TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Kesha'z saloon Sinza mkuu Mloganzila pesa ndefuNi Keisha au Mloganzila ?
Ke yeyote anayehangaikaga na urembo wa kutengenezwa kama wigi/kucha/matiti/hipsi/ngozi/makalio/kope bandia sivutiwagi naye kabisa maana huwa simtofautishi na wale kuku wasio na Baba wala Mama kimwonekano hata na ladha.Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza
Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.
Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.
Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao
Acheni ujinga
Me tulistuka kitambo sana kwa utapeli huo tukidhani huenda hata vipochi manyoya vyao ni bandia [emoji16]Wanawake Tanzania wanapenda kufata mkumbo ,tumbo linapunguaje kwa masaji???
Imagine ni mambo ya aibu yani kama hawana akiliWanawake Tanzania wanapenda kufata mkumbo ,tumbo linapunguaje kwa masaji???
Sasa mbona hujaeleza nini kinafanyika ktk hiyo Saloon?,au ndio tukuache?.[emoji41][emoji41]Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza
Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.
Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.
Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao
Acheni ujinga
Katika watu wanaongozwa kupigwa ela kijinga ni wanawake.Wanawake Tanzania wanapenda kufata mkumbo ,tumbo linapunguaje kwa masaji???
Sasa ubakaji una uhusiano gani na kutengeneza shape mkuu?Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza
Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.
Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.
Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao
Acheni ujinga
Aulizwe haya!! Kwani wewe ulibakwa pale!? Unahubiria shuhuda usiyotendewa wewe tutakuelewa Vipi!? Acha wivu WA kijinga, aliyetendewa BAYA ndio angeripoti na Sio wewe mwenye husdaUmeandika kama vile wote tunaijua hii saluni na kinachofanyika humo. Saluni (nimeassume ni ya nywele) inakuwaje na vitendo vya ubakaji? Vinatokea katika mazingira gani? Tuambie hata sisi tuendao saluni nyingine tukiona viashiria tukimbie
Aulizwe haya!! Kwani wewe ulibakwa pale!? Unahubiria shuhuda usiyotendewa wewe tutakuelewa Vipi!? Acha wivu WA kijinga, aliyetendewa BAYA ndio angeripoti na Sio wewe mwenye husda