Pre GE2025 Hii kauli ya Askofu Mwanamapinduzi 'Rais kukataliwa na Mungu' angeweza kuitoa enzi za Hayati Magufuli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unaposikia Marehemu ameteuliwa katika Ulimwengu wa roho ina maana pana Sana πŸ˜„
Hawa "miungu" wanaotengenezwa na binaadam kupitia hizi dini ndiko kunakoanzia matatizo huko. Kila dini na dhebu linakuwa na mamlaka ya kumwamrisha 'mungu' wao wanavyotaka wenyewe na kutaka kulazimisha wengine nao wakubaliane na wanayoyakubali wao.

Anyway, nimejadili vya kutosha kwa leo, mada hii nisiyoona mantiki yake.
 
Hivi huwa mnazungumzia Mungu gani? Maana utasikia fulani chaguo la Mungu, mara fulani kakataliwa na Mungu mara fulani kafyekelewa na Mungu hata sielewi huyo Mungu wa aina gani.
huyo huyo Allah! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 

Asingeweza maana Magufuli alikuwa hawezi kuvumilia ukweli.
 
..Maza alipomteua Uvccm kuwa DG wa Tpdc nilijiridhisha kuwa hana uwezo.

..Ccm tafuteni mgombea mwingine mliokoe taifa.

Wakamtafute wapi na CCM yote imeoza, Huyo waliyempata washukuru
 


Mungu yupiii huyo ??
 
Huyu askofu ananikumbusha kipindi mh Lema anasota gereza ya kisongo kisa Sir God akamwambia Lema huyu Jiwe asipobadilika amnyonga ...Mwisho wasiku hatimaye Jiwe down
 
Kiukweli wasaidizi wake hawamtendei haki.
P
Lini wasaidizi wa viongozi wa CCM wanakuwaga na akiri? Unakumbuka kipindi kile kabla kupoteza timamu hapa JF wasaidizi wa Jiwe walisema wewe uitwe bungeni ili ukupate nidhamu ...hadi Mwisho wasiku waka compromise akili yako nakuangukia mikononi ya wajumbe Katili na shetani Jimbo la Kawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…