Sorry hii ni msg ya mwenye kuleta taarifaSoma comment vizuri ya uliyemquote. Mbona hajaandika uliyoandika na kumfokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry hii ni msg ya mwenye kuleta taarifaSoma comment vizuri ya uliyemquote. Mbona hajaandika uliyoandika na kumfokea
Hujaelewa nini mkuu?wadada wanaenda kutengeneza shepu kwenye mchakato wa kutengeneza hiyo shepu wanabakwa usipoelewa hapo kalaleSasa ubakaji una uhusiano gani na kutengeneza shape mkuu?
Uandishi wa hovyo huu. Binafsi sijaelewa hiyo saluni inashida gani
Ulibakwa weweAulizwe haya!! Kwani wewe ulibakwa pale!? Unahubiria shuhuda usiyotendewa wewe tutakuelewa Vipi!? Acha wivu WA kijinga, aliyetendewa BAYA ndio angeripoti na Sio wewe mwenye husda
Piglet wendo nini sasa.. si ungetuambia humo saluni mlibakanaje? maana na wewe ulienda asa ulijuaje? shuwain kbs weye!
\Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza
Sawa afisa masoko wa madada poaAcheni ujinga
Kwahiyo ulibakwa?Hujaelewa nini mkuu?wadada wanaenda kutengeneza shepu kwenye mchakato wa kutengeneza hiyo shepu wanabakwa usipoelewa hapo kalale
Mkuu haueleweki. Hayo mambo yenu ya Sinza unaleta humu bila kueleza vya kutosha kuna watu wako Tandahimba, Miami, Kandahar, Durban na kwingineko unadhani wataelewa unachosema?Hujaelewa nini mkuu?wadada wanaenda kutengeneza shepu kwenye mchakato wa kutengeneza hiyo shepu wanabakwa usipoelewa hapo kalale
Kuna michezo michafuUmeandika kama vile wote tunaijua hii saluni na kinachofanyika humo. Saluni (nimeassume ni ya nywele) inakuwaje na vitendo vya ubakaji? Vinatokea katika mazingira gani? Tuambie hata sisi tuendao saluni nyingine tukiona viashiria tukimbie
Waba bakwa kinyume?Hujaelewa nini mkuu?wadada wanaenda kutengeneza shepu kwenye mchakato wa kutengeneza hiyo shepu wanabakwa usipoelewa hapo kalale
Kuna vijana hapo Sinza na Tbt,kino pia wanatoa huduma ya massage.Ungeeleza kinachofanyika huko saluni maana wengine tunajua saluni za wadada kuoshwa nywele, kusuka, kuset, kupambwa sasa ubakaj umetokeaje?
Hivi kama wanagongwa kwa ridhaa yao wenyewe kuna ubakaji hapo...au maana ya ubakaji imetanuka?!Kuna vijana hapo Sinza na Tbt,kino pia wanatoa huduma ya massage.
Wateja wao wanawake,hata gym sasa nyie endeleeni na uvivu kwa wake zenu
Ndo huko wanapindwa tu,hamna ubakaji hapo na wanapeleka wenyewe.Hivi kama wamagongwa kwa ridhaa yao wenyewe kuna ubakaji hapo...au maana ya ubakaji imetanuka?!
Haswaa na wapindweeee tuNdo huko wanapindwa tu,hamna ubakaji hapo na wanapeleka wenyewe.