Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
MnapendaWanawake Tanzania wanapenda kufata mkumbo ,tumbo linapunguaje kwa masaji???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MnapendaWanawake Tanzania wanapenda kufata mkumbo ,tumbo linapunguaje kwa masaji???
Mwandishi una elimu gani?. Hata pre standard one hawezi andika takataka kama hizi.Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza
Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.
Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.
Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao
Acheni ujinga
Hii nchi bora ukose chakula sio bando🤣🤣🤣🤣
Watu Wana faidi kweli yani..
Hizo conversations wewe umeziona wapi? Au na wewe uliingiziwa dawa hadi sindano ikavunjikia ndani..
Ke yeyote anayehangaikaga na urembo wa kutengenezwa kama wigi/kucha/matiti/hipsi/ngozi/makalio/kope bandia sivutiwagi naye kabisa maana huwa simtofautishi na wale kuku wasio na Baba wala Mama kimwonekano hata na ladha.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Watoto wa mjini tushaelewa kitambo,na clip tunazoPeleka ushoga huko kenge wewe. Ungetumia waume zako inbox huko. Hapa ni jukwaa la umaa, ukiamdika kitu uandikr kinachoeleweka.
Sio kutuletea mada hapa huku umekalia misumari.
Nenda katika page ya Mange Kimambi utaikuta hij storiMimi sijaelewaaa hata
UharooooNenda katika page ya Mange Kimambi utaikuta hij stori
Swain mara 70ndo nini sasa.. si ungetuambia humo saluni mlibakanaje? maana na wewe ulienda asa ulijuaje? shuwain kbs weye!
Wajinga ndio waliwao. Kukosa kujiamini tu. Mimi hata kucha tu sijawahi kubandika. Wanawake tuna kazi.Jamaa anawaingiza dudu huku kalipaka dawa eti linaingiaa kwenye nyonga linapitisha hiyo dawa..... 🤣🤣🤣 Huyu sasa ndio king wa kimasihara
Jamaa anawaingiza dudu huku kalipaka dawa eti linaingiaa kwenye nyonga linapitisha hiyo dawa..... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu sasa ndio king wa kimasihara
Hii nchi bora ukose chakula sio bando
we unaunia niniKesha'z saloon Sinza mkuu Mloganzila pesa ndefu
Kuku hawana viini kabisa hutotolewa na mashine kwa joto kisha huwa hawana movements zozote huzubaa tu kama masanamu, huoni hizo ni sumu tupu kwa Binadamu kiafya?Hakuna kuku asiye kuwa na baba wala mama,labda useme ki malezi,unaelewa maana ya fertilization?
Kumbe pesa ndefu lakini huduma zinafanana,maswala ya wanawake waachiwe wenyeweKesha'z saloon Sinza mkuu Mloganzila pesa ndefu
🖕🖕🖕we unaunia nini
Mannge anawatumikisha wengi sana mjini.Kesha'z saloon Sinza mkuu Mloganzila pesa ndefu
Mange Kimambi hii issue ndiye kaiibua... Inasemekana kwenye hiyo saloon anawaaminisha wadada kwamba anazo dawa za kuwasaidia kuwa na shape na kukata mafuta tumboni ili tumbo liwe flat. Sasa mtiti ni kwamba hizo dawa huyo jamaa eti anawaingizia wateja wake (wanawake) kwa kupitia papuchi zao, na siyo kwa vidole bali kwa kupaka kwenye dyu dyu lake (anawaingilia kwa gia ya kuweka hizo dawa). Cha ajabu ni kwamba wanawake wengi sana wanaenda huko wanalipa pesa ndefu na jamaa anawala kiulaini kwa gia ya kuweka dawa. Sijajua vijana wa sasa wana tatizo gani in their thinking ability, yaani wanadanganywa wazi kabisa but wanatoa pesa zao na jamaa anagonga kiulaini humo kwenye saloon yake.Umeandika kama vile wote tunaijua hii saluni na kinachofanyika humo. Saluni (nimeassume ni ya nywele) inakuwaje na vitendo vya ubakaji? Vinatokea katika mazingira gani? Tuambie hata sisi tuendao saluni nyingine tukiona viashiria tukimbie