Hii Kazi ni ngumu binafsi siwezi kufanya

Hii Kazi ni ngumu binafsi siwezi kufanya

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
1. Kazi yako ni kutii amri za watawala

Unaamka asubuhi unamuga mkeo na wanao unaenda kazini

Kazi yako ni kuteka na kuuwa Watanganyika wenzako, mtu mweusi kama wewe, tena unamnyonga na kamba akikwambia Fulani nisamehe Bado Nina mke na watoto wadogo lakini wewe unaamua kumwaga damu yake

Unamaliza hiyo kazi ya kuuwa mme mtu, baba wa watoto na Mtanganyika mwenzako unapewa zawadi na pesa na wewe unalala unafurahia tunajipongeza Kwa kazi

Watoto wako wanasoma shule za pesa ndefu, wanatibia Bure kazi yako ikiwa kumwaga damu za watu😭

2. Kuiba kura
Watu wamegombea
Unaongeza makaratasi fake
Unadhurumu Imani ya watu Kwa kiongozi wanaemtaka
Ww unamtangaza mtu ambaye hakushinda
Kwa huu uhuni wewe
Unalipwa pesa na wewe unakaa bar unafurahia kazi ya kipumbavu kama hiyo

Jiepusheni na dhuluma
 
Ukisoma uzi huu ndio utajua Chama A ni sampuli ya watu gani soma mpaka pale aliporudi kuuangalia mzigo aliousahau utawaelewa kitu

 
vipi na wakata umeme
Umeme Bora ni hitilafu ila aisee kumuuwa mtu
Hajamkuta na mkeo
Hajala mali yako
Kijana anajiongelea masikini anakosoa, wewe Kwa kibri cha uzima unamfunga pingu na kitambaa cheusi unamnyonga
 
1. Kazi yako ni kutii amri za watawala

Unaamka asubuhi unamuga mkeo na wanao unaenda kazini

Kazi yako ni kuteka na kuuwa Watanganyika wenzako, mtu mweusi kama wewe, tena unamnyonga na kamba akikwambia Fulani nisamehe Bado Nina mke na watoto wadogo lakini wewe unaamua kumwaga damu yake

Unamaliza hiyo kazi ya kuuwa mme mtu, baba wa watoto na Mtanganyika mwenzako unapewa zawadi na pesa na wewe unalala unafurahia tunajipongeza Kwa kazi

Watoto wako wanasoma shule za pesa ndefu, wanatibia Bure kazi yako ikiwa kumwaga damu za watu😭

2. Kuiba kura
Watu wamegombea
Unaongeza makaratasi fake
Unadhurumu Imani ya watu Kwa kiongozi wanaemtaka
Ww unamtangaza mtu ambaye hakushinda
Kwa huu uhuni wewe
Unalipwa pesa na wewe unakaa bar unafurahia kazi ya kipumbavu kama hiyo

Jiepusheni na dhuluma
Dhuluma haifai, ipo siku mdhulumu kibao kikamgeukia, familia hawatakuwa na furaha kamwe.
Tumuogope Mungu.
 
Back
Top Bottom