
 
Back
Top Bottom