Pre GE2025 Hii kauli ya Askofu Mwanamapinduzi 'Rais kukataliwa na Mungu' angeweza kuitoa enzi za Hayati Magufuli?

Pre GE2025 Hii kauli ya Askofu Mwanamapinduzi 'Rais kukataliwa na Mungu' angeweza kuitoa enzi za Hayati Magufuli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Screenshot 2024-06-07 144452.png


Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu".

Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X.

Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?

Jumaa Mubarak.



====

Askofu aliongeza haya tarehe 10/6/2024, "Narudia tena Rais Samia amekataliwa na Mungu, huwezi kuingilia maongezi yangu na Mungu, mimi ni Askofu naongeaga na Mungu, ameniambia Rais Samia 2025 HATOBOI. Kama hayo ndio uchochozi basi watufunge Maaskofu na Mashehe wote tunaoongeaga na Mungu".
 
Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"

Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X

Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?

Jumaa Mubarak
Angesema ni chaguo la Mungu ungempinga?
 
..Shehe Alihadi alisema Magu alikuwa zaidi ya mtume na yesu. Na wana Ccm mlimshangilia.

..Prof Kabudi akafunga kazi kwa kumuita Magu, " mheshimiwa mungu.."

..Mama Abduli katutoa mbali, hata kama amekataliwa na mungu.
 
Piga hatua kwenda mbele Si kurudi nyuma,

Amekataliwa au ana kibali Cha kutuongoza?
 
Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"

Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X

Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?

Jumaa Mubarak.
Mbona Lisu alitamka pamoja na Mwamakula?
 
Back
Top Bottom