Pre GE2025 Hii kauli ya Askofu Mwanamapinduzi 'Rais kukataliwa na Mungu' angeweza kuitoa enzi za Hayati Magufuli?

Pre GE2025 Hii kauli ya Askofu Mwanamapinduzi 'Rais kukataliwa na Mungu' angeweza kuitoa enzi za Hayati Magufuli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Askofu ameona Rais Samia amekataliwa na Mungu ila muuaji,katili na mkwapuaji mali na fedha za watu amekubaliwa na Mungu!
 
View attachment 3011165

Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"

Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X

Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?

Jumaa Mubarak.
huyu naye anataka umaarufu ili azidi kuwaibia watu sadaka
 
Huyo mchungaji sijui askofu ni hajielewi, Mungu katujaalia rais mpenda raia wake, msikivu na anayejari maslahi ya watanzania wote.

Mungu atupe nini tena?
Mikumi tena kwa mama Samia
 
View attachment 3011165

Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"

Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X

Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?

Jumaa Mubarak.
Sasa unataka hata viongozi wengine wawe vichaa kama huyo unayemrejea? Viongozi wengine, pamoja na ubovu wa uongozi wao lakini hawana ukichaa vichwani mwao.
 
Sasa unataka hata viongozi wengine wawe vichaa kama huyo unayemrejea? Viongozi wengine, pamoja na ubovu wa uongozi wao lakini hawana ukichaa vichwani mwao.
Askofu hapaswi kuogopa na kuonea
 
Back
Top Bottom