Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SureAsingeweza kutamka kwa sababu pia hakukuwa na mikutano ya kisiasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureAsingeweza kutamka kwa sababu pia hakukuwa na mikutano ya kisiasa.
aibu tupuKusema ukweli kabisa.mama Yao amekataliwa kweli.Kila anachofanya kipo chini ya kiwango.
CCM lazima wampitishe pale waendelee kupiga pesa na kumsifia..Maza alipomteua Uvccm kuwa DG wa Tpdc nilijiridhisha kuwa hana uwezo.
..Ccm tafuteni mgombea mwingine mliokoe taifa.
Spana NZITO NZITO zinaendelea huko Singida hadi Wananchi wazinduke kutoka kwenye Usingizi wa Moshi wa Mwenge✌️
View: https://youtu.be/gDwBojxAxHI?si=OXaADJCVISOo0WRy
Patamu hapoAngesema ni chaguo la Mungu ungempinga?
Alitamka lini?Mbona Lisu alitamka pamoja na Mwamakula?
Mpaka alimwita dikteta uchwara, itakuwa ulikuwa mdogo au ulikuwa bado unasoma chuo cha utumishi wa Umma TaboraAlitamka lini?
Baada ya kumuita Dikteta uchwara ikawaje? 😂😂Mpaka alimwita dikteta uchwara, itakuwa ulikuwa mdogo au ulikuwa bado unasoma chuo cha utumishi wa Umma Tabora
Alipelekwa mahakamani na kesi ilishafutwaBaada ya kumuita Dikteta uchwara ikawaje? 😂😂
huyu naye anataka umaarufu ili azidi kuwaibia watu sadakaView attachment 3011165
Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"
Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X
Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?
Jumaa Mubarak.
🤣🤣🤣Alipelekwa mahakamani na kesi ilishafutwa
Kaa kwa password
Anayetakiwa kuthibitisha ni askofu MwanamapinduziPolisi anaweza kuthibitisha kama Samia hajakataliwa na Mungu?
Sasa unataka hata viongozi wengine wawe vichaa kama huyo unayemrejea? Viongozi wengine, pamoja na ubovu wa uongozi wao lakini hawana ukichaa vichwani mwao.View attachment 3011165
Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"
Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X
Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?
Jumaa Mubarak.
Uthibitisho wa fasta ni kuteua marehemuAnayetakiwa kuthibitisha ni askofu Mwanamapinduzi
Askofu hapaswi kuogopa na kuoneaSasa unataka hata viongozi wengine wawe vichaa kama huyo unayemrejea? Viongozi wengine, pamoja na ubovu wa uongozi wao lakini hawana ukichaa vichwani mwao.