mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
Hua inaniuma mno🥲Inashangaza sana
unashauri vijeba waendelee kujificha katika kichaka cha umri sababu mitalimbo na mmbunye vitawaokoa?Gari ni injini sio body
Kuna jamaa Kila mwaka hua anashusha miaka miwili kwenye cheti cha kuzaliwa, hatimae sasa cheti chake cha juzi kinasoma ana miaka sawa na mwanae wa darasa la nneTukose kutafutana watoto wa 2000 kisa kuogopa kusema uongo mtakatifu
Nina 33 ila nikijichanganya na vitoto nasema Nina 24
Alisema ana miaka 42Wasira ana miaka 49
Halafu wewe na mzize Kwa nini mnapenda kupunguza umri.Hujui ex wako bwana ako Mzize anapokaa?
Tutawatafuna vip warembo Kama nyie msiopenda wababaHalafu wewe na mzize Kwa nini mnapenda kupunguza umri.
Mnaonekana mna jambo lenu, sivyo? Haya.
Kwa hiyo unamsusia kabisa Klamenti huku ukilia Kwa mahaba.Tutawatafuna vip warembo Kama nyie msiopenda wababa
Tunajifanya watoto wa chuo pale IFM ili tuwale warembo kama wewe
Basi kapunguza miaka 7 ila Wasira ana miaka 49 tuAlisema ana miaka 42