Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikao Cha mambumbumbu Mimi kwangu ni kicheko tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo wanaishi kienyeji sana. Yaani mwekezaji ana adress evaluation ya biashara zake, anaonekana anawasimanga. Mlitaka akasemee wapi. Kwani ni uongo kwamba kuna sajili tumepigwa. Yupo wapi Okwa na Akpan na Qattara
Acha kutudanganya hata GSM walishakiri hilo, mlifanya nini? akisema mo ndo uone ajabuHii kauli ya kanjibai kwa wanasimba ingekuwa kwa wana yanga kusinekucha kuachia ngazi. Sema wanasimba hawajali sana wapo wapo tu. Ifike wakati wanasimba tuamke bora timu iwe kama PRISON kuliko kusimangwaaaa
Sio kweli hakuna mtu atangangania kitu kinachompa hasaraMbona hata injinia Hersi alisha kili hilo kuwa Yanga inaendeshwa kwa hasara.
Kiufupi Tukiachana na ujuaji wa kipumbavu kama ilivyo kawaida yetu watz ni kuwa karibia asilimia 97 ya virabu barani Afrika vinajiendesha kwa hasara.
Mtu hajawahi kuendesha hata biashara ya mtaji wa milion 2 lakini amejaa ujuaji kibao na wakijinga.
Timu za ulaya zinaposema zimepata hasara wanaonyesha mapatao na matumizi kwenye mwaka husika sio maneneo matupu wanatumia scientific report.Wabongo wanaishi kienyeji sana. Yaani mwekezaji ana adress evaluation ya biashara zake, anaonekana anawasimanga. Mlitaka akasemee wapi. Kwani ni uongo kwamba kuna sajili tumepigwa. Yupo wapi Okwa na Akpan na Qattara
Chawa wa Mwamedi,ningeshangaa sana kama ungekaa kimya. By the way "namleta mbele yenu Sawadogo,kiungo punda mwenye footsteps za Ngolo Kante na mikimbio ya Iniesta".Wabongo wanaishi kienyeji sana. Yaani mwekezaji ana adress evaluation ya biashara zake, anaonekana anawasimanga. Mlitaka akasemee wapi. Kwani ni uongo kwamba kuna sajili tumepigwa. Yupo wapi Okwa na Akpan na Qattara
Tuwe wakweli dewji anaendesha simba kijanja janaja sanaChawa wa Mwamedi,ningeshangaa sana kama ungekaa kimya. By the way "namleta mbele yenu Sawadogo,kiungo punda mwenye footsteps za Ngolo Kante na mikimbio ya Iniesta".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie Mwamedi aweke hadharani Balance Sheets za kila Mwaka tangu achukue timu.Mbona hata injinia Hersi alisha kili hilo kuwa Yanga inaendeshwa kwa hasara.
Kiufupi Tukiachana na ujuaji wa kipumbavu kama ilivyo kawaida yetu watz ni kuwa karibia asilimia 97 ya virabu barani Afrika vinajiendesha kwa hasara.
Mtu hajawahi kuendesha hata biashara ya mtaji wa milion 2 lakini amejaa ujuaji kibao na wakijinga.
Niambie vyanzo vya mapato vitavyo ifanya simba na yanga kujiendesha kwa faida.Sio kweli hakuna mtu atangangania kitu kinachompa hasara
Wanapata faida sana ndo maana hawataki kuviachia
Hilo ungemwambia kwanza injinia Hersi maana na yy alisha sema kuwa yanga inajiendsha kwa hasara.Mwambie Mwamedi aweke hadharani Balance Sheets za kila Mwaka tangu achukue timu.
Sent using Jamii Forums mobile app
nyie manyani hamnaga akili hata kidogo.... mbona hesi aliwahi ongea hivyohivyo mlifanya nini? then utopopolo hamna hamna jeuri hata kidogo ya kumsema vibaya mfadhili wenu maana mnakumbuka vizuri ukapuku mliopitia Kabla gsm hajaingilia katiHii kauli ya kanjibai kwa wanasimba ingekuwa kwa wana yanga kusinekucha kuachia ngazi. Sema wanasimba hawajali sana wapo wapo tu. Ifike wakati wanasimba tuamke bora timu iwe kama PRISON kuliko kusimangwaaaa
Daaaah hii JF ni balaa [emoji23]Chawa wa Mwamedi,ningeshangaa sana kama ungekaa kimya. By the way "namleta mbele yenu Sawadogo,kiungo punda mwenye footsteps za Ngolo Kante na mikimbio ya Iniesta".
Sent using Jamii Forums mobile app
We pimbi kweli, inamaana Simba haikupitia huo ukapuku unaowasemea Yanga?nyie manyani hamnaga akili hata kidogo.... mbona hesi aliwahi ongea hivyohivyo mlifanya nini? then utopopolo hamna hamna jeuri hata kidogo ya kumsema vibaya mfadhili wenu maana mnakumbuka vizuri ukapuku mliopitia Kabla gsm hajaingilia kati
Sikiliza ndugu chawa huyo ndugu yako ni muongo asiekua na kumbukumbu alishindwa nini kuvumilia hasara Singida na African Lyon?Wabongo wanaishi kienyeji sana. Yaani mwekezaji ana adress evaluation ya biashara zake, anaonekana anawasimanga. Mlitaka akasemee wapi. Kwani ni uongo kwamba kuna sajili tumepigwa. Yupo wapi Okwa na Akpan na Qattara