Hii kasheshe kubwa

Ila ipo style ya kupika miihogo pia unaweza weka nyanya n nyama, ila huipondii pondii[emoji23][emoji23]
 
Hahahhahaaa... Hayo ndo mapenz ya sababu
 
Itabidi niungane na Mzigua hapa sasa kuamini tatizo lipo kwako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mie niko fiti mzigua namualika aje anipime kama sina nguvu za kiume, na mpaka watoto mapacha ninao baada ya mgegedo
"Takatifu" kwa mama watoto
 
Hahahaaaa
 
Hamna mtu anaependa kula uchafu mkuu
Kwani ule ni uchafu Mkuu. Nadhani ni namna alivyokoroga koroga sababu lait ungepata mpishi huo muogo wala usingekuwa na muonekano huo uliouweka hapo.

Hivyo hakuna kitu cha kuliwa halafu kikaitwa uchafu Mkuu.
 
Sema wewe Sabosabo. Hakuna aliyezaliwa anajua na hakuna mkamilifu pia.
 
Ngumu kumeza mkuu
Ushauri wangu;
Mlete dada yako wa karibu akae kwako hata miezi 3 ila lengo lake iwe ni kumuelekeza wifi yake kupika ila mpenzi wako asijue lengo la ujio wa dada yako.
Anaweza kuchukia.

Kumbuka huyo ni mkeo mtarajiwa. Usipomfundisha mapema hata sisi wageni tukija kwako hatutafurahia msosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…