Hii kauli ya Mo ingekuwa ni kwa wana Yanga asingekaa

Hii kauli ya Mo ingekuwa ni kwa wana Yanga asingekaa

Timu za ulaya zinaposema zimepata hasara wanaonyesha mapatao na matumizi kwenye mwaka husika sio maneneo matupu wanatumia scientific report.

Mtu hawezi ongea bila eveidence kama amepata hasara tutamwaminije alete report ya kihasibu inayoonyesha amepata hasara
Juzi hapa Simba walikuwa na AGM ulifika kwenye mkutano kushuhudia audited financial statements? Unataka upewe hesabu za mapato na matumizi wapi? Humu mitandaoni? Kwa hiyo angeenda pale kwa Salehe Jembe na evidence?
 
Kwa akili tu ya kawaida unadhani yeye anapata nn?

Chukua mishahara, na kambi ya timu, usafiri na chakula, Achana na usajiri

Then chukua na ela ya Zawadi za mashindano yote ya ndani, uone kama inafikia hizo gharama
Sawa anapata hasara kinacho mfanya abaki ni kipi?
 
Ni mpumbavu pekee anaye weza kuamini kuwa simba na yanga zinajiendesha kwa faida.
Ni mpumbavu pekee anaweza kuendelea kuchoma pesa zake sehemu isiyo na faida
 
Asitupigie kelele sasa hakuna aliemlazimisha kupata hasara, alisema 20B unafungua bank si akafungue bank huko
Asikupigie kelele wewe kama nani? Mbona unajipa umuhimu.
Ulitaka ajibuje kwa swali kama hili?
Je simba kwako ni faida au hasara?
Ajibu faida, akiulizwa ni faida ya kiasi gani angejibu nini?
Kaskilize Interview ii uondoe Negativity....
 
pimbi aliyekuzaa!!! Nina uhakika hata kinachoongelewa hapa hukielewi ndo maana ndo ulichoandika wala hakiendani na nilichohoji..
Itoshe kusema tu umepaniki Ndugu, na mimi ndiyo furaha yangu kukuona ukiwa kwenye hali hiyo [emoji38]
 
GSM pesa anayo ingiza kwenye jezi plus matangazo yake, mikataba ya Azam TV, Sportpesa nk hakuna hasara hapo
Kwahiyo ww mla mihigo ambaye hujawahi kuendesha hata biashara ya milion 2 una mbishia bosi wenu Hersi?

Hapo yanga mishaara ya wachezaji na benchi la ufundi ni zaidi ya milion 600 kwa mwezi bado gharama za usafiri gharama za kuweka kambi bado bonasi za wachezaji gharama zote kwa ujumla club ina hitaji zaidi ya bilion 1 na ushenzi kwa mwezi na hapo ni nje ya usajili, sasa nambie simba na yanga wana vyanzo gani vya mapato vinavyo ingiza billion 1 kwa mwezi ?
 
Kwahiyo ww mla mihigo ambaye hujawahi kuendesha hata biashara ya milion 2 una mbishia bosi wenu Hersi?

Hapo yanga mishaara ya wachezaji na benchi la ufundi ni zaidi ya milion 600 kwa mwezi bado gharama za usafiri gharama za kuweka kambi bado bonasi za wachezaji gharama zote kwa ujumla club ina hitaji zaidi ya bilion 1 na ushenzi kwa mwezi na hapo ni nje ya usajili, sasa nambie simba na yanga wana vyanzo gani vya mapato vinavyo ingiza billion 1 kwa mwezi ?
Wewe unakula nini binti?
 
Kumsikiliza Mudy na kumuelewa inahitajika uwe na upopoma wa viwango vya juu kama mkuu wa mapopoma .Toka na hata kabla ya dunia kuumbwa kanjibahi hawafanyagi biashara, uwekezaji au kazi isiyo ya maslahi

Sasa sijui Mudy amekumbwa na nini mpaka anaona watanzania wote ni kama wanasimba chochote atakachosema tunakubali bila kun'gamua.Ukitaka ugomvi wa mchana kweupe uliza Ile billion ishirini ipo wapi?
Nasi tukuulize wewe timu inajiendeshaje kwa mapato ya wanachama mil 17 kwa mwaka? Je wewe unafanya kazi isiyo na maslah?

Kama unafanya kazi isiyo na maslahi basi wewe ni mpumbavu kabisa.


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Why usiulize ela ya hisa 51 za wanachama? Wewe umenunua hisa ngapi?

Let's say hisa 49 za more ndio zinaendesha timu je hisa 51 ela yake inafanya nn? Iko wapi hiyo ela?
Hili ndilo swali kila mtu apaswa kujiuliza si tunawalaumu matajiri huku sisi hisa hatununui

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nasi tukuulize wewe timu inajiendeshaje kwa mapato ya wanachama mil 17 kwa mwaka? Je wewe unafanya kazi isiyo na maslah?

Kama unafanya kazi isiyo na maslahi basi wewe ni mpumbavu kabisa.


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

Herbert Nkuluzi

Kama umenielewa vizuri basi bila shaka kimtazamo tupo sawa .Ila uwasilishaji wako umemalizia na maneno ya fedheha
 
Wabongo wanaishi kienyeji sana. Yaani mwekezaji ana adress evaluation ya biashara zake, anaonekana anawasimanga. Mlitaka akasemee wapi. Kwani ni uongo kwamba kuna sajili tumepigwa. Yupo wapi Okwa na Akpan na Qattara
Simba ni hasara tupu kwa Mo inabidi apishe mfadhili mwenye mbinu mpya ya kukwepa huo upigaji na kupata faida.
 
Hilo ungemwambia kwanza injinia Hersi maana na yy alisha sema kuwa yanga inajiendsha kwa hasara.
Na ndiyo maana Yanga ikaamua kubadili mfumo wa uendeshaji na sasa matunda yanaonekana.
 
Herbert Nkuluzi

Kama umenielewa vizuri basi bila shaka kimtazamo tupo sawa .Ila uwasilishaji wako umemalizia na maneno ya fedheha
Sikulenga kukufedhehesha hilo neno nimeliweka general kwamba kama mtu anafanya kazi isiyo na faida basi huyo ni mpumbavu
Namaanisha Mo kuna faida anaipata Simba hata kama sio pesa maana maisha sio pesa tu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
nyie manyani hamnaga akili hata kidogo.... mbona hesi aliwahi ongea hivyohivyo mlifanya nini? then utopopolo hamna hamna jeuri hata kidogo ya kumsema vibaya mfadhili wenu maana mnakumbuka vizuri ukapuku mliopitia Kabla gsm hajaingilia kati
Mo kwasasa anwadia Billion 50 sio 20 tena
 
Back
Top Bottom