Hii Kesha,'s saloon Sinza ichunguzwe na wanawake acheni ujinga wa kutengeneza shepu

Hii Kesha,'s saloon Sinza ichunguzwe na wanawake acheni ujinga wa kutengeneza shepu

Mange Kimambi hii issue ndiye kaiibua... Inasemekana kwenye hiyo saloon anawaaminisha wadada kwamba anazo dawa za kuwasaidia kuwa na shape na kukata mafuta tumboni ili tumbo liwe flat. Sasa mtiti ni kwamba hizo dawa huyo jamaa eti anawaingizia wateja wake (wanawake) kwa kupitia papuchi zao, na siyo kwa vidole bali kwa kupaka kwenye dyu dyu lake (anawaingilia kwa gia ya kuweka hizo dawa). Cha ajabu ni kwamba wanawake wengi sana wanaenda huko wanalipa pesa ndefu na jamaa anawala kiulaini kwa gia ya kuweka dawa. Sijajua vijana wa sasa wana tatizo gani in their thinking ability, yaani wanadanganywa wazi kabisa but wanatoa pesa zao na jamaa anagonga kiulaini humo kwenye saloon yake.
🤣🤣🤣

Idadi ya majuha Tanzania ni kubwa sana!!

Kwamba dawa inapakwa kwenye mboli halafu mboli inaingizwa kwenye K?

If they [the women] are that stupid then they deserve everything they get and then some…

How can people be so incredibly stupid like that?

Good grief!!!
 
Mannge anawatumikisha wengi sana mjini.
Huna hata maelezi ya kina.
Nchi hii safaru ni ndefu.
Ukiulizwa badala ya kujibiwa utaishiwa kutukanwa
Kumbe umeshaisoma huko sasa unataka kuuliza nini tena?????au we ndio Kesha mwenyewe mbakaji kutoa taarifa sio kutumikishwa shika adabu yako
 
Sasa mkubwa

Hapo watu wanadharirishwa vipi?
Wanabakwa vipi?

Wanawake wanaokwenda hapo kwa mujibu wa maelezo ya wadau humu baada ya kuelewa ulichoandika, ni watu wanatoka nyumbani wao wenyewe kwa akili zao timamu na utashi wao na hisia zao wanakwenda kwa mjomba kaka kupata suluhu(sio Samia) ya kinachowakera. Huko ndani hakuna(naamini) anaelazimishwa kuvua kifuniko ili atiliwe dawa. Ni mwanamke mwenyewe kwa hiari yake yeye mwenyewe anakubali

Qmmmmk duniani watu wabunifu 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mkuu dunia imeshaharibika! Serikali haina cha kufanya. Uzinzi umeshamiri dunia nzima.
Kuna vijana hapo Sinza na Tbt,kino pia wanatoa huduma ya massage.
Wateja wao wanawake,hata gym sasa nyie endeleeni na uvivu kwa wake zenu
Ndo huko wanapindwa tu,hamna ubakaji hapo na wanapeleka wenyewe.
Mambo yao waachie wenyewe...
Thanks ea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza

Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.

Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.

Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao

Acheni ujinga
Kichwa Cha habari na maelezo haviendani
 
Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza

Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.

Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.

Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao

Acheni ujinga
Ndoa si kipaumbele kwa kila MTU bro! Wengine wanatafuta muonekano mzuri tu,
Hata Michael Jackson alichonga pua, na kuchubua mwili, ili ku boost self esteem, kila MTU na maisha yake.
 
Mzee we tulia tu hao wewe waache, wamechagua kuishi maisha ya kifirauni na kuweka mbele tamaa.

Na hii yote ni matokeo ya jamii kutetea wanawake kuwa lolote wanafanya baya basi wanasababishiwa na wanajamii waliowazunguka especially wanaume. So wao always ni innocent.

Sasa wewe kaa kimya tu mzee. Ujana ni maji ya moto fainali yenyewe ipo huko uzeeni.
 
Umeandika kama vile wote tunaijua hii saluni na kinachofanyika humo. Saluni (nimeassume ni ya nywele) inakuwaje na vitendo vya ubakaji? Vinatokea katika mazingira gani? Tuambie hata sisi tuendao saluni nyingine tukiona viashiria tukimbie
😂😂🙌 watu wanapakwa dawa huko
Aise
 
Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza

Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.

Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.

Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao

Acheni ujinga
Ila ni jambo lililonishangaza. wanawake hawana soni kabisa. Mwanamke yani anaenda anavua kabisa hata chupi mwanaume eti ammbanue vinyileo na vuzi na kumkanda tumbo.
Aisee dunia iko kasi sana kwakweli.
 
Hivi akili za wanawake wengine zikoje?? Yani mrembo anaenda kuvuliwa nguo anatomaswa tomaswa eti madai yake anafinyangwa awe na umbo zuri...
Hivi kwa akili zenu huyo kaka rijali awe anawaangalia tuu?? Eti dawa inaingizwa kwa uume ili ifikie nyonga..!!!mhh hii ni zaidi ya ujinga...
Police waachane na huyo kaka hao wadada ndo majinga na mapuuzi...
 
Katika watu wanaongozwa kupigwa ela kijinga ni wanawake.

Mshawishi tu kwa maneno mazuri kingi

Kukopeshwa mavitu hata hawana kazi nayo tena kwa bei kubwa.

Kuuziwa dawa zisizoeleweka mitandaoni kwa kuona tu picha na testaments za uongo

Huko kwenye pyramid scheme sasa ndio wamejaa wabinti wamejitutumua kwa kuona tu picha za wenzao wapo dubai wanakula bata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hii mbona ni nature, toka hapo Mwanzo (kwa wale tunaoamini kwenye dini) mwanamke alianza kwa kudanganywa na Nyoka since then hajawa safe hata siku moja! Kuna kipindi nilikuwa najiuliza kwanini jamii inawalaumu jinsi ya Kiume kwamba wanawadanganya watoto wa kike na kutembea nao at the end wanapata mimba na mangineyo nikawa nawaza hivi kwanini hao mabinti wasijue kwamba huu ni uongo so far wao pia wanafundishwa shule na nyumbani kutambua uongo! Ila nilipotambua kwamba kudanganywa kwa wanawake ni nature nikatulia, in short na wao wanapenda kudanganywa zaidi ya kuambiwa ukweli Mfano ukimsifia uzuri hata kama mbaya atakuamini ukimwambia ukweli hataamini na atakuchukia.
 
Na mimi nilijua mi pekea yangu sijui kinachoongelewa
Umeandika kama vile wote tunaijua hii saluni na kinachofanyika humo. Saluni (nimeassume ni ya nywele) inakuwaje na vitendo vya ubakaji? Vinatokea katika mazingira gani? Tuambie hata sisi tuendao saluni nyingine tukiona viashiria tukimbie
 
Back
Top Bottom